reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Shida ni kwamba mange Hana habari mpya ya kushtua zooote tunazijua labda walokuja mjini juzi au watoto wa 200's n.k ndo hawajuiBila umbea siwezi ishi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umbea kwanza, mengine baadae. Lol
Inshort ktk hii dunia Hana Cha kupoteza ,kashafiwa na wazazi wawili ,Tena baba ake kifo Cha karaha kabisaa
Humu jf tushamtukana sanaaa,kashatukanwa matusi yotee unayoyajua ktk hii dunia ndani na nje ya jf so kwa mange kwa Sasa labda wakiguswa watoto wake ndo atastuka lakini kwa yeye personally Hana jipya yote ndo Yale Yale
Inshort kwa Sasa tusiaminiane huko magesti Bora kuzima taa(Kama kondeboy) tu kuliko aibu Ile!
Na Hakuna kulala kupitiliza
NB;tusisahau kunyoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23]