Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh unamaanisha kua.......Ukweli ni kuwa anayosemaga mange kimambi asilimia 95% huwa ni ya kweli kabisa
Mfano mambo mengi nayoyajua nadhani ni mimi tu najua hiyo siri mange huyasema najikuta nashangaa kujiuliza amejuaje
Mange huwa ni mkweli kabisa labda changamoto huwa ni jinsi anavyowasilisha
Kinachomponza mange ni kuwa mkweli, mange ni msema kweli kabisa wala huwa hamsingizii mtu
Anarudishwa vizuri tu hawajaamua tu.Serikali haijaamua tu, kumrudisha inawezekana aje a face kesi zake huku
Doh dada nakojoa kumbe alipewa dola 1M,,,.....watoto wa wazuri hawafi kazi ipoNimemshanga sana mshikaji wangu kujiingiza kwenye siasa baada ya kupambana kutengeneza income stream nzuri tu ya maisha yake.
Usikubali watu unaowapenda iwe sababu ya kumwagia kitumbua chako mchanga.
Alipokuwa amefikia Mange sio mtu wa kuongwa hata $1 million kwa long term goals za biashara yake. Hapo tayari hakina Nape walikuwa wamemfanyia kauzibe ya kuchungulia account yake inatengeneza kiasi gani na kuzuia malipo ya raisi ya watanzania vinginevyo angekuwa richer.
Angetumia na akili timamu baada ya kuona huo wivu wa watanzania akitengeneza hela na yeye kupambana kivyake kupitia account yake ya IG had ku-maintain income yake kiasi kadhaa angejifunza kitu.
Shida ya Mange, ni kupenda and too loyal (kama mnajuana at personal level au akikupenda ni too loyal).
Mmoja watu anaowapenda ni Mwamvita Makamba you can’t blame (achana na kumsema kwa sababu za hasira). Deep down Mange anampenda Mwamvita for one reason only, Mwamvita ana roho nzuri ya kutoa (ndio maana wanampenda na Mange anawachikia wake wanaomtumia hasa wale ambao kawatambulisha yeye kwa Mwamvita).
Kwa mujibu wa Mange Mwamvita. kukupa $10,000 kwake sio issue na adai hiyo kabla hata kaka yake ajashika hizi nafasi za upigaji, ni mtu wa kutoa naturally akiwa nacho.
Sasa sina shaka hata hayo masoko ya nchi nyingine zingine anayodai atafikia Mwamvita has something to do kumfungulia. But then soko kuu la Mange ni Tanzania, na hapo mtu wa mwisho wa kutafuta ugomvi nae ni rahisi wa hiyo nchi kama unataka kufanya biashara.
Mafanikio ya kibiashara hayataki emotions, it was stupid of her kutafuta ugomvi na raisi wa Tanzania kwa vitu ambavyo awezi badili zaidi ya kujitafutia maadui unnecessary.
Usikubali kutumika kishamba na kujiaribia kazi kubwa uliyofanya mwenyewe wakati una majukumu yako yakulea watoto.
Very stupid of her ku-compromise biashara yake kwa sababu ya kufurahisha watu, Mange sio kuongwa dollar million moja leo, ujinga zaidi ni kupoteza millioni ya moja ya biashara kuridhisha watu.
Say it againAcc imerudii 😄😄😄
sijui mtaambia nini watu🤸🏼♀️🤸🏼♀️
Anarudishwa vizuri tu hawajaamua tu.
Mtu mwenyewe kaenda juzi tu na bwana aliyempeleka kakimbia.
Wakimuamulia ni sekunde tu atakua kipawa
Ukweli ni kuwa anayosemaga mange kimambi asilimia 95% huwa ni ya kweli kabisa
Mfano mambo mengi nayoyajua nadhani ni mimi tu najua hiyo siri mange huyasema najikuta nashangaa kujiuliza amejuaje
Mange huwa ni mkweli kabisa labda changamoto huwa ni jinsi anavyowasilisha
Kinachomponza mange ni kuwa mkweli, mange ni msema kweli kabisa wala huwa hamsingizii mtu
Eti huyu naye ni graduate ,ndiyo maana walimu wao wanadai pale ni jalalaniMANGE FUNDIKA HAPA, ACHA UMBUMBUMBU.
CAG RIPOTI, MWENDOKASI, TOTO AFYA KADI NA AJIRA.
Na, Suphian Juma Nkuwi
Mange Kimambi baada ya kuonesha mdhaifu na mwoga kwa kukimbia mjadala nami kwa kuni-block baada ya kukosa ushahidi wa shutuma zako dhidi ya Rais wetu na mwanae Abdul, leo naona umekuja na hoja ucharwa kwamba Rais wetu kipenzi cha Watanzania Dkt ameshindwa kuongoza nchi ukirejea hoja za Mwendo kasi, ripoti ya CAG, NHIF, Toto afya kadi na Ajira.
