chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Shangaaa😀Kwan lzima asome 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaaa😀Kwan lzima asome 😂😂
Basi wasichoshe watu kusema anasoma wanatuingiza mkenge wambea😃😃😃Kwan lzima asome 😂😂
Fahyma na Raymond wamerudiana..Jana Ray Kampost nsta story fahyma...ghafla akafuta lakini akawa kachelewaa...wavimba machoo wakawa wameskirni shoti tayariii!!!
😂😂😂😂 Inatakiwa ukimwi wako uuache uende mwenyewe sio??? Umenivunja mbavu....😂😂kwhyo uturuki imejaa ukimwi?? kuna nchi naskia huwezi kwenda na ukimwi wako
😀😀😀kwamba unaukuta umejaa tele😂😂😂😂 Inatakiwa ukimwi wako uuache uende mwenyewe sio??? Umenivunja mbavu....😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inatakiwa ukimwi wako uuache uende mwenyewe sio??? Umenivunja mbavu....[emoji23][emoji23]
Jamani Kuna vitu vingine mtu unajitakia kusemwa vibaya mfano hakuna mwenye ushaidi kuhusu tuhuma za kulalwa kwa ndugu yetu b ..kumi na mbili ..ila naye life style inachangia watu kumsema vibaya...chanza Cha yeye kusemwa vibaya ni kuwa umri umekwenda bila kuoa...nimeanza kumsikiliza tangu mwaka 2003 nikiwa darasa la tano..mpaka leo ni mtu mwenye 40+ Ana kila kitu nyumba ..gari ..kazi mzuri Cha ajabu anamke Wala mtoto..sijui wazazi wake wanajisikiaje..hii tofauti na tamaduni zetu ..hata professa Jay alipochelewa kuoa alizushiwa kuwa na ngoma...so namshauri ndugu dazani aoe na akumbuke yy ni mtu mzima aache kuvaa vinguo vya kubana...na abadiri mfumo wa maisha.
Aisee sikuiona hii
Serious??? Namuonea huruma Paula....Fahyma na Raymond wamerudiana..Jana Ray Kampost nsta story fahyma...ghafla akafuta lakini akawa kachelewaa...wavimba machoo wakawa wameskirni shoti tayariii!!!
Hilo kumbato umelicheki lilivojaa hisia??? Mtu na kengele zake kajilaza kwa mwanaume mwenzie...anajiliza.Aisee sikuiona hii
Inasikitisha kilio hicho cha uchungu wa Mume kabisaaa😬Hilo kumbato umelicheki lilivojaa hisia??? Mtu na kengele zake kajilaza kwa mwanaume mwenzie...anajiliza.
Kale katoto nako kalijua Van boy atadumu nae Mtanga dawa zinamsaidia la sivyoSerious??? Namuonea huruma Paula....
Uchungu wa ex sijui kweli, sijui umbea tu...Inasikitisha kilio hicho cha uchungu wa Mume kabisaaa😬
Mtanga nae kwani kilimuondoa nini na kinamrudisha nini bwana na kiuno chake kigumuuuu!!!! Hebu amuache mtoto Paula ajilie vyakeKale katoto nako kalijua Van boy atadumu nae Mtanga dawa zinamsaidia la sivyo
Pole yake avumilie ila Mwanamke wa kichaga sio mjinga akimuacha huyu baba G ana maendeleo ya maanaUchungu wa ex sijui kweli, sijui umbea tu...
Hadi nmejikuta nammiss warumi 😔
Mama G sijui anajisikiaje na hizi habari
Kwahiyo John wa Marekani akija kusoma bongo ataitwa Yohana?Ina maana hakuna Herufi za Kituruki za jina PAULA PETER ....ngoja nisubiri wajuvi wa mambo ya International Students waje wanisaidie inawezekana International laws haziruhusu jina la mwanafunz wa nje liandikwe kwa lugha tofauti 😎😎😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila dea wee mpana lol.Uchungu wa ex sijui kweli, sijui umbea tu...
Hadi nmejikuta nammiss warumi [emoji17]
Mama G sijui anajisikiaje na hizi habari
Tafuta pesa weweKwenye msiba wa jasiri muongoza njia walikuwa wanakumbatiana kabisa![emoji848]
Pale ndo nilianza kuweka question mark!
Ndo maana kistuli hanaga raha kabisa mweeh!