Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb


Your browser is not able to display this video.
 
Kwahiyo John wa Marekani akija kusoma bongo ataitwa Yohana?
 
Uchungu wa ex sijui kweli, sijui umbea tu...
Hadi nmejikuta nammiss warumi [emoji17]

Mama G sijui anajisikiaje na hizi habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila dea wee mpana lol.
 
Kwenye msiba wa jasiri muongoza njia walikuwa wanakumbatiana kabisa![emoji848]

Pale ndo nilianza kuweka question mark!

Ndo maana kistuli hanaga raha kabisa mweeh!
Tafuta pesa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…