Wewe ni mbumbumbu hujui kitu na anapotoshwa na wajinga wachache wa hapa nchini, sasa ngoja nikuelimishe maana upo nje ya nchi, mageuzi yanayofanywa na Rais Dkt Samia huyajui unasubiri hadi uhadithiwe.
RIPOTI YA CAG.
Kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2022/2023 Taasisi za Serikali 475 zilizokaguliwa kati yake 471 zilipata Hati zinazoridhisha.. Kuonyesha kwamba utendaji kazi wa Taasisi nyingi za umma umebadilika.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 5.
Hadi Kufikia Juni 2023 Mapendekezo yaliyotolewa na CAG yafanyiwe kazi na Serikali yalikua ni 7,342. CAG anakiri Mapendekezo 2,946 yametekelezwa kikamilifu, Mapendekezo yake 2725 yanaendelea kutekelezwa na mapendekezo mengine yalikua yamepitwa na wakati kutekelezwa.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 11. Hoja ya kwamba Ripoti ya CAG haifanyiwi kazi na mapendekezo yake ni UONGO Mkubwa!!!
MWENDOKASI
Kuhusu Hoja ya Mradi wa Mwendokasi, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu ilitoa Miezi 7 kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Kuhakikisha inapatikana Kampuni Binafsi itakayotoa huduma hii ya Usafiri kwa umma.
Tayari Kampuni 30 zimejitokeza kuwania Zabuni ya uendeshaji wa mradi huu na mchakato wa Zabuni unaendelea.
Wakati Huo Huo Mradi wa Mwendokasi uliojengwa kwa awamu moja ya Kwanza, sasa hivi Awamu ya Sita Mradi wa Mwendokasi unaendelea kupanuliwa na sasa utekelezaji wa Ujenzi unaendelea hadi awamu ya Sita ya Mradi wa DART lengo la mradi huu ni maeneo yote ya Jiji la Dar es Salaam kufikiwa na Mabasi Yaendayo Haraka!
TOTO AFYA KADI
Toto afya kadi ambayo ilikua inahudumia watoto Laki 2 wakati kwa mujibu wa Sensa ya watu na Makazi Tanzania ina watoto zaidi ya Milioni 20 haijafutwa
NHIF ilifanya maboresho ya utaratibu wa usajili na huduma za watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya TOTO AFYA KADI Ambapo watoto wanasajiliwa kama wategemezi kupitia vifurushi vya Bima ya Afya au kupitia Shule wanazosoma. Kwa mujibu wa taarifa za NHIF watoto wote waliokuwa wanasajiliwa kifurushi hiki tayari wamesajiliwa vifurushi vingine vya Bima.
Hakuna Mtoto aliyekuwa anapata huduma kupitia Toto Afya kadi anateseka wala kukosa Matibabu tena!!
AJIRA
Watumishi zaidi ya Elfu 375,319 wamepandishwa vyeo kwa gharama ya Shilingi bilioni 85.89.
Watumishi zaidi ya Elfu 142,793 wamelipwa malimbikizo ya Mishahara jumla ya Shilingi bilioni 240.7 zimetumika, watumishi 81,561 watapandishwa vyeo kabla ya Mwaka huu wa Fedha kukamilika jumla ya Shilingi bilioni 90.85 zitatumika. Ndani ya Kipindi kifupi cha Rais Samia Watumishi wa umma wapya Elfu 81,137 wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za umma.
Kubwa Zaidi Rais Samia ametenga Bilioni 230.03 kuajiri watumishi wengine Elfu 47,374 hii haijapata kutokea!!!
Nimalizie kwa kukumbusha na kukuhakikishia kwamba awamu hii umefeli na utafeli big time unahangaika bure kumtukana Mhe. Rais Dkt Samia na familia yake, tupo nae Ikulu hadi 2030 na nakuhakikishia;
1) App yako ya kudhalilisha watu hutarudishiwa
2) Punde utarejeshwa nchini Tanzania kujibu mashtaka zaidi ya manne yanayokukukabili.
Suphian Juma Nkuwi,
Singida,
Juni 6, 2024
View attachment 3009547
Hivi we jamaa hata wadudu kama nzi na mchwa huwa wanakusikiliza ukiwa unaongea kweliMANGE FUNDIKA HAPA, ACHA UMBUMBUMBU.
CAG RIPOTI, MWENDOKASI, TOTO AFYA KADI NA AJIRA.
