Funguka jamani au njoo pmMdomo koma mdomo utaniponza ujue? Mimi mwenyewe sijisikii vzur kwa kweli kuna kitu kimenikaba kooni, mwenzangu ni k -lyn binamu, eh ntakufa buree ,kutunza siri siwezi mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka jamani au njoo pmMdomo koma mdomo utaniponza ujue? Mimi mwenyewe sijisikii vzur kwa kweli kuna kitu kimenikaba kooni, mwenzangu ni k -lyn binamu, eh ntakufa buree ,kutunza siri siwezi mie
Yaani mimi nimerudia mara tatu nasoma tu najisikia raha na kucheka maana umbea wa leo mtamu
Mange ananijua yule asije kunifungulia file langu bure nikajuta kuzaliwa, hahaha tuyaache au njoo kwa pm
Itabidi wafungue tu umbea mtamu jamaniYani ramadhan inakaribia ndo umbea unanoga yani tutaaribu swaumu za watu humu kwa umbea, maana umbea haunaga simile
Hahahaha me najua lilianzia kwa shamimu kujifanya mediator kati ya mange sintah kumbe alikuwa anampump sintah. Akija kwa mange anampump akija kwa sintah anampump
Hawezi kukufungulia file bwana kirahisi hivo ngoja nakuja.
Funguka jamani au njoo pm
Eeh hatar, unajua ilikuwaje mpaka sintah akawa rafik wa zari?, mjini rahaaa
Somebody Deo I think......mi watu wa Daresalama siwajui vizuri........
Eeh hatar, unajua ilikuwaje mpaka sintah akawa rafik wa zari?, mjini rahaaa
Nacky Nyange ndo huyuu
Ishu ya wakubwa binamu, naomba tuiweke pembeni, mana hii scandal mwenyewe sasa ivi kashakuwa muheshimiwa, nisije pelekwa mahakaman buree kama naniliuu
Karibia afanane na Dida kwa mbaali...he he he he
Yani huyu kwa kuandika gazeti hajambo. Urafiki wa wanawake zaidi ya watatu hugeuka umbea na kusemana semana kusiko na kichwa wala miguu. Kugombana hakuepukiki huyu atapeleka lile abadilishe maneno. Ushosti wa wanawake wengi siupendi kabisa.
Hahahaha huyu mzuri zuri bana sema ni chaumbea kaja...
warumi jamani nijibu basi ile ishu kule
Chagga Kesha jibu huko insta
Kumekucha nitatafuta muda nijisomeee mie vipande pande hadi nimalize
Chaga ameniblok...hata Rachel temu nae amejibu hahah
Chaga ameniblok...hata Rachel temu nae amejibu hahah
Recho kaniblock hahahahahaha umbea huu kazi