Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mi nadhani hapa tuseme kuwa
endapo itathibitika ni mhusika wa sakata
hilo sheria ichukue mkondo wake.

Imesemwa mara nyingi kuwa dealers wa
madawa ya kulevya ni watu maarufu.
kama na huyo yumo,sana sana tupige
kelele kama kuna waliosahulika
nao waunganishwe,yaani haki itendeke
wasishughulikiwe wachache na wengine
kubaki uraiani wakiendeleza mchezo mchafu.
 
Mimi sijawahi kujua Mange huwa anataka nini, kipindi cha Kampeni alikuwa upande wa CCM na kuwatupia kila dongo na matusi wapinzani, baada ya kampeni na CCM kushinda kageukia upinzani na kuanza kuitukana CCM kila aina ya tusi. Kuhusu hii ishu ya madawa alionekana kuipigia kelele kwa mda mrefu mtandaoni, hatimaye kapatikana mtu anayeonesha nia ya kupambana nalo ghafla kamgeuka na kuwa against naye. Sasa sielewi nini huwa anataka hasa?
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
kick at work

kaona yuko kimyaaa watu tushamsahau

kaja na nitoke vipi
 
Polisi na intelijensia ya Tz inavyofanya kazi inaniacha hoi.
Sijui kwakuwa niko addicted na IDx kwa kuona wenzetu wanavyofanya kazi.
Wenzetu hawawezi kumhold mtu kama hawana ushahidi wa uhakika uwe wa kimazingira au vithibitisho juu ya kosa analotuhumiwa.
Atahojiwa kama hawana hivyo vitu watamuacha waendelee kumpeleleza taratibu.
Wenzetu mtu kuitwa polisi akahojiwe ni hiari kwenda ama kutokwenda na akifika anaweza akatae kujibu chochote mpaka awepo mwanasheria wake.
Akigoma kwenda basi watatafuta sababu ya kumkamata mfano avunje sheria ya barabara akamatwe apelekwe polisi hapo watamhoji juu ya mahojiano pia ya kosa wanalohisi katenda awali kama hawana ushahidi.
Makonda anachofanya kiko sawa ila ninahisi kuna haki za watu/watuhumiwa hazizingatiwi yani sheria inawekwa pembeni mtu anafanya anavyohisi mwenyewe
aiseee IDX ni nooomaaa...wanakuchunguza for ten yrs mpk wanapata ushahidi!!
 
Haya sasa
2dbb7551287d65543d8791904b545fda.jpg
Ohooooo!!!
 
Huyu wema anavyotritiwa kama special group vile..asiguswe,asiongelewe,asikosolewe.Teh teh
 
Huu uandishi ni wa Mange Kimambi mwenyewe, kumbe ndo unajiita brave one. Hivi Mange Kimambi yeye kama yeye anamchango gani katika taifa hili, na huo uzalendo wake uko wapi. Yaani yeye baada ya kukosa ubunge wa viti maalum aligeuka adui wa kila mwana ccm, huwa najiuliza angepata huo ubunge angeweza kuwa anaropoka hayo anayo ropoka kila leo.
Chenga tu,njaa kibao
 
Huu uandishi ni wa Mange Kimambi mwenyewe, kumbe ndo unajiita brave one. Hivi Mange Kimambi yeye kama yeye anamchango gani katika taifa hili, na huo uzalendo wake uko wapi. Yaani yeye baada ya kukosa ubunge wa viti maalum aligeuka adui wa kila mwana ccm, huwa najiuliza angepata huo ubunge angeweza kuwa anaropoka hayo anayo ropoka kila leo.
Mange ni wa hovyo sana sana ase
 
Safi sana Makonda endelea hivo hivo wananchi waadilifu tupo nyuma yako.
 
Back
Top Bottom