joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
No comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TotalSo, Mange anatukana watu na familia zao kama alivyomdhalilisha yule Sheikh kwa shutuma za kila aina ila hataki ndugu zake wawe na ukaribu na Makonda!
Wao hata hawajatukana au kufanya lolote baya ila kapanic, vp wangedhalilishwa Kama afanyavyo yeye.
Hao ni ndugu, watu wazima wenye mitazamo, hulka, itikadi na imani tofauti, sio mifugo yake hivyo wana maamuzi yao na maamuzi yao yaheshimiwe.
Huyu Mange ni mgonjwa wa akili.
Lakin pia kuna baadhi wadau hapa Jf hawajui huyu Mange kimambi mnafahamiana vipi, wajue tu familia zenu zinaingiliana bongo mpka USA vita vyenu sio vya leo[emoji16][emoji16]- Amechagua maisha ya Social Media ndio matokeo yake haya ukijua ya wengine na ya kwako lazima yajulikane.
le Mutuz
Mkuu huko US masters yake imejikita kwenye ujasiriamali. Watu wanakula tu ndogo kama kawa. Na pia analipia kodi mkuu kwa hiyo sio issue sana. Maana inamtafuna tuDuh, hii sasa kali. Huyu wakili wenu msomi ana degree ngapi? Mara masters in business management, mara entrepreneurship, Mara sijui nini. Leo tena tunaambiwa kasomea sheria. For sure anastahili kumrithi Mbowe, ingawa hata kazi ya reception hana in the US.
Da Mange ni mtoto wa nje ya ndoa...hahahahaMbona hawafanani na Mangi Kimambi ?
Baba mmoja mama tofautiMbona hawafanani na Mangi Kimambi ?
Da Mange ni mtoto wa nje ya ndoa...hahahaha