Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange anachofanya ni kurudisha watu kwenye mstari.

FARAGHA ziheshimiwe. Watu mko faragha, mtu anakuja na makamera....yanini!?
Watu wakijitambua, Mange atayeyuka taratibu kama barafu na kutokomea kusikojulikana.
Nimecheka hiyo Watu mko Faragha Mtu anakuja na Makamera, [emoji23]

Lakini ukumbuke sio Wote walirekodiwa wakiwa wanajua, kuna wengine walikua usingizini, kuna wengine ilikua ni Video chat kumbe mshenzi anarekodi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan DA mange, yule babu aliporwa au waliachana kwa amani, then ndo akaenda kwa rafik ake??
Waliachana kwa Amani??
Uliwahi kusikia kuachana kuna Amani kweli?
Nani anapenda Maisha ya kudanga danga kwa vibabu badala ya kutulia kwenye Ndoa mlee Watoto,

Alichokwaaaaaaa
 
Wakati anamdhalilisha JPM vijana wa ovyo walichekelea na kumpachika udada wa taifa wakati ni bully wa taifa. Hata akija leo hakuna anayeweza kumfunga sababu wanaomtuma na kumlinda ndo hao hao waliopo ngazi za juu.

JPM aliifungia passport yake wengi wakamuona anamuonea.
 
Hako kapuuzi mi nilikatumia ujumbe nikakashauri kakaniblock.

Nilikashauri kasiwekeze pesa kwenye biashara ya kipuuzi inayotegemea kuzalilisha watu ndo biashara iende.

Ila alipaswa awatumie wajinga ambao tayari amewakusanya kama sehemu ya mtaji afanye biashara nyingine.
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Wamefungia xvideo ila mwngine hawawezi
 
Wakati anamdhalilisha JPM vijana wa ovyo walichekelea na kumpachika udada wa taifa wakati ni bully wa taifa. Hata akija leo hakuna anayeweza kumfunga sababu wanaomtuma na kumlinda ndo hao hao waliopo ngazi za juu.

JPM aliifungia passport yake wengi wakamuona anamuonea.
Nakumbukaaa, alikua anaitwa Da Mange,
Nadhani wengi walikua hawamjui kwa sie tunayemjua tangu ni blogger tulijua tu kuna siku watalia wengi,

Kwanza ni Mwanamke Mwenye Wivu na Chuki kwa Wanawake wenzie ni kama anatamani Maisha ya wenzie ambayo yeye kayakosa, hata hizo Pesa za App hawezi kuzitumia kwa kujiachia anajua fika anawindwa.
 
Hako kapuuzi mi nilikatumia ujumbe nikakashauri kakaniblock.

Nilikashauri kasiwekeze pesa kwenye biashara ya kipuuzi inayotegemea kuzalilisha watu ndo biashara iende.

Ila alipaswa awatumie wajinga ambao tayari amewakusanya kama sehemu ya mtaji afanye biashara nyingine.
Ukiwa against nae anakublock,
Zamani sana aliwahi kumtukana Hoyce Temu yaani alimdhalilisha na kupost mapicha ya zamani, nikamwambia si vema Wanawake kusapotiana na kuinuana, akaniblock [emoji2]
Leo Hoyce yuleeeeeee Balozi hapo ndio anazidi kuumia sasa.
 
𝐇𝐢𝐯𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚𝐣𝐞 𝐦𝐭𝐮 𝐦𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐞, 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐬𝐢𝐨 𝐜𝐡𝐢𝐳𝐢 𝐚𝐣𝐢𝐫𝐞𝐜𝐨𝐫𝐝 𝐮𝐭𝐮𝐩𝐮 𝐰𝐚𝐤𝐞, 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐬𝐞𝐱 𝐮𝐩𝐚𝐭𝐞 𝐭𝐢𝐦𝐞 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐫𝐞𝐜𝐨𝐝𝐢,
𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐢𝐬𝐚𝐦𝐛𝐚𝐳𝐢𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐳𝐚𝐨 𝐦𝐞 𝐧𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐧𝐢 𝐬𝐚𝐰𝐚 𝐭𝐮, 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐡𝐚𝐰𝐞𝐳𝐢 𝐤𝐮𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐮𝐭𝐮𝐩𝐮 𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐦𝐛𝐚𝐧𝐢 𝐡𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐝𝐨 𝐚𝐭𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚,
𝐨𝐤 𝐦𝐚𝐲 𝐛𝐞 𝐮𝐥𝐢𝐲𝐞 𝐧𝐚𝐲𝐞 𝐧𝐝𝐢𝐲𝐞 𝐤𝐚𝐫𝐞𝐜𝐨𝐫𝐝 𝐰𝐡𝐲 𝐤𝐚𝐛𝐥𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐮𝐬𝐢𝐤𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐦𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐢𝐫𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐬𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐳𝐢𝐰𝐞𝐤𝐰𝐞 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚
 
