Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Nimeona kwenye mitandao polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?

Kama kifungu hicho kipo, je kinatumika kwa viongozi tu au hata raia wakawaida? Ningetamani kukijua ili jamii iweze kukitumia pale wanapopoteza wapendwa wao nakutokea watu wanaosherekea.
Tumuulize Nyani Ngabu aliyefurahia kichapo alichopewa Lissu.
 
Kwahiyo wote tulie kwa kupenda au kwa lazima.
Yaani hawa vija wa siku hizi hawafai
Zamani mzee hata kama kamroga mtu kafa lazima aende msibani atalia hata kinafiki ,atakula ugali ,atashika chepe kuzika
...waende jela tu
 
Chuma kimelala maisha lazima yaendelee. Wakushangilia ashangalie na wa kuhuzunika wahuzunike..! Usimpangie mtu kuonesha hisia zake.
Aisee washangilie kimoyo vinginevyo wengine tuna machungu sana tukiwagundua tunaweza pita nao bure tukaongeza makaburi Tz!
 
Acha tabia ya kupenda kuwapangia watu. Tamaduni na desturi gani unazo ziongelea? Wakati huyo shujaa wenu anawajeruhi na kuwaua wengine kupitia maamuzi yake ya hovyo, alikuwa analia au alikuwa anafurahia?

Mkuki kwa nguruwe eeeh!! Vumilieni tu maana hakuna namna. Ni zamu yenu sasa kulia huku wengine wakifurahia.
Ni zile zilizopo kwenye kiapo alicho kila Samia jana! Siwapangii chochote ndugu usini 'misqoute'!
 
Acha tabia ya kupenda kuwapangia watu. Tamaduni na desturi gani unazo ziongelea? Wakati huyo shujaa wenu anawajeruhi na kuwaua wengine kupitia maamuzi yake ya hovyo, alikuwa analia au alikuwa anafurahia?

Mkuki kwa nguruwe eeeh!! Vumilieni tu maana hakuna namna. Ni zamu yenu sasa kulia huku wengine wakifurahia.
Ni zile zilizopo kwenye kiapo alicho kila Samia jana! Siwapangii chochote ndugu usini 'misqoute'!
 
Vipi ikitokea na mhusika naye alifurahia vifo/mateso ya wenzake enzi za uhai wake? Si ndiyo watu huongelea sasa masuala ya "KARMA" katika hili!!
Magu alikuwa anaweka tabasamu kwa walioonewa na kuleta kunyanzi kwa waonezi! Ni kazi ngumu sana hiyo iliyofanywa na chuma na tunapaswa kumheshimu na kumpenda kwa hayo!
 
Hamna hio sheria hapo ni wanashikiliwa tu hakuna cha maelezo wala charge itakayoandaliwa
 
Nimwendawazimu ambaye atafurahia kifo cha Hayati JPM.Kuhudumia msiba ni gharama kubwa.Hizo hela za kuhudumia msiba zingeenda Kwenye miradi mbali mbali,au kuhudumia wananchi.Ukiona mtu anafurahia msiba huu ujue ni mwendawazimu,mwehu kabisa.

Serikali lazima ipate mtikisiko mkubwa na hii inaitaji gharama kuweza kustabilize.

Anayefurahi msiba hafai anapaswa kuchukiwa milele.siyo mzalendo hata kidogo kwa nchi yake.Imagine mtu anasema eti mwanga umeanza kuonekana.Mtu kama huyo ni muuaji. HAFAI LEO,KESHO AU KESHO KUTWA kwa vizazi vyote.
 
Nimeona kwenye mitandao polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?
Kuna kipindi Watanzania wenye asili ya Rwanda waishio Mwanza walifanya sherehe baada ya aliyekuwa Raisi wa Rwanda Hayati Juvenali Habyarimana kufariki mwenye ajali ya Ndege

Walikamatwa na kuwekwa ndani kitendo ambacho kilimkasirisha sana Baba wa Taifa na Amri ilitoka kuwa waachwe

Sidhani kama kunasheria inayofanya kuwa iwe jinai labda ya kubambika
 
Hoja si uzalendo wala nn kumbuka hata Yesu hakupendwa na watu wote, lakini ukiona binadamu ambae anajiona kiumbe bora kuliko viumbe wengine wote anazidiwa na mnyama ambae akiona mwenzake amekufa anahuzunika ujue uwezo wa binadamu umefikia mwisho. kumbuka leo unafurahi kesho itakuwa zamu yako kulia au kuliliwa siku unafukiwa futi 6 na mchanga tani 3 juu .
 
Nimeona kwenye mitandao polisi wakikamata watu kwa tuhuma zakushangilia kifo. Naomba kujiuliza ni sheria gani inayotumika kufanya huu ukamataji? Nikifungu gani kinachotamka ili ni kosa?

Kama kifungu hicho kipo, je kinatumika kwa viongozi tu au hata raia wakawaida? Ningetamani kukijua ili jamii iweze kukitumia pale wanapopoteza wapendwa wao nakutokea watu wanaosherekea.
Mbona Wajaluo tuna cheza na muziki?
 
Back
Top Bottom