Manual na Automatic

Mjomba bwana et"kubebA magunia kichwan ndo uanaume "umeniua mbAvu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
itakuwa aliteleza mkuu, halafu sio vizuri kumuweka mke rehani
 
hujiulizi hata serikali yako inanunua manual
 
Hahaha yani ujue mambo mengine yanaudhi mkuu, kisa hatujuani basi watu wanataka kutushika vichwa mchana kweupe.....jamaa hajateleza si unaona bado anakomalia

Sent using Jamii Forums mobile app
mi nijuavyo supercars ndio unaweza toka speed 0 hadi 60 kwa sekunde kumi tena only kwa supercar sio hizi gari za kawaida. mnaeza nirekebisha
 



!
!
Teknolojia ipo ili kurahisisha mambo. Wakati dunia inaelekea kwenye magari yanayojiendesha yenyewe, wewe bado uko enzi za ujima za manual transmission.
Rest in Peace, in advance
 
Sijakusoma mkuuu,,Mara manual ni beii juu,,Mara watu hawazipendi,,,,ukweli ni UPI?ninavojua hii teknolojia imepitwa na wakati,,so manual now daiz being iko chini course watu hawanunui tena
We hujui unachoongea.....ni vizuri ukakaa kimya....bei ya manual unafananisha na automatic???? Nimekudharau bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…