kwenye malipo hata huambiwi kama unalipia MANGE KIMAMBI... so hata usiwalaumuHivi kama serikali imeweza kufungia app isionekane mpaka vpn, serikali hiyo hiyo imeshindwaje kudhibiti wananchi wasiweze kulipia hiyo app? Kwa misingi ya kudhibiti mfumo wa malipo
>Endapo kama wewe ni muovu kaa mbali naye!
Sema tu unataka uchomwe sindano ya maji ufeAise sasa besty tunasubiri nini ngoja nimualike na Evelyn Salt tupige threesome matata tugawani hizo mil6
Umenipoteza....jamani ukiwa unaongea na mie tumia lugha nyepesi mwenzenu mie sina akili kivileSema tu unataka uchomwe sindano ya maji ufe
Toka lini?Yule ni Raia wa Marekani mjue
Hatari na sahv utakuwa watu washa upload huko xvideosUnataka privacy kwa kitu ambacho huna ownership nacho, hivyo vipicha vyako kwenye cellphone mtu yeyote akivipata anaweza kuviweka online na hakuna chochote unaweza kufanya, lipia Getty images kama unataka privacy
Haina uwezo wa kumrudisha ana Green cardSerikali haijaamua tu, kumrudisha inawezekana aje a face kesi zake huku
Watu wanaona kwa vpn hakuna jinsiSerikali imeshaifungia app yake haionekani Tanzania mpaka uwe na VPN. Yupo marekani msubirini arudi
He umetaja hela ndogoYule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
HAPO SASA...Nyie mnajirekodi video za ngono za nini kama hamtaki muonekane?
π π π πkipindi hawajampiga BAN bank huko acc ilikuwa inasoma MIL 100+ just in few weeks... yani nakwambia kawa ESCOBA sema hauzi cocaineHe umetaja hela ndogo
sema siku zinavyokwenda watu watajifunza kukwepa kurekodiana na kutumiana picha za ovyooo..Mange songa mbele, ondoa upuuzi ktk jamii na usiogope kabisa!
Tena zidi kufichua uozo na uanaharamu kama wa yule shetani Uwoya
Wabongo mna imani za ajabu ajabu sana.Laana inamtafuna na kwa haya ajiandae wanae watayabeba malipizi
Jinga Hilo achana naloYaani nimemshangaa sana, sijui wengine hua wanawaza kwa kutumia nini walai,
Eti lazima U prove damage uliyoipata na sura yako pekee haitoshi lazima uwe na copy right, lol
Kwa hiyo hizo sheria za Cyber bullying ni za bure tu kumbe tunatakiwa kua na Hati Miliki ya Miili yetu.
ManinaUnataka privacy kwa kitu ambacho huna ownership nacho, hivyo vipicha vyako kwenye cellphone mtu yeyote akivipata anaweza kuviweka online na hakuna chochote unaweza kufanya, lipia Getty images kama unataka privacy
π π π πhivi yule manzi halogeki???? mbona imekuwa too much au uchawi hauvuki nchiWabongo mna imani za ajabu ajabu sana.
Sawa mzungu basi punguza makasirikoWabongo mna imani za ajabu ajabu sana.