Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waje taratibu maana watapokea kichambo cha 5g
Kumbe selebriti tuukama ni hot hot ya 'selebriti', mpaka 6m,
si haba katoa fursa kwa vijana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni watumia app yake inabidi waachane na udaku wa Mange. Isitoshe kuna vigogo nao wanatumia app hiyo na kutafuta konekshen za video pendwa nchini!
Hachagui anapost yoyote hata za sie kajamba naniKumbe selebriti tuu
Yaani mtu aache kufanya anachofanya kwa starehe yake sababu wewe ni Peeping Tom ?Connection zinaondoa stress. Acheni kujichukua video na App ya Mange itakufa yenyewe tu. Ukikata mirija ya connection baaaasi. Dawa ni kutojirecord so Mange atakosa raw marterials na kiwanda chake kitakufa.
Mil 200m tyuuh?? Useme zaidi ya 500, hapo sawaYule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
Na mange ukitaka kumtibua iseme serikali ya mama vibayaa 😀 😀 😀 anajua kula na kipofu so kumfungia tu mpaka watu watumie VPN ndo kitu pekee serikali inaweza fanya ila sio kwenda kumteka kule marekani wamlete hukuu... au kumfungulia ana chargesInasemekana online App yake imesajiliwa Tanzania,ana wafanyakazi Tz, physical address ipo Dsm na ilikuwaonyesha yeye ni exceptional alionana na kupiga Picha na Rais wenu ,Kifupi Serikalini haijashindwa bali inawezekana watendaji wanaogopa kupoteza vibarua vyao Kwa kisingizio Cha Mama kaleta Uhuru wa habari.......
Aise sasa besty tunasubiri nini ngoja nimualike na Evelyn Salt tupige threesome matata tugawani hizo mil6Hachagui anapost yoyote hata za sie kajamba nani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hachagui anapost yoyote hata za sie kajamba nani
for sure ana balaa sanaa maana waliodownload ni 100k+Mil 200m tyuuh?? Useme zaidi ya 500, hapo sawa
Aku mi stakiAise sasa besty tunasubiri nini ngoja nimualike na Evelyn Salt tupige threesome matata tugawani hizo mil6
Kwa hiyo huko kuna connection zotefor sure ana balaa sanaa maana waliodownload ni 100k+
Peleka tu wanasema unajiuza mwenyewe kisha unajilipaAisee bonge la fursa....ngoja nimpelekee video zangu za threesomes
Shujaa amegeuka kua kilio cha wengiJamani si ni shujaa wa watu huyu,kuna watu wanamshangilia na wamekuwa wakimtumia kama msemaji wao tangu enzi za mwendazake........ tulikataa na kupinga yale yote ila tukaonekana hajujielewi.........acha aendelee kuwapapasa sharubu maana mbwa ukimdekeza sana atakufuata hadi Msikitini
Tumejaa tele kule, kila mwezi anavuta buku buku zetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]for sure ana balaa sanaa maana waliodownload ni 100k+
Ukikuta connection yako kwenye App yake utakuja kufuta hii comment huku kamasi zinakutokaIla kwanini urekodi au urekodiwe hizo video?
Kwanini usifike chumbani kila mtu aweke simu yake sehemu moja?
Utasingizia ulevi, je kuna ulazima wa kulewa hadi kutojitambua?