hahahhah uwiii binamu shauri yako.
Mi nawashauri waje tu, unajua watu wanajishtukia kuja ku comment, unakuta sijui ana baby wake humu so akimuona anapiga umbea atamshusha so wanaona soo wakati umbea wanaupenda sana, wajiachie tu siku izi kila mtu anapiga umbea, kwanza unaleta afya na kukupunguzia maumivu na stres, hadi watu wazima wanapenda umbea, watakufa bure uko
Uwa siku nikikosa kazi kule insta uwa napekua account za mastaa wale wenye hadhi zao yani wanaheshimika, naangalia watu walio wafollow, jamani binamu mpaka unashangaa, unakuta mtu anaheshimika anawa follow watu wanaotukana matusi mazito, unakuta account imeandikwa flan kumam*yo mtu ana follow, yani nachekaga kweli, halafu sio mtu mmoja aliye mfollow, watu kibao anawafolow wenye matusi, nachekaga jaman uwiii warumi mie mbeya aisehh, basi uwa nawaonea huruma kweli yani khaa
Hahahahahahahahaha na ukiukosa unasononeka kama umepoteza Tanzanite vile
Halafu uwa sikosi, maana kuna group letu hilo la wambea ni balaa, hakuna siri ya staa tusioijuaa, yani ukitaj jina tu, utapewa taarifa kuanzia mwaka wake aliozaliwa, katokea wapi, anakaa wapi na anatembea nani, na tutakwambia kama ana ngoma au lah, hapana chezeya
Hahahahahahaaa ni hivi basi tu lakini I wish ungekua hata rafiki yangu nje ya JF ila binamu wewe mbea sana!
Hata hivyo 1 day nitakuona tu Inshaallah...
Ahahahh kweli kabisa yani, watu wengi wananifuata PM kuomba namba yangu tuwe tunachat, sema usalama naogopa kutoa, ila nina mpango wa kutengeneza line nyingine next week nadhan, humo nitatoa namba yangu kwa wote tuwe tunachat, maana ata mimi najisikia vbya sana yani ,nataman ile bond ya nguvu, maana wambea mkikutana mnabadilishana mawazo no stress, ha hah hahah
Kuna zile breaking news ukizipata mtu unachanganyikiwa, unataman uwe wa kwanza kutoa taarifa yani, roho inapaa nakwambia khaa mbili haikai wala tatu yani balaa tupu
Breaking news iliyovunja rekodi kwangu ni pale lulu alipofunga account yale, halafu watu wanampa pole, jaman nilichanganyikiwa warumi mie, nahangaika uku na kule kutaka kujua kunani, watu walinipigia simu siku hiyo sijawahi kuona, kila mtu ananitegemea mimi nitakuwa najua habar, basi najitutumua kutafuta umbea mpaka basi, nikipata roho kwatu.
Binamu tuanzishe hilo group bwana tuwe tunajadili mambo nyeti bila wasiwasi wal kufichaficha kama sasa.
Si unajua na ile sheria tena? Huko tutakua huru zaidi.Ila hakuna ruksa kwa asiye mbea.
Watu wanadai blog ya Mange ishaanza kufungiwa bongo, watu kibao sasahivi wanadai hawaipati, hahahahaaa kweli shut up law imekuwa SHARAAAAAP :eyeroll1::tonguez::tonguez:
Watu wanadai blog ya Mange ishaanza kufungiwa bongo, watu kibao sasahivi wanadai hawaipati, hahahahaaa kweli shut up law imekuwa SHARAAAAAP :eyeroll1::tonguez::tonguez:
Hivi da Zenat ilikuwaje?Mange Kimambi sasa mwanao anaenda highschool funga mkanda upambane kulea teenager ndio kunaanza rasmi, kumbuka: MTOTO HATASIKILIZA UNAVYOMFUNDISHA , BALI ATAANGALIA WEWE UNAVYOFANYA.so kuwa very careful.
Mzungu kama kawaida hachukuliii serious kivileee la sivyo angetinga suit,ila anajitahidi sana kukupa support Mange,mshukuru mungu.Wazungu ndio uzuri wao hata kama mmeachana wanatoa support ya kutosha,na anaweza hata akaishi na wewe mtaa moja au hata ikibidi nyumba moja kulea watoto mpaka wakuwe.Hongera, ulifanya la maana angekuwa mweusi huyo usingemsikia tenaaaaa.HAHAHAHAHAHAA UWIIIIIIIIIIIIIIIII
Watu wanadai blog ya Mange ishaanza kufungiwa bongo, watu kibao sasahivi wanadai hawaipati, hahahahaaa kweli shut up law imekuwa SHARAAAAAP :eyeroll1::tonguez::tonguez:
Mange Kimambi sasa mwanao anaenda highschool funga mkanda upambane kulea teenager ndio kunaanza rasmi, kumbuka: MTOTO HATASIKILIZA UNAVYOMFUNDISHA , BALI ATAANGALIA WEWE UNAVYOFANYA.so kuwa very careful.
Mzungu kama kawaida hachukuliii serious kivileee la sivyo angetinga suit,ila anajitahidi sana kukupa support Mange,mshukuru mungu.Wazungu ndio uzuri wao hata kama mmeachana wanatoa support ya kutosha,na anaweza hata akaishi na wewe mtaa moja au hata ikibidi nyumba moja kulea watoto mpaka wakuwe.Hongera, ulifanya la maana angekuwa mweusi huyo usingemsikia tenaaaaa.HAHAHAHAHAHAA UWIIIIIIIIIIIIIIIII
Lol hakuna ruksa,
wataanza kuweka mbili tatu wajiunge hapo ndipo labda watajiachia kifichoni
Hata mimi nilishawaza hiki kitu.Na tunataka wambea tu watu wengine hatuwataki.
Sasa wale ambao hua wanapita huku kusoma umbea itakula kwao...
Natamani mimi ndio nipewe access ya kuruhusu members, nitahakikisha hakuna zaidi ya wambea kwenye hilo group. warumi fanya hivyo basi....au mbea mwingine anayejua kufanya hilo jambo.
Hakunaaaaa halafu hatutaki id's mpya.Ni sisi tunaojuana tu.
Maana watu wanapenda umbea halafu kutwa kutusema.