Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

Unazungumzia majengo ya PSSSF Taasisi ambayo ina michango ya watanzania wote hata walioko Katavi.

Hiyo TPA nayo ni Mali ya Umma.


Nadhani tungeweka vigezo. Kama ni residential areas, pesa kuzunguka , huduma za maji, afya , sewage system n.k.


Hizi akili zako za kuvukia barabara unadhani majengo mazuri ndio welfare Bora ya raia wakati unashi uswekeni. Lete Vigezo vinavyokugusa wewe raia kama housing, Ulinzi na usalama, accessibility ya maeneo kama yakitokea majanga ya Moto n.k. hivyo vigezo ndio vitumike kulinganisha maeneo.

Kwa unayoandika ndio akili za kiafrica unafurahia kwenda kupiga bicha Posta halafu unarudi kwako uswekeni kwenye nyumba iliyojengwa kwenye kiwanja cha ukubwa WA 12 Kwa 8.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Elewa mada kwanza, kwani hata hizo nyumba binafsi ni za kwenu nyie, wanaomiliki hata hamuwajui, alafu unavimba kichwa, ukifa wanao wataridhi hizo.

Mwenye mada anatakujua wilaya iliyoendelea, na maendeleo hayahusishi makazi binafsi pekee, bali hata huduma za kijamii.
 
Mkuu bandari ya Dar es salaam ipo katika kata ya Kurasini, na kata ya Kurasini ipo katika wilaya ya Temeke.

Kwahiyo mpaka hapo utakuwa umepata jibu kuwa bandari yetu imeegemea zaidi Temeke kuliko Ilala.

Kwa makao makuu nakubaliana na wewe kuwa yapo Ilala ila bandari ni Temeke.
NGOJA NIKUELEWESHE NI HIVI HQ YA BANDARI PAMOJA NA OFISI KUU ZA BANDARI YA DSM ZIPO WILAYA YA ILALA, AIDHA BAADHI VITENGO VYA BANDARI YA DAR ES SAAAM VIPO WIAYA NYINGINE MFANO KITENGO CHA KOJ (KURASINI OIL JET) KURAASIN ICD ZA TICS NA NYINGINE BINAFSI NYINGI ZIPO KURASINI AU TEMEKE, KUNA IKTENGO CHA FLOW METER AMBAPO KUMEUNGANISHWA BOMBA LA TAZAMA HII IPO KIGAMBONI, KUNA KITENGO CHA MAKONTENA KIPO UBUNGO KUNA KITENGO KINIGNE KIPO KWALE MKOA WA PWANI
KWA KUMALIZIA HQ YA BANDARI , MAKAO MAKUU YA BANDARI YA DAR ES SAAAM, BERTH NAMBA 1 HADI 11 ZOTE ZIPO ILALA
 
NGOJA NIKUELEWESHE NI HIVI HQ YA BANDARI PAMOJA NA OFISI KUU ZA BANDARI YA DSM ZIPO WILAYA YA ILALA, AIDHA BAADHI VITENGO VYA BANDARI YA DAR ES SAAAM VIPO WIAYA NYINGINE MFANO KITENGO CHA KOJ (KURASINI OIL JET) URAASIN ICD ZA TICS NA NYININE BINAFSI ZIPO URASINI KIPO TEMEKE, KUNA ITENGO CHA FLOW METER AMBAPO KUMEUNGANISHWA BOMBA LA TAZAMA HII IPO KIGAMBONI, KUNA KITENGO CHA MAKONTENA KIPO UBUNGO KUNA KITENGO KINIGNE KIPO KWALE MKOA WA PWANI
KWA KUMALIZIA HQ YA BANDARI , MAKAO MAKUU YA BANDARI YA DAR ES SAAAM, BERTH NAMBA 1 HADI 11 ZOTE ZIPO ILALA
Apa umetoa elimu nzuri,lakini kunawatu humu ndani hawataki elimu wamekuja kubishabisha tu story iwe ndefu
 
NGOJA NIKUELEWESHE NI HIVI HQ YA BANDARI PAMOJA NA OFISI KUU ZA BANDARI YA DSM ZIPO WILAYA YA ILALA, AIDHA BAADHI VITENGO VYA BANDARI YA DAR ES SAAAM VIPO WIAYA NYINGINE MFANO KITENGO CHA KOJ (KURASINI OIL JET) KURAASIN ICD ZA TICS NA NYINGINE BINAFSI NYINGI ZIPO KURASINI AU TEMEKE, KUNA IKTENGO CHA FLOW METER AMBAPO KUMEUNGANISHWA BOMBA LA TAZAMA HII IPO KIGAMBONI, KUNA KITENGO CHA MAKONTENA KIPO UBUNGO KUNA KITENGO KINIGNE KIPO KWALE MKOA WA PWANI
KWA KUMALIZIA HQ YA BANDARI , MAKAO MAKUU YA BANDARI YA DAR ES SAAAM, BERTH NAMBA 1 HADI 11 ZOTE ZIPO ILALA
Ok nimekusoma mkuu
 
Naona temeke imeangukia pua..kule ndio vilinge vya waganga..panya road..wala unga..singeri na malaya wachafu.