Na, Suphian Juma Nkuwi
Mange Kimambi baada ya kuonesha mdhaifu na mwoga kwa kukimbia mjadala nami kwa kuni-block baada ya kukosa ushahidi wa shutuma zako dhidi ya Rais wetu na mwanae Abdul, leo naona umekuja na hoja ucharwa kwamba Rais wetu kipenzi cha Watanzania Dkt ameshindwa kuongoza nchi ukirejea hoja za Mwendo kasi, ripoti ya CAG, NHIF, Toto afya kadi na Ajira.
Wewe ni mbumbumbu hujui kitu na anapotoshwa na wajinga wachache wa hapa nchini, sasa ngoja nikuelimishe maana upo nje ya nchi, mageuzi yanayofanywa na Rais Dkt Samia huyajui unasubiri hadi uhadithiwe.
RIPOTI YA CAG.
Kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2022/2023 Taasisi za Serikali 475 zilizokaguliwa kati yake 471 zilipata Hati zinazoridhisha.. Kuonyesha kwamba utendaji kazi wa Taasisi nyingi za umma umebadilika.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 5.
Hadi Kufikia Juni 2023 Mapendekezo yaliyotolewa na CAG yafanyiwe kazi na Serikali yalikua ni 7,342. CAG anakiri Mapendekezo 2,946 yametekelezwa kikamilifu, Mapendekezo yake 2725 yanaendelea kutekelezwa na mapendekezo mengine yalikua yamepitwa na wakati kutekelezwa.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 11. Hoja ya kwamba Ripoti ya CAG haifanyiwi kazi na mapendekezo yake ni UONGO Mkubwa!!!
MWENDOKASI
Kuhusu Hoja ya Mradi wa Mwendokasi, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu ilitoa Miezi 7 kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Kuhakikisha inapatikana Kampuni Binafsi itakayotoa huduma hii ya Usafiri kwa umma.
Tayari Kampuni 30 zimejitokeza kuwania Zabuni ya uendeshaji wa mradi huu na mchakato wa Zabuni unaendelea.
Wakati Huo Huo Mradi wa Mwendokasi uliojengwa kwa awamu moja ya Kwanza, sasa hivi Awamu ya Sita Mradi wa Mwendokasi unaendelea kupanuliwa na sasa utekelezaji wa Ujenzi unaendelea hadi awamu ya Sita ya Mradi wa DART lengo la mradi huu ni maeneo yote ya Jiji la Dar es Salaam kufikiwa na Mabasi Yaendayo Haraka!
TOTO AFYA KADI
Toto afya kadi ambayo ilikua inahudumia watoto Laki 2 wakati kwa mujibu wa Sensa ya watu na Makazi Tanzania ina watoto zaidi ya Milioni 20 haijafutwa
NHIF ilifanya maboresho ya utaratibu wa usajili na huduma za watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya TOTO AFYA KADI Ambapo watoto wanasajiliwa kama wategemezi kupitia vifurushi vya Bima ya Afya au kupitia Shule wanazosoma. Kwa mujibu wa taarifa za NHIF watoto wote waliokuwa wanasajiliwa kifurushi hiki tayari wamesajiliwa vifurushi vingine vya Bima.
Hakuna Mtoto aliyekuwa anapata huduma kupitia Toto Afya kadi anateseka wala kukosa Matibabu tena!!
AJIRA
Watumishi zaidi ya Elfu 375,319 wamepandishwa vyeo kwa gharama ya Shilingi bilioni 85.89.
Watumishi zaidi ya Elfu 142,793 wamelipwa malimbikizo ya Mishahara jumla ya Shilingi bilioni 240.7 zimetumika, watumishi 81,561 watapandishwa vyeo kabla ya Mwaka huu wa Fedha kukamilika jumla ya Shilingi bilioni 90.85 zitatumika. Ndani ya Kipindi kifupi cha Rais Samia Watumishi wa umma wapya Elfu 81,137 wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za umma.
Kubwa Zaidi Rais Samia ametenga Bilioni 230.03 kuajiri watumishi wengine Elfu 47,374 hii haijapata kutokea!!!
Nimalizie kwa kukumbusha na kukuhakikishia kwamba awamu hii umefeli na utafeli big time unahangaika bure kumtukana Mhe. Rais Dkt Samia na familia yake, tupo nae Ikulu hadi 2030 na nakuhakikishia;
1) App yako ya kudhalilisha watu hutarudishiwa
2) Punde utarejeshwa nchini Tanzania kujibu mashtaka zaidi ya manne yanayokukukabili.
Suphian Juma Nkuwi,
Singida,
Juni 6, 2024
View attachment 3009547
Umesahau namba ya simu au wanayo tayari ?MANGE FUNDIKA HAPA, ACHA UMBUMBUMBU.
CAG RIPOTI, MWENDOKASI, TOTO AFYA KADI NA AJIRA.
