Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mtoto wa Linda hana ugonjwa wowote , mgonjwa ni yeye kaangalie Linda kapost video za mwanae kazuriiiiiii

Mtoto mzuri tuu, Hana ulemavu wowote, yupo active and ni mwelewa na anaongea vizuri.
 

Mume wake ni choko na alimwambia yeye mwenyewe kwamba hataki tena marriage yeye kaamua kuwa na boyfriend wake niliwaambia hapa muda mkaniona mie muongo haya subirini aje aseme kwa nini kaachika najua jinsi alivyochanganyikiwa atasema tu hivi karibuni
 
Mume wake ni choko na alimwambia yeye mwenyewe kwamba hataki tena marriage yeye kaamua kuwa na boyfriend wake niliwaambia hapa muda mkaniona mie muongo haya subirini aje aseme kwa nini kaachika najua jinsi alivyochanganyikiwa atasema tu hivi karibuni

Kweli ulituambia babampigi mimi nakumbuka.
Hivi si ulisema pia kua jamaa keshalala na Bhoke?
 
Last edited by a moderator:
Mume wake ni choko na alimwambia yeye mwenyewe kwamba hataki tena marriage yeye kaamua kuwa na boyfriend wake niliwaambia hapa muda mkaniona mie muongo haya subirini aje aseme kwa nini kaachika najua jinsi alivyochanganyikiwa atasema tu hivi karibuni

Mimi sikubisha hata kidogooo, hata Mange alipoweka ushahidi wake kuwa bado yupo na mmewe haikuniingia akilini kabsaa.
Yule mwanamme ni very pinkish and reddish ukimwona.Mange ana matatizo na depression kubwa sana ndio maana yupo unstable and fragile right now.
Sio mzaha she is in a very deep sorrow.Yeye bingwa wa kucheka matatizo ya wenzie as if kaagana na muumba.
Choko choko tuu alikazana kuwaanika watu pamoja na maplastic surgery na madawa yote mume kamuacha...chezea kitenniss sio akili za mwanamme.
 
Kweli ulituambia babampigi mimi nakumbuka.
Hivi si ulisema pia kua jamaa keshalala na Bhoke?

Hapana hajalala na Bhoke sema hampendi kabisa Bhoke hata wazazi wake hawampendi unajua Mange alimdanganya Lance kuwa Bhoke ni niece wake mpaka kesho harusi Bhoke alim train yule mtoto amwite aunt sasa alivyokuja kusema ukweli mzungu hakumpenda hataa na mnajua wazungu bora ufanye kila kitu lakini usidanganye
 
Last edited by a moderator:
Haaa!
Uwiii....naomba frank amchukue mtoto wake.

Mwenzangu! Tena nasikia watu wanataka kumuambia huyo Frank akamchukue mtoto wake maana Lance alikua anatamba kua yeye ndio kamtoa bikra!
 

Iviii kuna haja gani ya kumdanganya mwanamme kuwa huna mtoto akati unaye?
Ndio pale alifata status fulani ya maisha sio ndo.
Ndio maana alilazimisha sana kudate na wazungu kule dubai.Alijidhiki akaishi maisha ya dhiki ili apate danga.
Alisema mwenyeweee
 

Yeye alikuwa anataka mzungu mmarekani ili afanye lolote arudi marekani simnajua alirudishwaga kwa wizi (fraud)
 

Nilimaanisha mpaka kwenye harusi Bhoke anamwita Mama yake aunt sasa wazungu hawapendi mtu muongo tena unae ishi nae, Sasa sijui mswahili gani atamstiri huyo mmama maana Albert alisema kabisaa alivyo na harufu sasa mie huwa najiuliza Mange kujitai kote kula hata vitu vya kutoa harusu chini havijui au hajui kama anatema? maana hata marafiki zake wote wanajua ana tatizo hilo. umeishi Dubai ebu ongea na wale rafiki zako wa zamani wa Dubai wakuletee hata maudi flani ya kufukiza labda utaacha kutoa harufu unanyima wenzio raha, sijawahi kutana na mwanamke hasafishi kwa bibi wewe tatizo lako ni nini
 

Jamani basi Mange mpuuzi sana.Anamkana mwanae sababu ya mwanaume? Kwakweli siwezi kufanya huo ujinga kabisa, mwanaume kama ananipenda kweli atampenda na mtoto wangu, sioni haja ya kumkana mtoto.
Hata mimi sipendi uongo, hivyo Lance ana haki ya kukasirika.
 

