Manual na Automatic

Manual na Automatic

Ni wale watu ambao aliuziwa manual kwa bei rahisi hapa dar. Sasa anatafuta namna ya kujustify... Uanaume haupatikani kwa kuendesha hata 5 pedals. Unapatikana kwa uwezo wa kufikiri na kuongea.kuna namna mtu u kipresent ideas zako na vitendo wanakuona wewe mwanaume.

si kwa kuja kuongea ongea maneno ya shombo na mipasho kama hii. Na mwanaume hahitaj kusema yeye ni mwanaume.... Watu wanaona. Ukiona simba anapiga kelele kuwa yeye ndo simba ujue huyo si simba. Simba anaonekana tu na wanyama wanamjua huko porini.

Wewe ni mshamba na pengine ni mdada sema umeingizwa mjini unakuja kutafuta justification hapa. Kila gari sasa wanatoa auto maana wanataka mtu aendeshe kwa starehe ame relax na lengo ni kuwa driving iwe so simple and smething relaxing...no headache etc.

Naendesha manual na naendesha auto. But na prefer auto sana.... Ninaendesha manual toka mwaka 1997 mpaka leo hii. But sioni kama napaswa nije nipige kelele hapa kama mwehu.

Kuna siku utakuja sema kubeba magunia kichwani ndo uanaume na si kutumia toroli au usafiri. Utasema kulima kwa jembe la mkono ndo uanaume na si kutumia tractor. Upuuzi wa kiwango cha phd
Mjomba bwana et"kubebA magunia kichwan ndo uanaume "umeniua mbAvu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naweka hata mke wangu rehani boss, clocking 180 in just 3sec ni uongo wa mwisho tena kwa hilo kabati.......hiyo gari ni body tuu imetengenezwa na wale jamaa wa CAPITAL ZONE wa arusha hata iwe na engine ya 300TDI, 200TDI or PUMA au hata V8 haiwezi fika hyo speed kwa muda mfupi namna hyo.....asee hyo ni sifa ya supercars mzee.....achana na story za vijiweni

Sent using Jamii Forums mobile app
itakuwa aliteleza mkuu, halafu sio vizuri kumuweka mke rehani
 
Yani mzungu ashaweka mambo simple bado nijifunze manual ili iweje, hata simu kama mnakumbuka miaka ya tisini na elfu mbili mwanzoni yale ma TTCL unazungusha mara mia ndio upige so what. Let us develop niggaz, hapa mi D, P, R, zinahusika. Gari sio gua gari ni kontroooo
hujiulizi hata serikali yako inanunua manual
 
Manual ntaendesha Kazini pick up ya Site ila Home kwangu ni Automatic
03a46811f52f4748c89548881aa2d293.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha yani ujue mambo mengine yanaudhi mkuu, kisa hatujuani basi watu wanataka kutushika vichwa mchana kweupe.....jamaa hajateleza si unaona bado anakomalia

Sent using Jamii Forums mobile app
mi nijuavyo supercars ndio unaweza toka speed 0 hadi 60 kwa sekunde kumi tena only kwa supercar sio hizi gari za kawaida. mnaeza nirekebisha
 
kwakweli kama wewe unaendesha gari ndogo automatic na gari yenye gear ya manual huwezi hata kuwasha, basi jua wewe si dereva bali ni msindikizaji, haswa kwa sisi wanaume unakuta dume zima lakini ukimwambia awashe gari yenye mfumo wa manual transmission hawezi, jua kabisa katika kundi la madereva wewe haupo,

Ukienda arusha unakuta dada anaendesha manual transmission hadi raha halafu wewe kidume hata ukipewa funguo huwezi kuwasha, na wakina dada mnaoendesha magari yenye mfumo wa automatic yaani nyinyi ndio vilaza kabisaaa na siwezi kuwakalia karibu endapo nitagundua mwanamke ndio a aendesha.

Mwanamke anaendesha auto she always a learner no matter how long she have been riding.

Real men use three pedal



!
!
Teknolojia ipo ili kurahisisha mambo. Wakati dunia inaelekea kwenye magari yanayojiendesha yenyewe, wewe bado uko enzi za ujima za manual transmission.
Rest in Peace, in advance
 
Sijakusoma mkuuu,,Mara manual ni beii juu,,Mara watu hawazipendi,,,,ukweli ni UPI?ninavojua hii teknolojia imepitwa na wakati,,so manual now daiz being iko chini course watu hawanunui tena
We hujui unachoongea.....ni vizuri ukakaa kimya....bei ya manual unafananisha na automatic???? Nimekudharau bure
 
Back
Top Bottom