Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?


nimefurahi sana ujue
nimeona wametoa scholarship hao norway nataka nitest zali la MA ila naomba na hapa bongo pia

tena dk mwele ni mtu mzima ila hovyooooooo
kabisa so umbea umbeani tuu
 
Last edited by a moderator:
nimefurahi sana ujue
nimeona wametoa scholarship hao norway nataka nitest zali la MA ila naomba na hapa bongo pia

tena dk mwele ni mtu mzima ila hovyooooooo
kabisa so umbea umbeani tuu

Zipo Kingine za October 1 to december 1.
 
Zipo Kingine za October 1 to december 1.

thnx mpenzi umbea na shule pia vinaendana sambamba ili tuweze kunnua mabando

halafu mrembo hv hawa wanaojifanya watakatifu kumsema dogi kua kamkosea mama mondi hivu sio walioshabikia uchi wa mama wema hawaa...?!!
ama kweli...!!!
mtenda akitendewa...anahisi kuonewaa..
mama wa dai th eeehh.!!!
 
Kweli akili tumepewa ila inategemea unazitumiaje.
Ukisikia kuna kukua kiakili na kukua mwili ndiyo hii sasa.
Kila anayesoma comments zake ndiyo zinamdefine Kapona au bado Anameza dawa.????????????
 

Si vyema kutukana mama yeyote duniani. Sema hawa wanakuwa na double standards. Wasiwafanye wamama Wa watu wakajutia kuzaa ma star manake kila Sikh mapya
 
Mange huyo na wake kawarushia jibu saa moja mbili iliyopita na caption hiyo msome

View attachment 258610

Haahaaa si alikubali ni jamaa wa kupigia picha tu, mzungu hataki wanae wapate stress atakumbatiwa kwa mapicha sana tu ila ndoa hakuna, aliropoka sasa anajuta ana domo kaya.
 

Haa kama alitegemea kumtumia mange atukane watu kaumia, mie mwenyewe nishamtoa akilini, mchepuko mtu msomi unajipendekeza kwa watoto wa bwana ako ili iweje? Mzee kimambi si alikuwa mwislamu yule why hakumuoa mke wa pili kama mwele alijiona wa maana sana mpaka kumchukua mange kujifanya mamake? Tena huy ndio alichangia sana mange kumtukana mamake wa kambo mke halali wa babake mpaka kumpeleka mama wa watu mahakamani kisa mirathi. Eti awe president huyu si atahalalisha michepuko huyu? Say no to huyu mama Mange.
 
Mwenzenu siwezi kuposti sauti ila mama rommy anamuuliza salehe yule boyfriend Wa mama dai kwamba zipe pic alizoona za harusi ni zake?? Si mnajua yule boyfriend alimkaushia full mama dai na kuhama home pale sinza. In short walikuwa wanaishi wote

Koh koh koh koh!
So mama dai alikua anaishi na hako kaserengeti boi?
 
ooooh yaan hata mi nilikua sijaelewaa aisee,afadhal umefafanuaaa,salehe ni dogo dogo hhhhaaa,jaman bibi mzima kutembea na watoto,pesa zinatoka kwa Daimond,kazi ipo

Huyu Mama wa raisi dangote, Chibu mtu mbaya, sukari ya warembo kashikwa pabaya... cute b, kuja hukuuu uone bibi mutu muzimmaaa anavolilia hogo la jang'ombe.
 
Last edited by a moderator:

Aah...ila si yalipita auuu...
Mie nafurahia hapa kwa vile ni team ya jirani, ila kamoyo kanadunda.
 
Huyu Mama wa raisi dangote, Chibu mtu mbaya, sukari ya warembo kashikwa pabaya... cute b, kuja hukuuu uone bibi mutu muzimmaaa anavolilia hogo la jang'ombe.

Heheheeeeee nicheke mie ninunee kwani ni mimi narubuni watoto....
Mamy niliona iyo oudio insta ila siku concetrate kumbe ni mambo matamu eee....umbea utaniua mie acha niwahi udsm nikajiunge bando kwanza mweeeeeee...
 
Last edited by a moderator:
Heheheeeeee nicheke mie ninunee kwani ni mimi narubuni watoto....
Mamy niliona iyo oudio insta ila siku concetrate kumbe ni mambo matamu eee....umbea utaniua mie acha niwahi udsm nikajiunge bando kwanza mweeeeeee...

Ahahaha mwenzangu tutakutana wote UDSM, mwaka huu mahudhurio ya chuo yatakuwa mazuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…