Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaishi zake [emoji631], mange anajua kucheza na fursa lol.yaah kwa mwezi hakosi mil 200 yule... na siku hizii hafuti connection
Siku hizi ni fulltime, hakuna mida ya wakubwa tena[emoji1787][emoji1787]yaah kwa mwezi hakosi mil 200 yule... na siku hizii hafuti connection
Mange kimambiInaitwaje hiyo app
Na Marekani porn siyo illegal[emoji736]Anaishi zake [emoji631], mange anajua kucheza na fursa lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yani hatarii aiseee... kasepa na kijijii na hivi anamfagilia mama na serikali siku hizi haisemii kabisa anasema inampotezea muda tuAnaishi zake [emoji631], mange anajua kucheza na fursa lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mange anajua kunyamazisha watu, yaan ni full kuwaumbua tyuuh lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Marekani porn siyo illegal[emoji736]
Hivyo ana uhakika wa usalama wake...
vijanaa wa ovyoo mnooo 😀 😀 😀 😀 ninachopenda pilau za kiswahili yani huwa ni motoooo..Siku hizi ni fulltime, hakuna mida ya wakubwa tena[emoji1787][emoji1787]
Wazee wa category ya "Za Kuzimu" oyeee, vijana wa hovyooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mange ana hatareee, uwiiiiih.yani hatarii aiseee... kasepa na kijijii na hivi anamfagilia mama na serikali siku hizi haisemii kabisa anasema inampotezea muda tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazipenda za Kenya, kuna lafudhi fulaani ina amsha amsha, woiiiiiiiiih.vijanaa wa ovyoo mnooo 😀 😀 😀 😀 ninachopenda pilau za kiswahili yani huwa ni motoooo..
kuna siku atapost mjengo wa maana kwa 1000 zetu labda kama hana akili ila sio kwa yule mparee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mange ana hatareee, uwiiiiih.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazipenda za Kenya, kuna lafudhi fulaani ina amsha amsha, woiiiiiiiiih.
Ngoja niende chimbo nkadake ubuyu mwingne. Naona kumenogaa
Mzee ungeuza haki miliki za uzi wako wa kulana kimasikharavijanaa wa ovyoo mnooo 😀 😀 😀 😀 ninachopenda pilau za kiswahili yani huwa ni motoooo..
😀 😀 😀boss sijui nipate wapi boss anilipe kwa viewer nambaMzee ungeuza haki miliki za uzi wako wa kulana kimasikhara
Connection zinaondoa stress. Acheni kujichukua video na App ya Mange itakufa yenyewe tu. Ukikata mirija ya connection baaaasi. Dawa ni kutojirecord so Mange atakosa raw marterials na kiwanda chake kitakufa.
Kuna watu wa ufipani na wanaharakati walishampa kichwa lwa kumpa jina la Dada wa taifa.Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo,
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu adhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Dah kweli mwana umeona mbali sasa nikuwindana tuu. Jamani tahadhari warembo savannah zitawaponza sana.Connection za mange hazivujishwi, zinanunuliwa.. Hii tu inaweka hatari kwa kila mtu maana leo hii ni wachache wana_date na mtu anaemjua muda mrefu. Watu wanaokotana na kubebana,
Jiulize kwa hali hii, mtu akispend laki mbili kwako, akaenda uza connection kwa mange ili apate let's laki tano. Huoni inatoka kwenye kuvujisha kwenda kwenye biashara, yaani inshort tunaanza kuwindana
Unalipia, kwa mwezi bukuKuna malipo ama unapakua tuu na kumwagilia moyo