Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Bashite ni dimbwi la maji machafu yenye kichocho na kipindupindu.
 
Ubonge nyanya na kukosa akili nadhani vina asili na mahusiano ya Karibu sana...! View attachment 744924
Kwahiyo mpaka hiyo 25% ya 400mil alisamehe,lililomuuma ni huyo dogo kuwa na uhusiano na Makonda?.Kwahiyo anataka kuwapangia wadogo zake wapatane na nani au mrengo gani wa siasa?.Ama kweli kama alivyosema inabidi tumuombee.By the way yeye Mange mbona kila siku anahama hama,mara leo CCM kesho UKAWA.
 
Huyu kichaa Mange siku moja atawaweka wazi wote waliokuwa wanampelekea taarifa zikiwemo za serikali then wataumbuka na kukipata kilichomtoa kenge........!!
 
Nafikiri Dogo kamwaga kila kitu kwa Makonda sasa walioko nyuma ya Mange sasa wanahaha!!! Kweli Serikali ina mkono mrefu!!
 
hakika mange ww ni mfano hakuna wa kumuacha hata akiwa damu yako hongera kwa kutokuwa mnafiki
Haka ka Dada nimegundua kitu,
Kanachofanya ni tabia yake ya ndani na hakaigizi,ndo maana nadhani hata ww umekaita siyo kanafiki,unajua wazungu wanatuzidi hapa,huwa wanafanya walivyo kwa ndani,ss tunafanya tusivyo kwa ndani,
Hii tabia huwa naikubali sana,
Hata km ww ni mbaya show it,
Itafanya watu wakujue na wajue wanafanyaje juu yako na wanaweza saidia kukubadili,
Utakuta mbongo maskini,lkn kwa nje unajitutumuuuua km unazo wakati vumbi tu,siku ukikwama utaogopa hata kuomba buku,
Napenda kujifunza tabia ya kuwa nilivyo ndani
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Kila mtu huliona jambo from deferent angle,ww umeliona kwa upande huo na yy aliliona kwa upande wake,na nna amini yy aliyefanya hivi yupo sahihi zaidi ya ww unaesukumwa na chuki nae,
Skia yule dogo kafanya hadharani,
Lazima ajibiwe hadharani,
Yy hakufikiri italeta shida kwa Dada hadharani lazima na Dada ajibu hadharani pia,
Lkn yote kwa yote tusilishupaliiiiie maana ni la ndugu
 
Mali ya Urithi haikai. Walitopitia hayo wanaelewa.

Machalii wale ndio wanamalizia Mzigo na ndio ushakata.

Bashite kapata Loop holes kumtoa kwenye Mstari Mdada, am not sure if he can succeed.
Hakika mkuu
 
Haujafikiri kwa utulivu,
Umesukumwa na chuki,haujapata muda wa kufikili sahihi,
Wapo watu wanatabia ya kukujibu kitu sawasawa na mazingira ya ulichofanya,
Wapo watu ukimtukana hadharani na yy anakujibu hadharani,ili ujumbe uliomfikia hadharani na ww u feel hivo hivo hadharani,
 
haters wa mange wamefurahi knoma!!! atleast wamepata gape la kudhihirisha chuki zao
 
Dada etu ni dhaifu sana kama askari vitani hutakiwi adui ajue wapi base yako ilipo. Yani yeye anarusha makombora mfululu watu wanaumia nayo kimya kimya chumbani mwao ye kaonyeshwa picha tu Amemwaga gazeti. Amefeli kimtindo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…