Mbona sijaona hilo group au sijaitwa.
Umeitwa
mabinamu na mie mnikumbuke kwenye grup hilooooooNasikia unagawa sana mapesa, mi naomba kukutanishwa na wewe.
Umeitwa
Umeitwa
Sasa sisi tusioona notifications itakuwaje?
Na mie nipo na refresh mpaka kidole kimechoka kubonyeza hii app nayo.
Itabidi desktop view labda tutaona.
Plz kol me!!!
Yap, imebidi nitumie website ndio nimeona na nimeshajoin tayari.
Ila aliyeanzisha group afanye editing ya jina la group. I suggest WAMBEA WA JF zaidi maana akisema ladies anakosea.
Wapo wanaume wambea wenzetu tutakua hatujawatendea haki, kama akina warumi n.k
Umeitwa
Yap, imebidi nitumie website ndio nimeona na nimeshajoin tayari.
Ila aliyeanzisha group afanye editing ya jina la group. I suggest WAMBEA WA JF zaidi maana akisema ladies anakosea.
Wapo wanaume wambea wenzetu tutakua hatujawatendea haki, kama akina warumi n.k
Hilo nalo neno aiseh, aliyekwambia wambea siku izi wanawake peke yao nani?, mie warumi nawakilisha wanaume wote wambea, mie ndo balozi wao, so please jina hlo wabadilishe kwa kweli, heshima muhimu, chinekeeeee
Mhhhhh! Mbona mbea wewe sikujui jamani?
Au wenzangu mnamjua huyu?
Samahani lakini.......
Yani sijaona kitu kabisa ngoja nifungue kwa website aisee.
Yap, imebidi nitumie website ndio nimeona na nimeshajoin tayari.
Ila aliyeanzisha group afanye editing ya jina la group. I suggest WAMBEA WA JF zaidi maana akisema ladies anakosea.
Wapo wanaume wambea wenzetu tutakua hatujawatendea haki, kama akina warumi n.k
Pls pls usituletee watu tusiowajua.Naomba member wote wanaotaka kujiunga wawekwe hadharani watu tuseme kama tunamjua au lah.
Tunataka uhuru hatutaki unafiki wa huku.