macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ndivyo unavyodhani siyo. Kuna leo na kuna kesho. Mungu akiwajilia watoto wao watakua na pengine watakuwa na wajukuu. Haya mambo athari zake zinakwenda mbali.sema binadamu TUNASAHAU.. iko wapi ya menina au nandy si wapo wanasongaa ma maishaa
Vyote vinarudi ivyo we subiri upepo wa mihemko upite.......Jana Instagram wamepiga Chini Account yake na Leo serikali imepiga block malipo kwenda kwenye application yake.
Wale watetezi wake Njooni mumteteeView attachment 2315830
Good [emoji106] newsJana Instagram wamepiga Chini Account yake na Leo serikali imepiga block malipo kwenda kwenye application yake.
Wale watetezi wake Njooni mumteteeView attachment 2315830
Wabongo mnapenda sana kuropoka ok malipo yamezuiliwa rasmi unasemaje kuhusu hili?Sijazungumzia google play.
Wasimamishe malipo ya wambea lukuki wanaolipia App kwenye kampuni za simu kama Airtel, Voda, Tigo. Serikali inaweza kuzuia miamala ya kutoka na kuingia kwa kimavi
SawaVyote vinarudi ivyo we subiri upepo wa mihemko upite.......
Wewe vipi wewe? Malipo yamezuiwa maana yake watu wetu watasitiriwa mambo yao ya binafsi, watoto hawataathirika. Na yeye kimavi hatapata hela zetu. Hi hilo tu. Basi.Wabongo mnapenda sana kuropoka ok malipo yamezuiliwa rasmi unasemaje kuhusu hili?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Siyo kirahisi hivyo. Anaweza kuanzisha webpage na akafanya iwe free. Sana sana atakuwa amekosa fedha (be informed: ameshakusanya fedha nyingi sana). Mimi simtetei ila naangalia mambo in a bigger picture: jamii yetu imeoza, na hakuna maadili yoyote kama tunavyokuwa wanafiki siku zote kwa kusema ''maadili ya kitanzania''. Kuanzia kwa viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa, wadangaji-wasanii, wa-mama na wa-baba watu wazima, jamii imeoza na anachofnya Mange ni ku-expose kilichopo. Mtu anayejiita askofu na mwenye wafuasi wa dini kama Gwajima ukiambiwa anaweza kujirekodi video ya porn ungeamini bila kuona? Acha afungue jamii macho.Wewe vipi wewe? Malipo yamezuiwa maana yake watu wetu watasitiriwa mambo yao ya binafsi, watoto hawataathirika. Na yeye kimavi hatapata hela zetu. Hi hilo tu. Basi.
Mmh! Kumbe kuna watu mpaka sasa hivi bado hamjauona utupu wa Irene uwoya? Kweli, watanzania tu wazembe!Hivi mkuu Unaweza kunirushia hiyo connection ya Irene uwoya
There is always be an alternative, kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia hawezi kukosa njia, alafu kumbuka pia kuwa sasa hivi ameshakusanya mtaji mkubwa kiasi kwamba anaweza kuhire mtaaalam yeyote kumsaidia kufigure out namna ambavyo tutakuwa tunaruka viunzi vilivyowekwa, teknolojia yetu bado iko chini sana, na watalaam wetu bado hawana ubunifu wa kutosha sidhani kama wanaweza kushindana na watalaam wake wa kihindi.Wabongo mnapenda sana kuropoka ok malipo yamezuiliwa rasmi unasemaje kuhusu hili?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Watu wenyewe ni wachoyo wa connection ebu naomba kama unayoMmh! Kumbe kuna watu mpaka sasa hivi bado hamjauona utupu wa Irene uwoya? Kweli, watanzania tu wazembe!
Anategemea wateja sababu zile clip ananunua. Dawa ya mtu anayeharibu maadili ni kumdhibiti na wakati huo huo kuthibiti maadili ya jamii. Huwezi kuacha mambo yaende hovyo tu eti sababu kuna shida kwenye jamii na itajirekebisha yenyewe! Hatujafika huko sie sio marekani alipo yeye! Na maoni yangu kwenye huu uzi yanalenga watoto sio watu wenye akili zao na uwezo wa kuanua watakacho:Siyo kirahisi hivyo. Anaweza kuanzisha webpage na akafanya iwe free. Sana sana atakuwa amekosa fedha (be informed: ameshakusanya fedha nyingi sana). Mimi simtetei ila naangalia mambo in a bigger picture: jamii yetu imeoza, na hakuna maadili yoyote kama tunavyokuwa wanafiki siku zote kwa kusema ''maadili ya kitanzania''. Kuanzia kwa viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa, wadangaji-wasanii, wa-mama na wa-baba watu wazima, jamii imeoza na anachofnya Mange ni ku-expose kilichopo. Mtu anayejiita askofu na mwenye wafuasi wa dini kama Gwajima ukiambiwa anaweza kujirekodi video ya porn ungeamini bila kuona? Acha afungue jamii macho.
Aaaah waifungulie bhana, watu tumemic heka heka, lolTuliongea humu tukaonekana vichaa KAZI inaendelea View attachment 2315675
Sijui sasa wao wenyewe. UwiiiiihKama mtu wake kwanini asimfungulie mashtaka
Nakosaje sasa mie?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bibie vip una connection ya Irene uwoya?
APP enyewe inagoma ku log in, hata ukitumia VPN.Jana Instagram wamepiga Chini Account yake na Leo serikali imepiga block malipo kwenda kwenye application yake.
Wale watetezi wake Njooni mumteteeView attachment 2315830
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ungo mpaka us na baridi hili [emoji3][emoji3]
Atarudi kwa kua sio Mara ya kwanza kupigwa ban ,Yuko US anaenda insta anaongea nao tofautisha na siye wa huku manzese sisi kwa sisi
Bado kirungu kingine kinakuja soon mtafurahiAPP enyewe inagoma ku log in, hata ukitumia VPN.
Wapenda umbea na ubuyu, tuna msiba wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itafunguliwa tu we utaona tuuAcc yake ya insta imefungwa. Lol