Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Inawezekana hawa Watanzania wana Jambo ila wameshindwa kuliweka vizuri ili liweze kueleweka.
Kufa, Kuzikwa Marekani, kuzaliwa na kukulia Marekani sio shida.
Shida inaanzia pale wanapojifanya Watanzania kama mimi na wewe lakini uhalisia uliopo ni Utanzania wa maslahi lakini mioyo yao haipo hapa nakupaona kama kwao.
Kufa, Kuzikwa Marekani, kuzaliwa na kukulia Marekani sio shida.
Shida inaanzia pale wanapojifanya Watanzania kama mimi na wewe lakini uhalisia uliopo ni Utanzania wa maslahi lakini mioyo yao haipo hapa nakupaona kama kwao.