Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Vipi kuna connection ya Massanja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi nicheke baada ya kuona anaiongelea tena akidhani ni kitu kipya,amuulize Le Mutuz alikuja na hiyo story na jinsi walivyopelekana Instagram mpaka Le Mutuz akanyoosha mikono juu [emoji3][emoji3]Story zile zile kumhusu mange hakuna mpya wanazosema [emoji38]wanateseka kweli sio masihara
Wewe uliye mwanaume nusu una application gani ambayo mimi sina?
Akikujib nitagZe Utamu alimzingua nini mzee wa Msoga mkuu?
Jichangny uwanj wa ugenini camera zinafchwaInatokeaje wakati sijirekodi, wala sirekodi mtu?
KosaNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Faragha ya watu inafikaje mtandaoni kama sio kujitoelewa kwa wahusika?Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Unataka kusema kuwa habari zilizopo ni za kweliKama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Umepigaje hapo.....hehehKama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Faragha maana yake nini?Kama anaandika ukweli Hana kosa. Wanao and kwa anapaswa kujilekebisha. Wewe ni ushoga au msagaji halafu Habari zako za faraga zikawekwa hadharani mwenye kosa sio aliye ziweka hadharani mwenye kosa ni wewe uliye tenda jambo ambalo halikubaliki kwenye jamii.
Sigara nu hatari kwa afya yako ila kampuni za sigara kila sku zinatengenezq kuuza na kupata faida kwa kuuza sigara japo kuna watu wanakufa familia zinabaki yatima nguvu kaz ya taifa inapungua kutokana na matumizi ya sigara ila serikal haiwez kuzuia wala kuzikataza
Mange na application yake ni km kampuni za sigara ameleta mazara meng kwa jamii ila huwezi mfungia sabu iyo ni biashara na biashara sio lazima ikupendeze ww mtumiaji
Mange yupo sana na wala hamna chakumfanya wala hamna pakumpeleka America sio china kwamba nmaweza omba serikal ya Marekan imrudishe wakat ni asylum seeker lakin pia anafamilia
Mange angekua anatukana viongozi wa chadema mngefurahia sana ila kwakua kawagusa bas chawa nmataka ruka nae
Faragha ni mambo ya mtu binafusi. Ambayo mtu hufanya yeye mwenyewe kwa siri au na watu anao wa amini kuto ya towa hadharani. Kwa mfano mtu na mke wake wanavyo fanya chumbani ni siri Yao wawili.Faragha maana yake nini?
Yawezekana hujui maana ya faragha au una tafsiri yako kuhusu faragha, hebu tupe maana yako.