The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Bashite ni dimbwi la maji machafu yenye kichocho na kipindupindu.Mbona nimeandika MMEUMIA ndo maana mnatoa mapovu hapa. Makonda anawalaza macho kila siku ndo maana dada enu kutwa kumtaja taja chezea rais wa dar
Makonda ni maji msipoyanywa mtayaoga
Hahahaha kiki ingebuma uzi usingeanzishwa hapa na kukimbiza page kibao. Kiki imetiki na imemuumiza vilivyo mhusika na misukule yake