Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

You are very stupid guy hii ishu ni mbaya sana sababu unaweza ukawa Lodge na mpenzi wako mkajikuta kwenye Mange App watu wataanza kurekodi mambo ya lodge na kumpa Mange coz analipia hizo connection you shall see katika miezi ijayo idadi ya connections zinaweza zikawa nyingi sana

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ashakulaa buku lakoo au ndo umelipan ya mwaka kabisaa 😀 😀 😀 😀 jamaa nasikia kazivujisha kumkomoaa ila kalambaa helaa
Buku la wapi wewe, sisi wengine tunatumiwa tu wala hata hatuulizi
 
Wale watoto nawahurumia sana ila inaonekana siku hizi hawapelekeshi atakavyo watakua wameshapata elimu ya kujikomboa,ndo maana amebaki kulalamika kuhusu yule mkubwa kujiamulia style za nywele atakavyo. Bhoke ndo alimkimbia hataki hata kurudi kumsalimia

Zari alimkomesha kwenye kutukana watoto wa wenzie. Faiza alimkomesha kwenye kuita wenzie single mothers without child support. Kumbe kipindi anamsakama faiza nae alikua anapitia yale yale ya usingle mother akijua hakuna mbongo atakaye fahamu wakaibuka wabaya wake wakamuumbua akajitokeza hadharani kuachika😂😂😂😂. Natamani warudi tena kutuonyesha mengine ili akome daah rachel temu ndani ya fekero alitisha sana.
 
Kwa nini mnajirekodi picha na video za utupu? Tulieni muilambe dawa simbilisi nyie
 
Kama anapewa nafasi ya kukutana na mkuu wa nchi kuna msaidizi gani atamgusa
 
200m?... Hyo hela ameitengeneza ndan ya week mkuu.. yule ni nuksi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…