200 mbona ndogo sana,hapo yenyewe kapiga zaidi ya hiyoYule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
Nimecheka hiyo Watu mko Faragha Mtu anakuja na Makamera, [emoji23]Mange anachofanya ni kurudisha watu kwenye mstari.
FARAGHA ziheshimiwe. Watu mko faragha, mtu anakuja na makamera....yanini!?
Watu wakijitambua, Mange atayeyuka taratibu kama barafu na kutokomea kusikojulikana.
Dooh basi ameamua Kufa kibandiduKuna manzi aliwahi kulisema hilo, huyo Mange alisababisha kifo cha ndugu yake. Tulipe muda hili suala, maana nasikia yupo ngangari ila kwake ni too late
Mleta uzi akalale tu.
Waliachana kwa Amani??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan DA mange, yule babu aliporwa au waliachana kwa amani, then ndo akaenda kwa rafik ake??
Wamefungia xvideo ila mwngine hawaweziNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Nakumbukaaa, alikua anaitwa Da Mange,Wakati anamdhalilisha JPM vijana wa ovyo walichekelea na kumpachika udada wa taifa wakati ni bully wa taifa. Hata akija leo hakuna anayeweza kumfunga sababu wanaomtuma na kumlinda ndo hao hao waliopo ngazi za juu.
JPM aliifungia passport yake wengi wakamuona anamuonea.
Ukiwa against nae anakublock,Hako kapuuzi mi nilikatumia ujumbe nikakashauri kakaniblock.
Nilikashauri kasiwekeze pesa kwenye biashara ya kipuuzi inayotegemea kuzalilisha watu ndo biashara iende.
Ila alipaswa awatumie wajinga ambao tayari amewakusanya kama sehemu ya mtaji afanye biashara nyingine.
Nakubali,Mange Kimavi ni mgonjwa.
Nakumbukaaa, alikua anaitwa Da Mange,
Nadhani wengi walikua hawamjui kwa sie tunayemjua tangu ni blogger tulijua tu kuna siku watalia wengi,
Kwanza ni Mwanamke Mwenye Wivu na Chuki kwa Wanawake wenzie ni kama anatamani Maisha ya wenzie ambayo yeye kayakosa, hata hizo Pesa za App hawezi kuzitumia kwa kujiachia anajua fika anawindwa.
Yatamrudi mana watu watampakua binti yake wamtumie connectionZipo zote hadi za miaka ya nyuma anatukumbushia. Pambav sana huyu dada anachofanya sasa hivi ni udhalilishaji uliotukuka.
Hataipost labda msambazianeYatamrudi mana watu watampakua binti yake wamtumie connection
Kuna tofauti ya kujirekodi na ya kurekodiwa bila mwenyewe kujitambua na kusambazwa. Hapo utamlaumu naniKwa upande mwingine yupo sahihi maana anatoa fundisho la kuacha kujirekodi/kupiga picha za utupu, ameona fursa ametumia fursa maana mazimbukuku ya teknolojia yako mengi kila siku yanapiga picha na kujirekodi video za utupu, wapenzi mnapopendana akili itangulie alafu hisia ndo zifate, ubaya wengi mnatanguliza hisia matokeo yake ndo mnapigishana mapicha na kuchukuana mavideo ya utupu yakishavuja akili ndo inakuja.
Wahovyo wamempa passport ale maisha vizuriWakati anamdhalilisha JPM vijana wa ovyo walichekelea na kumpachika udada wa taifa wakati ni bully wa taifa. Hata akija leo hakuna anayeweza kumfunga sababu wanaomtuma na kumlinda ndo hao hao waliopo ngazi za juu.
JPM aliifungia passport yake wengi wakamuona anamuonea.