Ila wakati akiwa blogger alikua bully balaa kuna dada mmoja mpaka zikasambaa taarifa kajiua kumbe alizimia tu maana mange alitukana hadi watoto wake tudogo jamani anatutabiria tutajiuza mara tutabakwa pote pote yaani hakua anachagua matusi. Na hapo alikua na maisha ya uafadhali looh kama kweli mwele alikua anampenda mange angempeleka kwa wataalam wa akili asahau tukio la kupokea mkanda wa ngono wa mzee wake halafu mwenyewe kwa ukiherehere ndie aliyeudumbukiza kwenye deki
Nakumbukaaa, alikua anaitwa Da Mange,
Nadhani wengi walikua hawamjui kwa sie tunayemjua tangu ni blogger tulijua tu kuna siku watalia wengi,

Kwanza ni Mwanamke Mwenye Wivu na Chuki kwa Wanawake wenzie ni kama anatamani Maisha ya wenzie ambayo yeye kayakosa, hata hizo Pesa za App hawezi kuzitumia kwa kujiachia anajua fika anawindwa.
 
Kwa upande mwingine yupo sahihi maana anatoa fundisho la kuacha kujirekodi/kupiga picha za utupu, ameona fursa ametumia fursa maana mazimbukuku ya teknolojia yako mengi kila siku yanapiga picha na kujirekodi video za utupu, wapenzi mnapopendana akili itangulie alafu hisia ndo zifate, ubaya wengi mnatanguliza hisia matokeo yake ndo mnapigishana mapicha na kuchukuana mavideo ya utupu yakishavuja akili ndo inakuja.
 
Kwa upande mwingine yupo sahihi maana anatoa fundisho la kuacha kujirekodi/kupiga picha za utupu, ameona fursa ametumia fursa maana mazimbukuku ya teknolojia yako mengi kila siku yanapiga picha na kujirekodi video za utupu, wapenzi mnapopendana akili itangulie alafu hisia ndo zifate, ubaya wengi mnatanguliza hisia matokeo yake ndo mnapigishana mapicha na kuchukuana mavideo ya utupu yakishavuja akili ndo inakuja.
Kuna tofauti ya kujirekodi na ya kurekodiwa bila mwenyewe kujitambua na kusambazwa. Hapo utamlaumu nani
 
Watanzania ni rahisi sana kuwaibia hasa ukisema pesa wanayoiona ndogo , Mange anachofanya sio sahihi ila ametumia jicho la "kiujasiriamali" kuona fursa kwenye soko wanasema "know your customers" ukishawajua watu wanapenda nini set price tag watanzania wanapenda umbea na mtu anaona akitoka 1k sio issue sana ila 1k inamzalizia huyu dada mamilion sababu 1k atakusanya nyingi na mtu akiona umbea anaufikisha kwa mwenzie mapema ndio wanavozidi kuvutika kupiga pesa kiurahisi.
 
Wakati anamdhalilisha JPM vijana wa ovyo walichekelea na kumpachika udada wa taifa wakati ni bully wa taifa. Hata akija leo hakuna anayeweza kumfunga sababu wanaomtuma na kumlinda ndo hao hao waliopo ngazi za juu.

JPM aliifungia passport yake wengi wakamuona anamuonea.
Wahovyo wamempa passport ale maisha vizuri
 
Back
Top Bottom