Ni wizi na kutafuta njia za kuiba tu. Umeme wa kusini mwa Tanzania unakuaje mbali kuliko umeme wa Ethiopia?
Lakini pili kuna bomba la gas toka mtwara kwanini wasipeleke bomba kaskazini la gas halafu Dar wakatumia umeme wa bwawa!?
Ukweli ndugu zangu ni mazingira ya wizi kwa watoto na ndugu wa vigogo kupewa tender za ajabu ajabu ili wanufaishe familia.
Tanzania haitakiwi kununua umeme wakati wana bwawa na bomba ya gas. Yaani ni maajabu na wizi wa wazi. Tutasikia mtu kapewa tender
Mtoto wa Mama Samia ana kampuni ya umeme imepewa kazi huko Uganda sasa wanamtafutia deal hapa hakuna shida ya umeme. Bomba ya gas lingeweza kupelekwa hadi Nairobi na sisi ndiyo tukauza umeme lakini huko njiani wote wana nufaiaka
See new posts

Yoweri K Museveni
@KagutaMuseveni
I met Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir and his delegation from Tanzania. We discussed future cooperation in the area of Energy, especially the power line from Mutukula to Mwanza, which will boost supply on that stretch, leading to the development for both Uganda and Tanzania. I also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop a solar generation plant of 20 Megawatts in Nwoya district, near Olwiyo substation. This electricity will be evacuated onto the main grid and there we shall no longer have issues of electricity in that area.
Mama anapiga dili kwa sifa sasa dah hadi kwenye hili
Lakini pili kuna bomba la gas toka mtwara kwanini wasipeleke bomba kaskazini la gas halafu Dar wakatumia umeme wa bwawa!?
Ukweli ndugu zangu ni mazingira ya wizi kwa watoto na ndugu wa vigogo kupewa tender za ajabu ajabu ili wanufaishe familia.
Tanzania haitakiwi kununua umeme wakati wana bwawa na bomba ya gas. Yaani ni maajabu na wizi wa wazi. Tutasikia mtu kapewa tender
Mtoto wa Mama Samia ana kampuni ya umeme imepewa kazi huko Uganda sasa wanamtafutia deal hapa hakuna shida ya umeme. Bomba ya gas lingeweza kupelekwa hadi Nairobi na sisi ndiyo tukauza umeme lakini huko njiani wote wana nufaiaka
See new posts
Conversation

Yoweri K Museveni
@KagutaMuseveni
I met Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir and his delegation from Tanzania. We discussed future cooperation in the area of Energy, especially the power line from Mutukula to Mwanza, which will boost supply on that stretch, leading to the development for both Uganda and Tanzania. I also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop a solar generation plant of 20 Megawatts in Nwoya district, near Olwiyo substation. This electricity will be evacuated onto the main grid and there we shall no longer have issues of electricity in that area.
Mama anapiga dili kwa sifa sasa dah hadi kwenye hili