Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Serikali inapaswa kuchimba mabwawa kadhaa yatakayohifadhi maji ya mvua ili kusaidia mifugo isife wakati wankiangazi maana kwa wakati wa jua ng'ombe hunywa maji hata ndoo nne hadi tano kwa siku.
 
eeh bwana eeh
 
Serikali inapaswa kuchimba mabwawa kadhaa yatakayohifadhi maji ya mvua ili kusaidia mifugo isife wakati wankiangazi maana kwa wakati wa jua ng'ombe hunywa maji hata ndoo nne hadi tano kwa siku.
na vipi kuhusu majan ambayo ndiyo chakula
 
Wenzetu wamefanikiwa sana kwa sababu wamewekeza kwenye ranch huu ufugaji wa tokea enzi hizo ushapitwa na wakat
 
Pamoja na hayo serikali badala ya kuhimiza kupanda miti sa hivi watu wanakata miti asubuhi na jioni na hakuna mwenye habari na uchomaji wa mkaa umeshamiri kwa mkoa wa manyara sijajua sehemu nyingine hali ikoje
 
Tafsiri ya utajiri utegemeana na mahali.
Kwa wafugaji utajiri ni ng'ombe wengi.
Mfugaji awazi tunavyowaza sisi
Na sio mmasai tu wafugaji wakubwa wote ng'ombe kwao ana thamani sana,kuna mzee alitaka kujinyonga kipindi cha kiangazi maana anaona mifugo inakufa tu
 
Na sio mmasai tu wafugaji wakubwa wote ng'ombe kwao ana thamani sana,kuna mzee alitaka kujinyonga kipindi cha kiangazi maana anaona mifugo inakufa tu
sasa safari hii watajinyonga wengi mvua isiponyesha
 
Pamoja na hayo serikali badala ya kuhimiza kupanda miti sa hivi watu wanakata miti asubuhi na jioni na hakuna mwenye habari na uchomaji wa mkaa umeshamiri kwa mkoa wa manyara sijajua sehemu nyingine hali ikoje
gesi ingekuwa affordable kwa angalau 90% ya watz ingesaidia sana sasa gesi yenyewe bajeti ya wiki mbili msosi
 
eeh bwana eeh
Wacha tu ndg. yangu. Ukichanganya Ujinga + Umaskini wa kujitakia + Ujeuri/Ubabe bila maarifa ukiongezea na Mabadiliko ya Tabianchi hupati picha ya nini matokeo yake. Hili lilishawahi kutokea na Serikali sikumbuki vizuri mwaka 2005-2006? (ng'ombe aliuzwa Tshs.Elfu tano tu i.e. 5,000/= per head na bado hakupatikana mnunuzi) Serikali iliwasaidia/ikawapiga tafu kwa kutoa chanjo ya ECF bure au kwa gharama ndogo mno ili kuwajengea tena uwezo kwa ng'ombe wachache waliosalia. Baadhi ya Mashirika e.g. CORDS walinunua na kugawa ng'ombe (ndama) kwa baadhi ya waliofilisika kabisa na hawana tegemeo tena. Lakini ona sasa wamegeuka na kuisakama Serikali. - Acha wakomae hivyo-hivyo na hali yao.
 
na vipi kuhusu majan ambayo ndiyo chakula
Ongezea .. Na vipi kuhusu utunzaji wa hayo mabwawa/ malambo ili yaweze kutumika muda wote hadi kiangazi ?? Na vipi kuhusu matumizi Endelevu ya maeneo au Nyanda za Malisho??
 
Ongezea .. Na vipi kuhusu utunzaji wa hayo mabwawa/ malambo ili yaweze kutumika muda wote hadi kiangazi ?? Na vipi kuhusu matumizi Endelevu ya maeneo au Nyanda za Malisho??
huyu jamaa hapajui vizur huko Simanjiro palivyo
 
hali ikiendelea hiv ndipo tunapoelekea huko kuuza ng'ombe bei ya kuku wa kisasa
 
NAOMBA SERIKALI INIKOPESHE MILIONI 500 , wa nope ardhi hekari 1000! Nikomeshe hii njaa na vifo vya mifugo!
Nikama utani lakini mtastaajabu
 
Wamasai wapo nyuma Sana kielimu mamlaka ya utabiri wa Hali ya hewa walishatoa taadhari hivyo sikutegemea mifugo itakufa mingi kiasi hichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…