Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ahaha hata dr. Mwele ni mmbea wakati ni director mzima. Huwa siwekagi wazi ishu yangu yoyote huku JF ila kwa hili imebidi manake kuwekwa kundi moja na wale malaya wa china n; zaidi ya uonevu. Jamani kisa umbea ndio kuambiana kwamba Niko kundi moja na matikibokoyao?? warumi ukitaka cheti pia njoo chemba...
nimefurahi sana ujue
nimeona wametoa scholarship hao norway nataka nitest zali la MA ila naomba na hapa bongo pia
tena dk mwele ni mtu mzima ila hovyooooooo
kabisa so umbea umbeani tuu
Last edited by a moderator: