cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watazo kweli anamtifua Vitamin kumi na Bee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watazo kweli anamtifua Vitamin kumi na Bee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe Mange Kimambi ana wafuasi hadi huku JF? Kinachonishangaza, wengi ni wanaume.
Ameshaanz kujibebisha kwaa vijan wa kituruki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binti yuko darasani. View attachment 2003430
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki anachofanya Mange kinaitwa Cyber bullying.
Kheeeeeh kumbe lol
Maelezo mengi ila hayana mantiki hata kidogo. KhaaaaahJamani Kuna vitu vingine mtu unajitakia kusemwa vibaya mfano hakuna mwenye ushaidi kuhusu tuhuma za kulalwa kwa ndugu yetu b ..kumi na mbili ..ila naye life style inachangia watu kumsema vibaya...chanza Cha yeye kusemwa vibaya ni kuwa umri umekwenda bila kuoa...nimeanza kumsikiliza tangu mwaka 2003 nikiwa darasa la tano..mpaka leo ni mtu mwenye 40+ Ana kila kitu nyumba ..gari ..kazi mzuri Cha ajabu anamke Wala mtoto..sijui wazazi wake wanajisikiaje..hii tofauti na tamaduni zetu ..hata professa Jay alipochelewa kuoa alizushiwa kuwa na ngoma...so namshauri ndugu dazani aoe na akumbuke yy ni mtu mzima aache kuvaa vinguo vya kubana...na abadiri mfumo wa maisha.
Na wewe unatupiga kamba mchana kweupe, hilo jina PFunk Majani au Khalfani ni majina ya kwenye sanaa tu kama Snoopy Dogy Dogy tu.Hiki kitambulisho ni fake huyu anaitwa
PAULA PFUNKY MAJANI.
Naelewa mkuu. Tunasogeza siku tu. Hata hilo MAJANI anamaanisha BANGI.Na wewe unatupiga kamba mchana kweupe, hilo jina PFunk Majani au Khalfani ni majina ya kwenye sanaa tu kama Snoopy Dogy Dogy tu.
Jina la passport ni Paul Martyesse
Daaah! Umetisha mzeeHiki kitambulisho ni fake huyu anaitwa
PAULA PFUNKY MAJANI.
Khalfani sio la sanaa ni jina alilopewa na mama yakeNa wewe unatupiga kamba mchana kweupe, hilo jina PFunk Majani au Khalfani ni majina ya kwenye sanaa tu kama Snoopy Dogy Dogy tu.
Jina la passport ni Paul Martyesse
Mama yake mwenyewe bangi tupu, tulikuwa naye KLM.Khalfani sio la sanaa ni jina alilopewa na mama yake
Ntaftie mmoja mwenye miaka 70 tumalizie lifeHamna uhusiano kati ya kuchelewa kuoa na ushoga,kuna watu kibao na wafahamu 50+ hawana ndoa na marijali.
Duh 79+? Hapo ni ummalize life sio mmalizie life. Ummalize ideal na urithiNtaftie mmoja mwenye miaka 70 tumalizie life
Kama yupo nichekiDuh 79+? Hapo ni ummalize life sio mmalizie life. Ummalize ideal na urithi
Mie mwenyewe napambana kutafuta mama mzee mwenye hela nishachoka na wanywa Savannah na wapanda Uber 😃😃😃😃😃😃😃😃😃Kama yupo nicheki
Adobe Photoshop hiiBinti yuko darasani. View attachment 2003430
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki anachofanya Mange kinaitwa Cyber bullying.
Ni photoshop hiyo, hata asiye na utaalam atajua kabisa.Hii mbona kama photoshop?
Ukiangalia hiyo picha vizuri ni kama imekua edited
Shida sio Mange,shida ni wapuuzi wengi tena wengine wana akili nzuri kabisa wanaomwamini kwa kila asemacho wakati ameshawa mislead kweney mambo kibao.Ana katafutia stress tu kale ka totoYaani mama mtu apeleke mtu ilimradi aende tu kuishi huko...nahisi Mange anataka tu kuongeza followers/views sio vizuri hivyo unavyofanya mkuu
Cc mahondawMambo yao waachieni wenyewe...