Nafikri Mange kaweka wazi kwanini kaeleza aliyoyaeleza kuhusu familia yake sasa hivi, na kwanini hakuyaeleza hapo mwanzo...,Hana uwaz wowote ule mange mbona miaka yote hajasema aseme baada ya dogo kupiga picha na makonda? Kuna vitu vungne vinahtaji IQ ndogo saana kuvielewa
we nae acha ufa...laUnasoma unachoandika?
Tafakari kitu kimoja why would I and other 50millions plus should be given attention by the government office aka private entity ya Makonda to the visitation of private citizen.
Does Makonda as RC don’t have any better thing to do than talking and posing with Anil,
Would love to hear their outcome of their meeting, how would help me as resident of Dar and citizen of Tanzania in any citizen, labda unafahamu utuelezee hapa!
Lakini nitaanza kukusaidia, moja, Probably they talk about “lishe Bora” for That I would agree.
Or if they talk business na mafanikio yake Anil, we also want to hear, may be we all going to get an inspiration from their meeting to start business of our own.
Or else is the worst of tax payers money kwa kuendeleza udaku ndani ya ofisi ya serikali paid for and financed by your money, my money and money belongs to 50plus millions citizen.
And that’s make us come to conclusion Mange runs this Government in proxy.
Anazidi kuwakuna hawajielewi na hawajitambui, not worthy the position they are holding as public servant.
This tells you and me how incompetent our leaders are ? It is a scum run on steroid.
Usidanganyike!
yo momWho told you??
Picha iliyomaliza vita!!!The only picha inayoliza wengi bwahahahahahahView attachment 745027 View attachment 745027 View attachment 745027 tena nimekuwekea tatu kabisa ,saaafiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khe khe kheeee
Je dogo asingepicha na makonda mngeyajua Haya?Nafikri Mange kaweka wazi kwanini kaeleza aliyoyaeleza kuhusu familia yake sasa hivi na kwanini hakuyaeleza hapo mwazo...,
Alichokifanya Mange ni ujasiri si Tanzania tu itajua kilichotokea kwenye familia yake bali ni dunia nzima,mapambano yanaendelea..
tusubiri 26/4
Kama MANGE genius sana angepotezea kwa muda fulani angefanya kama haoni hadi hayo maandamano yapite aliyoyaanzisha.Si kosa. Japo muhusika kwa sasa anatapatapa kumtoa dada kwenye reli. Yeye atulie tu mbona tunajua hiyo tarehe hakuna chochote anazidi tu kumpa sympathy na kuonekana kweli kawashika pabaya.
Hii ni Tanzania si Kenya tunajijua kabisa vile ni waoga.
Some of them were your educators. Idiot!Kwa kusoma alichoandika huyu Mange na jinsi alivyoandika ni wazi kuwa IQ yake ni ndogo saaana. Watu wanaomkubali sijui IQ zao zikoje.
Kama kumuunga mkono sifuri bashite ndio kujielewa, basi hapo lumumba pana msiba mkubwa sana wa uelewa.Hahah eti guest house anaita hotel..!!! Kama ndugu zake wameanza kumkimbia na kumtenga kwenye Mali inabidi ajitafakari upya..huo ni mwanzo tu..kisha anadhani alivyokamata akili za nyumbu basi atakamata hadi akili za ndugu zake..wanajielewa..asiwatishe kwa Mali..kama ye mwanamke kweli akanyage JNIA kama atafika hata tazara..tena ndugu zake wala wasimjibu waendelee kula Mali za baba..yeye si anakula Mali za chadema
Naunga mkonoSasa tuchukulie mfano kwenye hili.
Serikali imempaisha vipi?
Mdogo wake Mange (Anil), kwa sababu zake mwenyewe, kenda muona Makonda. Wengi hufanya hivyo wakidhani biashara zao mjini zitafanikiwa au kutaka kupata msaada fulani wa mkuu wa mkoa.
