Nchi zao rate ya HiV ni ndogo sana sababu ya kutunza maadiliHivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?
Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?
Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
HahahahaSema nini mzee baba niunganishe na pisi ya kirangi. Fanya hivyo mkuu
Na wanaolewa huko pia.na wanasaidia familia zao.Mshahara wa laki 8 kwa mwezi bila kodi ukitumwa kijijini kwao ndani ya miezi 3 wanajenga nyumba bora ikiwemo kubadili kabisa hali ya maisha kwa familia ikiwemo kusomesha na mitaji pia.Mabinti wa kirangi kutoka mjini kondoa hiyo ndo michongo yao sasa, wanazamia Oman kama hawana akili nzuri, halafu wakirudi holiday wanakuja kuwabeba na wenzao.
Hahaa kumbeeeHahahaha
Id tu hiyo mzee haah
Kuna dem mmja aliendaga huko
Sema hyo dem alikuwa na tako kweli
Aise hPo alipokuwa anakaa alikuwa anapata wakatmgumu sana maana babu,mtoto hadi watoto zao walikuwa wanataka kumla mzigo...
Ila sjui kama alipona,ila alirudigi bongo
Ova
Ah lazimaHahaa kumbeee
Waarabu lazima wote familia watakuwa walimpitia mixer kutifua mtaro
Minjingu (booster)Kwl kabisa,,
Kama unajijuwa unakula njugu mawe,
Usikanyaje uarabuni.
Ndo wale hadi wanapanua mdomo halafu mwarabu anakunya mdomoni mwake?Wanapelekewa moto sana kule Uarabuni mpaka huruma
Awalazimishwi kupanuaNdo wale hadi wanapanua mdomo halafu mwarabu anakunya mdomoni mwake?
Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?
Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?
Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
Hao mataahira bado wanafikiri tuko enzi za utumwa
Huko kwa wazungu sheria zao kali thus ni wazungu wachache wenye kumudu kuajiri house girl inatakiwa umkatie Bima ya afya, mshahara wake ulipe kodi,asajaliwe kwenye taasisi zinazowatambua,umlipe mshahara standard.Awajajiriani kiblack market kama afrika na uarabuni.Pili wazungu wengi hawana rundo la ndugu majumbani kama waafrika na waarabu so kwa kutumia mashine zinafanya KILA kitu sio lazima housekeeperSehemu pekee ambako mfanyakazi wa ndani anaweza asipate manyanyaso ya kijinga ni only USA, some European countries, especially WEST, na Australia....
Kwa maana nyingine, ni Mzungu pekee ndie amestaaribika dhidi ya housemaids....
Kinyume chake, hata Miafrika wenyewe, tunawanyanyasa sana Wasichana wa Ndani hadi mtu unajiuliza hivi unaanzaje kumnyanyasa mtu anayekupikia au kukulea watoto wako!!
Kugonga house girls tunaona kawaida tu huku tukijisahaulisha kwamba anakupa uchi yake most likely kwa sababu hana jinsi... she's innocent!
On serious note: Hivi mnapowagonga hawa mabinti, kunakuwa na mutual agreement au huwa mnavuta tu?!
Shida sio uarabu shida umepata tajiri yupi, waarabu wanaoijua dini hawana tabia hizo uwatendea mema na kutambua thamani zao
Mbona hata Biblia yetu inaruhusu kuua.Wanaoijua dini ipi?
Mbona Kitabu chao cha dini kinaruhusu utumwa. Na kinaruhusu mtu kumbaka mtumwa wake ?
Ndo haohaoNdo wale hadi wanapanua mdomo halafu mwarabu anakunya mdomoni mwake?