Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Bila umbea siwezi ishi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umbea kwanza, mengine baadae. Lol
Shida ni kwamba mange Hana habari mpya ya kushtua zooote tunazijua labda walokuja mjini juzi au watoto wa 200's n.k ndo hawajui
Inshort ktk hii dunia Hana Cha kupoteza ,kashafiwa na wazazi wawili ,Tena baba ake kifo Cha karaha kabisaa
Humu jf tushamtukana sanaaa,kashatukanwa matusi yotee unayoyajua ktk hii dunia ndani na nje ya jf so kwa mange kwa Sasa labda wakiguswa watoto wake ndo atastuka lakini kwa yeye personally Hana jipya yote ndo Yale Yale
Inshort kwa Sasa tusiaminiane huko magesti Bora kuzima taa(Kama kondeboy) tu kuliko aibu Ile!
Na Hakuna kulala kupitiliza
NB;tusisahau kunyoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23]
 
In short huyu sister ana mental problems, yeye anaweza asijue ila hayuko sawa ukifuatilia alipoanzia mpaka alipo Sasa utatambua hilo

Juzi juzi tu hapa alikuwa analia Kwa serikal apewe passport mpya, nahisi akasaidiwa na kashasahau yote naona ukizingatia passport ina expire ndani ya 10 years
 
Nashangaa mnamuhonga mamilioni 😃😃😃
🤣🤣🤣🤣 Dah kumbe ata humu jf tunapigwa tuu watu wanaomba hela ya nauli na chupi tuma laki tunaweza kuishia kuwa disapointed wacha tuwe wabahili tuu na hela zetu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan shost unanivunja mbavu mnooo. Uwiiiioh
Cocastic achafua hali ya hewa, habari kamili kwenye App ya Mange Kimambi
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Pole sana Mkuu na unaonyesha kuwa nawe ni Mhanga wa huko Kujeruhiwa nae.

Hata hivyo pamoja na Kumshutumu Kwako hivi ila 98% ya Taarifa zake huwa ni za Kweli.

Tafadhali Mange piga tu Spana Bibie.
Siku mpendwa wako akitundikwa kwenye hiyo App ndio utajua hujui,

Mie na wewe wote ni Wahanga watarajiwa
 
In short huyu sister ana mental problems, yeye anaweza asijue ila hayuko sawa ukifuatilia alipoanzia mpaka alipo Sasa utatambua hilo

Juzi juzi tu hapa alikuwa analia Kwa serikal apewe passport mpya, nahisi akasaidiwa na kashasahau yote naona ukizingatia passport ina expire ndani ya 10 years
Sasa hivi atazidi kuishi kama Digi Digi na hawezi tena kuja Tanzania maana sijui Watu wanamraruraje,

Kwanini lakini Mtu anachagua Maisha ya Kishenzi na Kidhalimu, inasikitisha ujue.
 
Duh...jameni wacha tukasafishe viwanja vyetu walaubtuje ge chumba na sebule maana huku kugegedana kwa lodge sasa ni kuabishana hasa sie wenye vibamia na dakika moja nyingi tumemwaga wadhungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huko magetoni kabla hamjaanza kugegedana simu mzime akazifungie stoo kwenye ndoo za mchele
 
Ila hii ya uwoya waligombana na mtu wake, ndo akatshia utaona, uwoya akajibu mapigo, ndo jamaa alituma kwa mange, hii video ilichukuliwa 2018.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msemaji wa familia wa kujitegemea.
 
Kabisaaaa, kwa Bongo hapa ikipita week tusha sahau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nasubir ya Aristoteee mie, sijui mkewe atamuambia nn, woiiiiiih.
Kuna mwamba anasema anasubiri yako. Sijui utamwambia nini girlfriend wako akiona [emoji91] unachochewa.
 
Yule dada kwa sasa inawezekana ni raia kabisa wa US. Mpaka anafungua ile app inamaana kwa nchi yake ameshapitia kwenye tume zote zinazosimamia tasnia ya habari na maudhui mitandaoni na akapewa go ahead kwa sababu analipa kodi.
Kwa nchi aishiyo uchafu wa mitandaoni duniani, karibu 70% unatoka huko, hivyo kwa maudhui anayoyarusha yeye "HUENDA" kwao si kitu kabisa. Ndio maana anakua na jeuri kila kukicha.
Hata hivyo huku kwetu watu "hasa wa wanawake na wasichana" hawajifunzi kupitia makosa yaliyofanywa na wenzao ndio maana kila leo mambo yao yanavuja. Ndio maana Mange akaona atumie ujinga huohuo ujiingizia kipato.
 
Back
Top Bottom