LGE2024 Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA

LGE2024 Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.

Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.


Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.


Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024


1.jpg
2.jpg
 
Kwa wa taarifa askari magerza ndie aliehusika?!
 
Kapewa maelekezo anatimiza..
Anakamatwa ila kazi imeisha.
Mnazugwa.
Anarudi mzigoni.
 
JAMHURI YA MUUNGANO YA MUUNGANO WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

JESHI LA POLISI TANZANIA

ANA

POLIVE

Anwani ya Simu "POLISI SINGIDA"

Namba ya Simu 0715009959

Barua pepe: roc.singida@tpf.go.tz

OFISI YA KAMANDA WA POLISI, MKOA WA SINGIDA,

S.L.P 102

SINGIDA

27/11/2024

TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.


Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.

Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.

2024

Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi
 
"Askari mmoja wa jeshi la magereza" hana jina???

Kama kulikuwepo watu wanarusha mawe mpaka askari wakaitwa kutuliza ghasia na kulazimika kufyatua risasi ina maana hakuna majeruhi wa hayo mawe na vurugu.

Risasi zimefyatuliwa hewani na ghafla zikamuua mgombea wa Chadema tu, sio raia mwingine, sio mwana CCM.

Taarifa ya polisi haijasema, je ni muda gani hao wana CCM walikuwa wanafanya "kikao cha ndani" kwenye "nyumba moja"?
 
"Askari mmoja wa jeshi la magereza" hana jina???

Kama kulikuwepo watu wanarusha mawe mpaka askari wakaitwa kutuliza ghasia na kulazimika kufyatua risasi ina maana hakuna majeruhi wa hayo mawe na vurugu.

Risasi zimefyatuliwa hewani na ghafla zikamuua mgombea wa Chadema tu, sio raia mwingine, sio mwana CCM.

Taarifa ya polisi haijasema, je ni muda gani hao wana CCM walikuwa wanafanya "kikao cha ndani" kwenye "nyumba moja"?
Wamtaje jina apate sasa hv anasubiri bonus ya kazi aliyokwisha ifanya
 
JAMHURI YA MUUNGANO YA MUUNGANO WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

JESHI LA POLISI TANZANIA

ANA

POLIVE

Anwani ya Simu "POLISI SINGIDA"

Namba ya Simu 0715009959

Barua pepe: roc.singida@tpf.go.tz

OFISI YA KAMANDA WA POLISI, MKOA WA SINGIDA,

S.L.P 102

SINGIDA

27/11/2024

TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.



Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.

Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.

2024

Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi
Sijaona sehemu ya taarifa ikitaja jina wala cheo cha askari anayeshikiliwa kwa kusababisha mauji.
INASIKITISHA WEREDI WA POLISI.
IFIKE MAHALA ENTRY QUALIFICATION YA POLISI IWE NI DIPLOMA AU DEGREE YA SHERIA AU HATA UALIMU!!
 
Kumbe askari magereza naye anatawala hadi mitaa ya raia na mali zake kiasi cha kwenda kutuliza fujo tena kwa kupigiwa simu tu na raia?
Wazee wa mifuko ya mstatili hawajatupiga changa la macho kweli ili kujitoa lawamani?
 
Back
Top Bottom