Kwa kuwa Mange amemtukana sana Makonda, alipoiona ile picha ya mdogo wake pamoja na Makonda akaingiwa na kichaa na kuandika ujumbe huu wa kuanika mambo yao ya ndani ya kifamilia.
Serikali mkono wake upo wapi hapa?
Acheni kutengeneza stori za kumpaisha bosi wenu halafu mnasema serikali ndio inayofanya hivyo.
Kama inavyosikitisha daudi albert bashite kuwa na wafuasi nyumbu wengi kama wewe hapo lumumba.Aiseeee. Kila movement haikosi wafuasi duniani. Movement ya bi mdada INA wafuasi wengi sana naona. Washabiki wanaongezeka tu. Na yeye anazidi kujidhihirisha kila kukicha jinsi alivyo mfano bora wa wale wanaomfollow. Inasikitisha sana.
Hawana ndugu wakuweza kufikisha huo ujumbe?Huko Instagram ndugu zake wamemblock sijui huyo mange angewafikishiaje huo ujumbe kirahisi zaidi ya njia aliyotumia,?
Huenda angetumia njia ya siri isingekuwa na nguvu ili kuharibu mission.
Yaani unampongeza kwa kuwasiliana na familia yake kupitia social media?? Na wewe utakuwa na matatizo kwenye kichwa kama Mange!hakika mange ww ni mfano hakuna wa kumuacha hata akiwa damu yako hongera kwa kutokuwa mnafiki
Poor you. Usikiogope kinyago ulichochonga mwenyewe, Utakuwa sawa na mwehu.Ni mwehu huyo choko. Ndugu zake wako smart sana, huwezi ukataka wapambane na serikali na kuendekeza ujinga wako wakati wao ndo wanaishi eneo husika masaa yote 24/7. Mwanaume ni lazima uiangalie akili ya dada yako vizuri kwani wewe leo na kesho ndo wa kuijenga familia yenu, sasa unaanzaje kupambana na serikali yako mwenyewe?
Mwanamke hata kwenye familia si wa kuaminiwa make hachelewi kuwauza na akawahasi. Sasa kama yeye uko aliko nani anajua atarudi lini wakati anaonesha kabisa kahasi nchi yake?. Nani anamchagulia yeye marafiki na wale wanaomshika matako?
Sasa leo eti anawatishia kaka zake kwa kupuuzia utoto wake mitandaoni, hata kama ni wadogo kwake bado ni watu wazima wenye kuelewa uzuri na ubaya na cost za anachokifanya dhidi ya familia yao. Na kwa ujinga wake bado haoni kama wanajaribu kumsaidia hata yeye, very rubbish Mange.
Kwanza sidhani kama wanaamini kwa anayoyafanya ipo siku atarudi Tz na ndo maana wanauza waendelee na shughuri zingine. Wewe kuwa mkubwa, ukapewa mali zote alafu kumbe ni zwazwa unayeanzisha vita na serikali ukiwa ugenini huwezi kusifiwa hata na jamaa zako, labda vichaa wenzako tu.
Familia wanahitaji utaratibu mwingine wa kuanza kufikilia maisha yao bila ya wewe kama kiongozi, familia siyo ukubwa wala udada, familia siyo kuishi Marekani wala kuisakama serikali, familia ni kutenda matendo ya hekima kwa unaowaongoza na kuendelea kuwa nao
Poor Mange!
Wewe ndio kilaza, hujioni?Andika kama mwenye akili, toa sababu ya lawama zako japo unaonekana mapema kuwa kilaza
Akili kubwa itoke wapi? Thubutu! Ubongo wa nyumbu.Kweli wanaomuunga Mkono huyu bidada wakapimwe akili, natafakari tu jinsi anavyotaman kurud nyumban azushe varangati halafu haiwezekani. Mhe. Makonda nashauri hiyo hotel ipigwe bango FOR SALE hakwanan atableed huko aliko, asicheze na akili kubwa huyo bich.