Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Jamani si ni shujaa wa watu huyu,kuna watu wanamshangilia na wamekuwa wakimtumia kama msemaji wao tangu enzi za mwendazake........ tulikataa na kupinga yale yote ila tukaonekana hajujielewi.........acha aendelee kuwapapasa sharubu maana mbwa ukimdekeza sana atakufuata hadi Msikitini
Baniani mbaya kiatu chake dawa brother..
Mange alikuwa vocal kiujasiri hadi akapata tuzo kama activist, hiyo haiwezi kufutwa lakini anapovuka mstari lazma watu waseme
 
Ila mtu ambae baba yake alifanyiwa ufirauni, akadhalilika kiasi kile unadhani ana utu,, hana Cha kupoteza anahisi kwa kufanya hivyo anapunguza machungu ya kile alichotendewa baba yake mpk akajiua
Baba yake nani tena
 
Suluhisho ni watu kuacha kuitumia.
Kama ipo maana yake kuna wateja

Serikali ilishachukua hatua ikaifungia

Wanaongalia wanatumia VPN (Virtual Private Network)

Ukitumia mtandao wa kawaida huoni

Sasa kama mpk mtu anainstall VPN maana yake tatizo lipo kwa walaji
umemalizaa kama enzi za mwendazake alipofungia twitter
 
kuna siku atapost mjengo wa maana kwa 1000 zetu labda kama hana akili ila sio kwa yule mparee..
Atajenga yulee, akili anazo haswaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah kweli mwana umeona mbali sasa nikuwindana tuu. Jamani tahadhari warembo savannah zitawaponza sana.

Hawa warembo wa telegram sasa naona watakuwa na offa lukuki za threesome
Hao hawawazi, ukipost mule ni kama umepromote biashara. Shida ni kwa dada zetu maana ndio wahanga, anatongozwa leo, anatangaza shida na jamaa anasupply kumbe kashapiga hesabu za mtonyo wa mange.. Nani atapona mzee

Hata hii connection ya Irene, inaonesha kabisa alikuwa amezima, hajitambui na jamaa alimvua nguo makusudi ili amrekodi. Inshort aliyerekodi alidhamiria

Nawashangaa sana wanawake wanaosupport wasijue kumbe hata wao wanaweza kuwa next victims
 
Hivi ni mimi tu sijajua/ kuona hicho kinacho zungumziwa kwa Irene au kuna wenzangu pia? Tujuane aisee....

Huyu Dada wakuitwa Mange ni anavuka mipaka sasa....
Watu anaowachafua nafikiria wangekuwa ndugu zake angeweza kufanya hivyo?

Anyway! Siku zote kichaa anachekesha ikiwa hatokei familia yenu/yako..
 
Back
Top Bottom