Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Nafikiri tangu uone amezidi ukoo wako wote unafikiri koo zote ni vilazaTulia wewe bibi usijilinganishe na Mange ni zaidi ya hicho kifamilia chako hapo kijijini yule ni mtu wa kimataifa anaipeleka serikali yenu puta
Hawezi kuja sasa hivi.Aje adai kama anaweza
Lazima.Dogo yupo vizuri harakati za dadake zinahatarisha maisha na Mali za familia,wakati huo dada yao yupo nje safe
Hapo ukute kashinikizwa kuonana na makonda.
Hichi ndio mnakiweza mkuu sababu mna Dola.Mali zenyewe za urithi huyu mwehu anatujazia server kwa ujinga wake,kakazana 25% utadhani kawekeza,kwanza hiyo hoteli ni makazi ya popo na bado TRA inawadai,kwa sisi waafrika mtoto wa kike hana chake katika mali za urithi hata akiwa mkubwa yeye asubiri mgawo kutoka kwa wadogo zake wa kiume.Akizidi kuhamasisha maandamano tutaanzia kubomoa hayo magofu yao ya urithi hapo ndio atajua umuhimu wa amani,anadai hayo magofu sababu ya nchi ni salama .
Wadanganyika hawa bwana.Nakumbuka uliletwa uzi hapa jukwaani kuwa Mange ana wakati mgumu kuhusu mdogo wake wa kiume kupiga picha na RC. Watu wakadai amezoea kuchamba wengine sasa mbona amekaa kimya hasemi chochote kuhusu mdogo wake. Ameamua kuandika watu wanamgeuka tena wanasema IQ yake ni ndogo. Mimi nabaki "kuhemwa" tu.
Kwa iyo akili ya mtu inahusiana na unene, nyie mnasikitisha na kuchekesha.Kwa mwili huo huyo jamaa atakuwa na akili kweli?
Labda tufahamishwe na wanaomfahamu huyu kijana.
Huyo lazima amekula sana vitisho kutoka kwa Makonda.Halafu huyo Anil ana shati moja au mashati mengi ya rangi moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nawaza tu interval ya wakati picha zinapigwa [emoji41]
Kwa kumuangalia tu huyo bonge hapo njaa isha mtafuna sana tumboni na sasa imehamia kichwani.Ubonge nyanya na kukosa akili nadhani vina asili na mahusiano ya Karibu sana...! View attachment 744924
Mkuu nimekuelewa saana. .yani sijui kwa nini wameshindwa kabisa kabisa kuachana nae.Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!
And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.
and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!
Anawakuna kisawasawa!
Kweli uwezo wenu wa ufahamu unazidi kuporomoka. Kitendo cha picha ya Makonda na kaka yake kuwekwa hadharani ndio kimemsukuma Mange kufanya jamii ijue ni nini kinaendelea.Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.
Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!
Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.
Tanzania kuna vituko!
Kiukweli Mange anawakuna haswa watu kila siku wanawashwa.Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!
And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREE.
and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!
Anawakuna kisawasawa!
Wewe una IQ ya ngapi ? Tuanze hapo usijekuta una IQ ya 15 halafu unajidaiii[emoji2]Kwa kusoma alichoandika huyu Mange na jinsi alivyoandika ni wazi kuwa IQ yake ni ndogo saaana. Watu wanaomkubali sijui IQ zao zikoje.
Ni sawa lakini burudani isitusahaulishe uchaji wetu... On serious note tusifanye dhihaka wakati sisi ni waamini kwa matendoAmina Amina AMINA
KUMBUKA HUMU NI BURUDANI PIA..
Na kweli, mission ya Bashite imegonga ukuta. Kama ndugu yako anaweza kukudhulumu 100m wakati bado umemuachia 25% of profit ya hotel aendelee kula for 13yrs atashindwaje kutumika kipropaganda na Bashite kukuumiza?Huko Instagram ndugu zake wamemblock sijui huyo mange angewafikishiaje huo ujumbe kirahisi zaidi ya njia aliyotumia,?
Huenda angetumia njia ya siri isingekuwa na nguvu ili kuharibu mission.