Duh ama kweli watu hamumpendi Mange maana naona kila neno baya dhidi yake linaaminiwa mazima tu.

Swali, je, huyo Albert alisema hivyo katika mazingira gani? Ya chuki?

Maana watu kwa kawaida tukiwa na hasira au ghadhabu saa ingine huwa tunasema tu mambo mabaya hata kama si ya kweli.
 

Mkuu hakusema kwa chuki alimwambia mshikaji wake El na El akamwambia Mwamvita! Mwamvita akamwambia Mange jinsi Albert alichosema Kwani hujawahi kuona ile email ya Mwamvita na Mange? Anamlalamikia alichokisema Albert hawezi kumsamehe na Mange mwenyewe akakiri alimpa tigo Albert! Mkuu mie simpendi sababu anatukana watu kibao bila sababu lakini namjua fikaa na sina haja ya kumsungizia! pia uliza mtu yoyote anaemjua Mange vizuri akwambia kama hanuki mdomo na uchi halafu uje hapa utupe jibu
 

Hahahaaaa duh!

Ila hii mitandao inatoa ujasiri sana kwa watu.

Binafsi sidhani kabisa huyo dada kama anaweza kuyasema ana kwa ana yote aandikayo kwenye hiyo blogu yake.

Mtu anaandika kajificha kwenye ki studio apartment chake utadhani bonge la jasiri kumbe hamna lolote.

Ningemwona kweli wa maana kama wote awachanao kwenye hiyo blogu angewaambia ana kwa ana tuone.

Sijui wengine, ila najua kwa mfano ingekuwa mimi, akinambia huo ujinga wake ana kwa ana ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wake maana lazima nitamsababishia kilema cha maisha ndani ya sekunde chache kabisa.
 
ukiujua huu wenzio waujua ule
mangeeee kumbe ulidanganya kwa mzunguuu
 
ukiujua huu wenzio waujua ule
mangeeee kumbe ulidanganya kwa mzunguuu

Mwenzangu acha tu, ili iweje? Kapata nini sasa? Hivi huyo mwanae akipata akili atafurahi kusikia mama alimkana sababu ya mwanaume?
Wanawake wakati mwingine tuna roho za ajabu sana.
 
Mwenzangu acha tu, ili iweje? Kapata nini sasa? Hivi huyo mwanae akipata akili atafurahi kusikia mama alimkana sababu ya mwanaume?
Wanawake wakati mwingine tuna roho za ajabu sana.
na alivyo mnafki sasaaa...
kutwa kusema ya wenzie ya kwake kimyaaaaa....

hhhahwwaaaaaaaaa
MUNGU FUNDI jamaniiiiiiiii.....

eeehhh MUNGU WEEE niweke mie nishuhudie maanguko ya wenye viburi na dharau kwa walimwengu wenzao


ooooohhhh KARMAAAAAA where a uuuuuuuuuuuuu...?!!
 

Mkuu hivi kuna mtu muoga kama Mange? kuna story nilisikia yule Cintia Masasi alikuwa anasubiri kukutana nae maana demu kasoma na mdogo wangu anakwambia yule mwanamke anapiga ngumi kama Mayweather ha ha haa mbona Mange alimtafuta kumuomba msamaha hata Kiki akiamua kukutana na Mange atakimbia kama US Bolt ngumi hajui mdomo tu natamani mmoja wao ampige mpaka aone nyota labda ataacha kudhalilisha watu kwenye uchafu blog yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…