Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Inawauma now sababu ni super star ndo karushwa ila akirusha jamila ya kwa bibi nyau povu haliwatokagi namna hii. Waache warushwe watanyooka
Yaani lile umbo lake likiwa kwenye nguo, linahamasisha kweli. Nimeliona huko kwa Mange, hovyo kabisaaa!
 
Serikali yetu inamambo yamsingi sana ya kufanya na sio kudeal na xvideos za mange app! Kwanza imefungiwa kwann udownload VPN ukacheki pilauextra!
Unajua hiyo App ishaumiza wangapi hadi sasa??
Msidhani mpo salama na hizo lodges mnazopelekana mshaambiwa kuna Bulb za Camera hayaa sie tupo hapa kutoa pole
 
Unajua hiyo App ishaumiza wangapi hadi sasa??
Msidhani mpo salama na hizo lodges mnazopelekana mshaambiwa kuna Bulb za Camera hayaa sie tupo hapa kutoa pole
Mange ni mjanja sana unadhani hajui all outcomes? Inshort amejipanga na ana mpaka mwanasheria wa app yake. Na kingine kisheria mwandishi haruhusiwi kuhojiwa nani kampa habari.
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Nyie mnajirekodi video za ngono za nini kama hamtaki muonekane?
 
Unajua hiyo App ishaumiza wangapi hadi sasa??
Msidhani mpo salama na hizo lodges mnazopelekana mshaambiwa kuna Bulb za Camera hayaa sie tupo hapa kutoa pole
Bulb za camera tena jaman [emoji849] hatari.
 
Huyu Bibi vitu anavyofanya anakosea sana. Angejifunza wahuni walivyomfanyia baba yake hadi akajiua.

Hata yeye kitu hicho hicho kinaweza kumtokea kilichomtokea baba yake.

Kulipa pesa watu kukutumia video za ngono watu wakifanya mambo yao in private ni uhalifu. Kupiga picha watu wakiwa ICU mahututi ni uhalifu na kuchochea uhalifu.

Watu wanaweza kuwawekea wengine date rape drugs, madawa ya kulevya, pombe kali ili wawapige picha wakiwa uchi, wauze picha na kupata pesa au kuwakomoa washindani / maadui wao.
 
Ila kwanini urekodi au urekodiwe hizo video?

Kwanini usifike chumbani kila mtu aweke simu yake sehemu moja?

Utasingizia ulevi, je kuna ulazima wa kulewa hadi kutojitambua?
Yaani uishi kama digi digi namna hiyo kisa nini hasa??

Hiyo ni ajali kazini tu, haina haja ya kulaumu wanaorekodi.
 
Connection za mange hazivujishwi, zinanunuliwa.. Hii tu inaweka hatari kwa kila mtu maana leo hii ni wachache wana_date na mtu anaemjua muda mrefu. Watu wanaokotana na kubebana,

Jiulize kwa hali hii, mtu akispend laki mbili kwako, akaenda uza connection kwa mange ili apate let's laki tano. Huoni inatoka kwenye kuvujisha kwenda kwenye biashara, yaani inshort tunaanza kuwindana
Ni kweli wasiokijua watu ni hiki, Hakuna aliye salama kwa sasa, unahitaji mtu anayejielewa sana na asiye na njaa/visasi.

Sisi kizazi kipya waturecord tu tutajitetea, ila tuna mama/mashangazi etc, siku ya siku unakuta connection ya shangazi yako huko! Ni huzuni sana.

Inahitaji kujizima data sana na kutokujali wengine ili ufurahie yanayoendelea. Otherwise tusali na mioyo yetu.
 
Back
Top Bottom