computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
FACTWkt tukifurahia kuona mavuzi ya Uwoya,tuelewe Sasa Ni Muda pia wa wenye lodges/guest houses/hotels kupiga mapesa Maana connection zenu wataziuza kwa Mange.AsanteniView attachment 2314085
You are very stupid guy hii ishu ni mbaya sana sababu unaweza ukawa Lodge na mpenzi wako mkajikuta kwenye Mange App watu wataanza kurekodi mambo ya lodge na kumpa Mange coz analipia hizo connection you shall see katika miezi ijayo idadi ya connections zinaweza zikawa nyingi sanaKwa upande mwingine yupo sahihi maana anatoa fundisho la kuacha kujirekodi/kupiga picha za utupu, ameona fursa ametumia fursa maana mazimbukuku ya teknolojia yako mengi kila siku yanapiga picha na kujirekodi video za utupu, wapenzi mnapopendana akili itangulie alafu hisia ndo zifate, ubaya wengi mnatanguliza hisia matokeo yake ndo mnapigishana mapicha na kuchukuana mavideo ya utupu yakishavuja akili ndo inakuja.
Ashakulaa buku lakoo au ndo umelipan ya mwaka kabisaa 😀 😀 😀 😀 jamaa nasikia kazivujisha kumkomoaa ila kalambaa helaaPart 2 mbona ya kawaida sana
Ukifika lodge toa taa zoteWkt tukifurahia kuona mavuzi ya Uwoya,tuelewe Sasa Ni Muda pia wa wenye lodges/guest houses/hotels kupiga mapesa Maana connection zenu wataziuza kwa Mange.AsanteniView attachment 2314085
Buku la wapi wewe, sisi wengine tunatumiwa tu wala hata hatuuliziAshakulaa buku lakoo au ndo umelipan ya mwaka kabisaa 😀 😀 😀 😀 jamaa nasikia kazivujisha kumkomoaa ila kalambaa helaa
Nimetumiwa tu si unajua sisi ndio wenye hili jiji. Haina sana maajabu
Sababu ni UWOYA, hakuna anaejali lakini hii haipo fairThank you,
Yule Dada ni kama aliwekewa Drugs ili adhalilishwe vile maana alikua hajitambui lakini bado Watu hawaoni hilo
Alipewa drugs yule dada, hakua na nguvu kabisa nakukoroma juuNimetumiwa tu si unajua sisi ndio wenye hili jiji. Haina sana maajabu
Dooh! nimejikuta naionea huruma familia yake yote, ulikua ni usiku wa kutisha sana kwao,
Kwa hii acha awe na hasira na kila Mtu nawaza hata wale Watoto wake sijui kama wanapona kufokewa fokewa tena speaking of Watoto tangu aanze mambo ya App siku hizi hawapost kabisa Watoto wake,
Na Zari ndio hua anamnyoosha
Kwa nini mnajirekodi picha na video za utupu? Tulieni muilambe dawa simbilisi nyieNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
okayWaje taratibu maana watapokea kichambo cha 5g
Ngoja siku ukute connection ya Baba ako ndio utajua kama Simbilisi na Panya ni tofautiKwa nini mnajirekodi picha na video za utupu? Tulieni muilambe dawa simbilisi nyie
200m?... Hyo hela ameitengeneza ndan ya week mkuu.. yule ni nuksi...Yule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...