reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Sina Cha kusema umenena kila kitu wawanake tujipende,tujithamini na tujue utu wetu la sivyo koneksheni hazitakaa Ziache kuvuja mileleI agree...
Its the cash that flows into her Accounts.
But then, wanawake tuzijue thamani zetu jamani. Thamani zetuuu... nimejifunza tusiwe vipofu wa akili. Tusiwe vilema wa hisia zetu wenyewe. Tupende kwa akili. Tujifunze kukataa jambo tunaloona kabisa litatukosea heshime either ni leo ama kesho. Uwoya mwenyewe looks so unbothered ilihali watu wanampigania balaa halaf aliyemdhalilisha yuko nae beneath. Maybe kuna kitu behind the scenes anajilinda. Maybe kuna makubwa zaidi. Pia hizi lifestyle za wadada wa mjini jamani zinatuharibia sana mabinti wadogo. . Watafanya chochote kile in the name of money
Best solution ya kumkomesha Mange ni sisi wenyewe kujipenda. Tusikubali kurekodiwa. Tukisema tunablock njiaa hii ya malipo still atapata mbinu ingine. Ulimwengu wa sasa teknolojia iko juu sana. App imefungiwa muda sana lkn kupitia VPN bado inaoperate. Sasa hapa amekomoleka? Na tena isitoshe kwa akili mbovu za Mange anaweza hata fanya app bure bila malipo kukomoa zaidi. Na mbaya zaidi ameshasema ana mavideo hajayaachia aliyaweka vault kuwasitiri kwakua ni vigogo. Naona anapambana kwanza ili ikikaa vzr aachilie. Inasikitisha hadi wamama wamechachuka balaa. Tena umri wa wajukuu kbs.
Tujipende kwanza sisi wenyewe
Irene kwanza hajali anakula Bata mpk kuku wanaona wivu yaani anaoana
Mtu kwa tzshaderoom au Milly Yule Ana mavideo yake ya uchi yashawahi postiwa Tena na alikua anamdeti mume wa mtu Askari akaanikwa hvyo lazima awe mchungu kwa mange by any means,ukiangalia wengine wabibi eti wanajichukua mavideo[emoji853]ya hovyoo
Tubadilike tu kwa namna Bora kabisa ili huyo mange akose content za uchi.