Kule uswahili mtupu na low minded people wamejazana huko.

Wajanja wapo kinondoni na wenye pesa bata zote za jiji la daslam ziko kinondoni.

#MaendeleoHayanaChama
Daah...umetusimanga Sana mkuu😂😂😂
 
Daah...umetusimanga Sana mkuu😂😂😂
Angalau Temeke kidogo mnajitokeza mmoja mmoja, Ubungo na Kigamboni hakuna hata mmoja aliejitokeza kuzitetea 😂😂😂
 
Ubungo ipo nyuma kuliko wilaya zote yan hata Kigamboni imeiacha ubungo kwa mbali. Inasikitisha sana.
na hii inatokana na uongozi mbovu uliopo katika manispaa ya ubungo, kunahitajika viongozi wenye ari ya kuleta maendeleo katika eneo lake, salute kwa DC wa Kinondoni
 
Angalau Temeke kidogo mnajitokeza mmoja mmoja, Ubungo na Kigamboni hakuna hata mmoja aliejitokeza kuzitetea 😂😂😂
Sisi wanatemeke hasa Wana mbagala tumeshakubali.. kwenye battle na wilaya nyingine za Dar Hatuwezi kutoboa, alichosema ni ukweli kabisa...wilaya ya temeke Ina idadi kubwa ya watu wa kipato Cha chini ukilinganisha na wilaya zingine za Dar
 
Sisi wanatemeke hasa Wana mbagala tumeshakubali.. kwenye battle na wilaya nyingine za Dar Hatuwezi kutoboa, alichosema ni ukweli kabisa...wilaya ya temeke Ina idadi kubwa ya watu wa kipato Cha chini ukilinganisha na wilaya zingine za Dar
Hahaha kwa kukubali kwako huku kunaonesha dhahiri kuwa wew ndio mshindani wa kweli. Kuna msemo kuwa asiekubali kushindwa sio mshindani.
Sasa naona wew umejitenga na msemo huo mkuu.
 
na hii inatokana na uongozi mbovu uliopo katika manispaa ya ubungo, kunahitajika viongozi wenye ari ya kuleta maendeleo katika eneo lake, salute kwa DC wa Kinondoni
Kweli kabisa mkuu DC wa Ubungo kashindwa hata kusimamia ujenzi wa barabara zinazotoka barabara kuu ya Morogoro road kwenda ndan ndan huko kibangu, kimara, mbezi nk.

Tofauti na Kinondoni ambapo mpaka mw/nyamala huko nyuma ya hospital kuna barabara za lami zimepita na bado zingine za kutoka makumbusho nk.

Angalia alivyozitelekeza barabara za mitaani kule sinza.
 
NGOJA NIKUELEWESHE NI HIVI HQ YA BANDARI PAMOJA NA OFISI KUU ZA BANDARI YA DSM ZIPO WILAYA YA ILALA, AIDHA BAADHI VITENGO VYA BANDARI YA DAR ES SAAAM VIPO WIAYA NYINGINE MFANO KITENGO CHA KOJ (KURASINI OIL JET) KURAASIN ICD ZA TICS NA NYINGINE BINAFSI NYINGI ZIPO KURASINI AU TEMEKE, KUNA IKTENGO CHA FLOW METER AMBAPO KUMEUNGANISHWA BOMBA LA TAZAMA HII IPO KIGAMBONI, KUNA KITENGO CHA MAKONTENA KIPO UBUNGO KUNA KITENGO KINIGNE KIPO KWALE MKOA WA PWANI
KWA KUMALIZIA HQ YA BANDARI , MAKAO MAKUU YA BANDARI YA DAR ES SAAAM, BERTH NAMBA 1 HADI 11 ZOTE ZIPO ILALA
Ikitokea mtu ambae atakuwa hakukuelewa hapa, basi ujue atakuwa ana lake jambo.
Umetoa ufafanuzi mzuri sana.
 
Ilala iko vizuri, kuna mitaa kama upanga well organized na kuna apartments nying nadhani upanga inaweza kubattel na baadhi ya residential area za kinondoni kama vile msasani nk ila sio ufanye battle chanika na masasani ni kuwaonea
 
Ilala iko vizuri, kuna mitaa kama upanga well organized na kuna apartments nying nadhani upanga inaweza kubattel na baadhi ya residential area za kinondoni kama vile msasani nk ila sio ufanye battle chanika na masasani ni kuwaonea
Kweli kabisa, sio haki kuilinganisha chanika na msasani au mikocheni.

Chanika inafaa upambanishwe na mwananyamala.
 
Back
Top Bottom