Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Wiki ijayo natoa connection yangu kaeni mkao wa kula.........








Nikitembea barabarani.
 
vijanaa wa ovyoo mnooo 😀 😀 😀 😀 ninachopenda pilau za kiswahili yani huwa ni motoooo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazipenda za Kenya, kuna lafudhi fulaani ina amsha amsha, woiiiiiiiiih.

Ngoja niende chimbo nkadake ubuyu mwingne. Naona kumenogaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazipenda za Kenya, kuna lafudhi fulaani ina amsha amsha, woiiiiiiiiih.

Ngoja niende chimbo nkadake ubuyu mwingne. Naona kumenogaa
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Connection zinaondoa stress. Acheni kujichukua video na App ya Mange itakufa yenyewe tu. Ukikata mirija ya connection baaaasi. Dawa ni kutojirecord so Mange atakosa raw marterials na kiwanda chake kitakufa.

Connection za mange hazivujishwi, zinanunuliwa.. Hii tu inaweka hatari kwa kila mtu maana leo hii ni wachache wana_date na mtu anaemjua muda mrefu. Watu wanaokotana na kubebana,

Jiulize kwa hali hii, mtu akispend laki mbili kwako, akaenda uza connection kwa mange ili apate let's laki tano. Huoni inatoka kwenye kuvujisha kwenda kwenye biashara, yaani inshort tunaanza kuwindana
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo,

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu adhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Kuna watu wa ufipani na wanaharakati walishampa kichwa lwa kumpa jina la Dada wa taifa.

Enzi ya Mwendazake ilikuwa tukimpimga,ila wao ndio huwambii kitu "Da Mange kasema hivi........ Da Mange kasema vile........",kwa kifupi walimsifia sana kapitiliza kwao na leo ana watusi wao wenyewe na baadhi ya maslay queen na wanawake.

Pamoja ndio dada zetu wengi hawaja tulia ila haiwaondolei utu wao na haki yao ya kuheshimu faragha zao.
 
Ila mtu ambae baba yake alifanyiwa ufirauni, akadhalilika kiasi kile unadhani ana utu,, hana Cha kupoteza anahisi kwa kufanya hivyo anapunguza machungu ya kile alichotendewa baba yake mpk akajiua
 
Connection za mange hazivujishwi, zinanunuliwa.. Hii tu inaweka hatari kwa kila mtu maana leo hii ni wachache wana_date na mtu anaemjua muda mrefu. Watu wanaokotana na kubebana,

Jiulize kwa hali hii, mtu akispend laki mbili kwako, akaenda uza connection kwa mange ili apate let's laki tano. Huoni inatoka kwenye kuvujisha kwenda kwenye biashara, yaani inshort tunaanza kuwindana
Dah kweli mwana umeona mbali sasa nikuwindana tuu. Jamani tahadhari warembo savannah zitawaponza sana.

Hawa warembo wa telegram sasa naona watakuwa na offa lukuki za threesome
 
Back
Top Bottom