Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Story zile zile kumhusu mange hakuna mpya wanazosema [emoji38]wanateseka kweli sio masihara
Imebidi nicheke baada ya kuona anaiongelea tena akidhani ni kitu kipya,amuulize Le Mutuz alikuja na hiyo story na jinsi walivyopelekana Instagram mpaka Le Mutuz akanyoosha mikono juu [emoji3][emoji3]
 
Acc imerudii 😄😄😄

sijui mtaambia nini watu🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?

UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Kosa
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?

UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Faragha ya watu inafikaje mtandaoni kama sio kujitoelewa kwa wahusika?
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?

UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
 
Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Unataka kusema kuwa habari zilizopo ni za kweli
 
Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Umepigaje hapo.....heheh
 
Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Faragha maana yake nini?
Yawezekana hujui maana ya faragha au una tafsiri yako kuhusu faragha, hebu tupe maana yako.
 
Sigara nu hatari kwa afya yako ila kampuni za sigara kila sku zinatengenezq kuuza na kupata faida kwa kuuza sigara japo kuna watu wanakufa familia zinabaki yatima nguvu kaz ya taifa inapungua kutokana na matumizi ya sigara ila serikal haiwez kuzuia wala kuzikataza
Mange na application yake ni km kampuni za sigara ameleta mazara meng kwa jamii ila huwezi mfungia sabu iyo ni biashara na biashara sio lazima ikupendeze ww mtumiaji
Mange yupo sana na wala hamna chakumfanya wala hamna pakumpeleka America sio china kwamba nmaweza omba serikal ya Marekan imrudishe wakat ni asylum seeker lakin pia anafamilia
Mange angekua anatukana viongozi wa chadema mngefurahia sana ila kwakua kawagusa bas chawa nmataka ruka nae
 
Mimi sio mfuatiaji wa habari za mange na wala sjui chochote juu yake ila nawahakikishia tu yule kimbau mbau yupo sana na ataendelea kuepo na atawaendelea kuwatoa nishai kila sku na vile ukizingatia wabongo ni maskin atatumia pesa zake kupata taarifa yyte ile aitakayo na ataipata
 
Sigara nu hatari kwa afya yako ila kampuni za sigara kila sku zinatengenezq kuuza na kupata faida kwa kuuza sigara japo kuna watu wanakufa familia zinabaki yatima nguvu kaz ya taifa inapungua kutokana na matumizi ya sigara ila serikal haiwez kuzuia wala kuzikataza
Mange na application yake ni km kampuni za sigara ameleta mazara meng kwa jamii ila huwezi mfungia sabu iyo ni biashara na biashara sio lazima ikupendeze ww mtumiaji
Mange yupo sana na wala hamna chakumfanya wala hamna pakumpeleka America sio china kwamba nmaweza omba serikal ya Marekan imrudishe wakat ni asylum seeker lakin pia anafamilia
Mange angekua anatukana viongozi wa chadema mngefurahia sana ila kwakua kawagusa bas chawa nmataka ruka nae

siku utakayoona clip ya mtoto wako wake au ndugu yako wa kike pia urudi hapa kuja kusema kama haya unayoyasema
 
ATAKUFA,, samahani kwa watoto wake ila uyo mumama anaua watu wengi sana.
 
Faragha maana yake nini?
Yawezekana hujui maana ya faragha au una tafsiri yako kuhusu faragha, hebu tupe maana yako.
Faragha ni mambo ya mtu binafusi. Ambayo mtu hufanya yeye mwenyewe kwa siri au na watu anao wa amini kuto ya towa hadharani. Kwa mfano mtu na mke wake wanavyo fanya chumbani ni siri Yao wawili.
 
Sijawahi kuona Kosa la Mange....!
Kama wenye Video chafu mlishindwa kutunza Video zenu chafu, yeye kuziachia kosa lake ni lipi...!

Mimi naona toka aanze kufanya hivyo inasaidia wengine kucheza kwa step.
 
Back
Top Bottom