Na, Suphian Juma Nkuwi
Mange Kimambi baada ya kuonesha mdhaifu na mwoga kwa kukimbia mjadala nami kwa kuni-block baada ya kukosa ushahidi wa shutuma zako dhidi ya Rais wetu na mwanae Abdul, leo naona umekuja na hoja ucharwa kwamba Rais wetu kipenzi cha Watanzania Dkt ameshindwa kuongoza nchi ukirejea hoja za Mwendo kasi, ripoti ya CAG, NHIF, Toto afya kadi na Ajira.
Wewe ni mbumbumbu hujui kitu na anapotoshwa na wajinga wachache wa hapa nchini, sasa ngoja nikuelimishe maana upo nje ya nchi, mageuzi yanayofanywa na Rais Dkt Samia huyajui unasubiri hadi uhadithiwe.
RIPOTI YA CAG.
Kuhusu Ripoti ya CAG mwaka 2022/2023 Taasisi za Serikali 475 zilizokaguliwa kati yake 471 zilipata Hati zinazoridhisha.. Kuonyesha kwamba utendaji kazi wa Taasisi nyingi za umma umebadilika.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 5.
Hadi Kufikia Juni 2023 Mapendekezo yaliyotolewa na CAG yafanyiwe kazi na Serikali yalikua ni 7,342. CAG anakiri Mapendekezo 2,946 yametekelezwa kikamilifu, Mapendekezo yake 2725 yanaendelea kutekelezwa na mapendekezo mengine yalikua yamepitwa na wakati kutekelezwa.
Soma ripoti ya CAG ukurasa wa 11. Hoja ya kwamba Ripoti ya CAG haifanyiwi kazi na mapendekezo yake ni UONGO Mkubwa!!!
MWENDOKASI
Kuhusu Hoja ya Mradi wa Mwendokasi, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu ilitoa Miezi 7 kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Kuhakikisha inapatikana Kampuni Binafsi itakayotoa huduma hii ya Usafiri kwa umma.
Tayari Kampuni 30 zimejitokeza kuwania Zabuni ya uendeshaji wa mradi huu na mchakato wa Zabuni unaendelea.
Wakati Huo Huo Mradi wa Mwendokasi uliojengwa kwa awamu moja ya Kwanza, sasa hivi Awamu ya Sita Mradi wa Mwendokasi unaendelea kupanuliwa na sasa utekelezaji wa Ujenzi unaendelea hadi awamu ya Sita ya Mradi wa DART lengo la mradi huu ni maeneo yote ya Jiji la Dar es Salaam kufikiwa na Mabasi Yaendayo Haraka!
TOTO AFYA KADI
Toto afya kadi ambayo ilikua inahudumia watoto Laki 2 wakati kwa mujibu wa Sensa ya watu na Makazi Tanzania ina watoto zaidi ya Milioni 20 haijafutwa
NHIF ilifanya maboresho ya utaratibu wa usajili na huduma za watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya TOTO AFYA KADI Ambapo watoto wanasajiliwa kama wategemezi kupitia vifurushi vya Bima ya Afya au kupitia Shule wanazosoma. Kwa mujibu wa taarifa za NHIF watoto wote waliokuwa wanasajiliwa kifurushi hiki tayari wamesajiliwa vifurushi vingine vya Bima.
Hakuna Mtoto aliyekuwa anapata huduma kupitia Toto Afya kadi anateseka wala kukosa Matibabu tena!!
AJIRA
Watumishi zaidi ya Elfu 375,319 wamepandishwa vyeo kwa gharama ya Shilingi bilioni 85.89.
Watumishi zaidi ya Elfu 142,793 wamelipwa malimbikizo ya Mishahara jumla ya Shilingi bilioni 240.7 zimetumika, watumishi 81,561 watapandishwa vyeo kabla ya Mwaka huu wa Fedha kukamilika jumla ya Shilingi bilioni 90.85 zitatumika. Ndani ya Kipindi kifupi cha Rais Samia Watumishi wa umma wapya Elfu 81,137 wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za umma.
Kubwa Zaidi Rais Samia ametenga Bilioni 230.03 kuajiri watumishi wengine Elfu 47,374 hii haijapata kutokea!!!
Nimalizie kwa kukumbusha na kukuhakikishia kwamba awamu hii umefeli na utafeli big time unahangaika bure kumtukana Mhe. Rais Dkt Samia na familia yake, tupo nae Ikulu hadi 2030 na nakuhakikishia;
1) App yako ya kudhalilisha watu hutarudishiwa
2) Punde utarejeshwa nchini Tanzania kujibu mashtaka zaidi ya manne yanayokukukabili.
Suphian Juma Nkuwi,
Singida,
Juni 6, 2024
View attachment 3009547