Leopold Rwegoshora
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 328
- 256
kwa uelewa wangu Makonda anachota maji kwenye pakacha..amekurupuka..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana wanahojiwa kupata ukweliNa siyo kila mshukiwa ni mhusika
Kajambe Kule, huyo makonda ndo Mungu wako useme kila mtu amuabudu?Mtu anaemshabikia wema inabidi achunguzwe na yeye, makonda tunaomba na hili ulifanyie kazi
kick at workHivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Ni kosa Nifa..Kwahiyo kutumia madawa ni kosa?
hapana dodomahahaa....hivi mlima kilimanjaro upo Lindi??
Mke wa Lemutuz.Huyu mange ndo nani?
Ohoooo!!!!Wewe na Wema mkisimama nani ataonekana teja?
aiseee IDX ni nooomaaa...wanakuchunguza for ten yrs mpk wanapata ushahidi!!Polisi na intelijensia ya Tz inavyofanya kazi inaniacha hoi.
Sijui kwakuwa niko addicted na IDx kwa kuona wenzetu wanavyofanya kazi.
Wenzetu hawawezi kumhold mtu kama hawana ushahidi wa uhakika uwe wa kimazingira au vithibitisho juu ya kosa analotuhumiwa.
Atahojiwa kama hawana hivyo vitu watamuacha waendelee kumpeleleza taratibu.
Wenzetu mtu kuitwa polisi akahojiwe ni hiari kwenda ama kutokwenda na akifika anaweza akatae kujibu chochote mpaka awepo mwanasheria wake.
Akigoma kwenda basi watatafuta sababu ya kumkamata mfano avunje sheria ya barabara akamatwe apelekwe polisi hapo watamhoji juu ya mahojiano pia ya kosa wanalohisi katenda awali kama hawana ushahidi.
Makonda anachofanya kiko sawa ila ninahisi kuna haki za watu/watuhumiwa hazizingatiwi yani sheria inawekwa pembeni mtu anafanya anavyohisi mwenyewe
Ohooooo!!!Haya sasa![]()
Fidia kwa lipi?kuhojiwa ?!Na Kama ushahidi haupo walipwe fidia pamoja na kuwasafisha katika jamii.
Ila kwa huo usemi wako hapo juu unaonekana unachuki ndo mana umekaa upande mmoja
We unaonajeMkuu vipi tena, kwani mange ni msagaji?
Chenga tu,njaa kibaoHuu uandishi ni wa Mange Kimambi mwenyewe, kumbe ndo unajiita brave one. Hivi Mange Kimambi yeye kama yeye anamchango gani katika taifa hili, na huo uzalendo wake uko wapi. Yaani yeye baada ya kukosa ubunge wa viti maalum aligeuka adui wa kila mwana ccm, huwa najiuliza angepata huo ubunge angeweza kuwa anaropoka hayo anayo ropoka kila leo.
Mange ni wa hovyo sana sana aseHuu uandishi ni wa Mange Kimambi mwenyewe, kumbe ndo unajiita brave one. Hivi Mange Kimambi yeye kama yeye anamchango gani katika taifa hili, na huo uzalendo wake uko wapi. Yaani yeye baada ya kukosa ubunge wa viti maalum aligeuka adui wa kila mwana ccm, huwa najiuliza angepata huo ubunge angeweza kuwa anaropoka hayo anayo ropoka kila leo.