Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Ila hii ya uwoya waligombana na mtu wake, ndo akatshia utaona, uwoya akajibu mapigo, ndo jamaa alituma kwa mange, hii video ilichukuliwa 2018.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mtu wake kwanini asimfungulie mashtaka
 
Mkuu kama una hizo connection nitumie
 
Mil 200 dola au sh? Keshaingiza sana sana, kwa kibongo bongo tunaweza kumuweka kwenye kundi la mabilionia sasa. BTW mimi nadhani Mange anaonyesha uozo uliojificha kwenye jamii yetu na si zaidi. Jamii yetu imeoza, si wachungaji, si kina mama watu wazima, si viongozi ni ngono zembe na umalaya kwa kwenda mbele.
 
Hivi mkuu Unaweza kunirushia hiyo connection ya Irene uwoya
 
Kweli akili ni nywele. Sasa kama unaona ni starehe basi kubali starehe yako ionyeshwe hadharani. Wewe ni mke wa mtu tena mama mtu mzima na unatembea na vijana jika la watoto wako wanafikia hatua ya kukurikodi halafu unalilia? Ukipenda boga...
 
Ze Utamu alimzingua nini mzee wa Msoga mkuu?
Achana hao watu walioingia kwenye mtandao juzi juzi. Hiyo ''ze utamu'' wala haikuwa lolote zaidi ya mtu aliyekuwa na blog lake anaandika matusi tu. Tatizo ilikuwa enzi hizo watu walikuwa hawajajua mtandao na uwazi. Kwa Kikwete wali-edit picha na kumfanya Kikwete aonekane kama mwanamke, hakukuwa na zaidi.
 
Mange anaonyesha umalaya uliokubuhu kwenye jamii zetu. Kuna wengi walikuwa hawajui mwanamke kama Irene ni kahaba tu anayejua kutumia mwili wake vizuri. Acha Mange aonyeshe jamii ilivyooza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…