Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Kuna baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara leo usiku nimeapata taarifa imenyesha mvua ya kutosha...
 
Hawakuona kwamba Hali ni mbaya wauze waje kununua baadae? Ngoja zipukutike ndio akili zikae sawa.

Pia huwa wanawaambia wakate bima za majanga huwa hawataki,kiufupi wafugaji Wana uwezo ila huwa ni jeuri.
 
Kuna baadhi ya mkoa wa manyara leo usiku nimeapata taarifa imenyesha mvua ya kutosha...
Shida ya mvua ya mwaka huu imekaa kiswahili Swahili na inanyesha kimafungu.

Yaani inaweza piga leo ya kuzidi eneo x ikawatia tumaini kwamba imerudi,mtalima na mtapanda baada ya hapo tukutane baada ya wiki 3 yanakuja manyunyu.

Kuna maeneo miezi hii huwa hayapotiki kwa maji saizi ukija unanunua kiwanja na utapapenda ila sasa mwaka mwingine utajuta.
 
Tusiende mbali, hapa chalinze na Bagamoyo tu mifugo imekufa sana
 
Hali ya ukame inayoendelea Baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Manyara inatisha !HaI Sasa Simanjiro pekee ng'ombe 35,000 + wamekufa,mbuzi 10,000,kondoo 15,000 !
Hili ni janga!
Hivi Serikali imekosa mbinu za kuwaokoa wanyama Hawa!
mkuu Serikali ndo imeleta ukame? Kwamba unataka serikali iagize mahindi ya msaada ili hao mifugo wawe wanapikiwa ugali?

Ungetoa na mbinunza namna gani serikali iwasaidie hao mifugo,sio kutoa rawama bila ya suruhisho!!

Toa suruhisho mkuu na sio kulalama dhidi ya serikali yako
 
hata nikitoa pendekezo halitofanyiwa kazi maana sio kipaumbele chao kwa sasa wamasai nawapa pole tu wakomae hivyo hivyo
Mkuu Kwahiyo malalamiko yako ndo yatafanyiwa kazi?


Kwahiyo wewe kulalama Ni vema kuliko kutoa suruhisho la malalamiko yako?
 
Serikali inapaswa kuchimba mabwawa kadhaa yatakayohifadhi maji ya mvua ili kusaidia mifugo isife wakati wankiangazi maana kwa wakati wa jua ng'ombe hunywa maji hata ndoo nne hadi tano kwa siku.
Mkuu Umeambiwa hata nyasi hakuna, Kwahiyo ngombe atashindia maji?

Toa na suruhisho la upatikanaji wa malisho,kwa tatizo la maji nakuunga mkono ,je malisho serikali isaidie vipi?
 
masai anaona fahari yaan yeye fahari yake n kuwa na ng'ombe nyingi hapo analala kwenye kijumba kilichokandikwa kwa mavi ya ng'ombe yaan utajiri anaulalia [emoji848][emoji848]
umasain ukiwa na ng'ombe nyingi unajeshimika sana
Hao ni ukoo Mollel..wanakaa na ng'ombe hadi anazeeka na kufa..ukoo wa Laizer wajanja, wanauza na kununua mifugo na viwanja pale inapobidi...ndio maana wana mpunga..mara chache utakuta kachoka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…