LGE2024 Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA

LGE2024 Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tatizo una genye ukipata bwana wa kuku.... vizuri hata ufikiriaji wako utakuwa sawia

. Kondoo msiowajua baba zenu hamjifichi, hata nkitiwa ndani ya chupa mtabinjuka na kuweka vinyeleo mdomoni.
 
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.

Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.


Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.


Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024


Risasi ina maksudi sana, inapgwa juu na hatimaye katika kutua kwake ktk wafuasi wote inamchagua mgombea tu.
 
"Askari mmoja wa jeshi la magereza" hana jina???

Kama kulikuwepo watu wanarusha mawe mpaka askari wakaitwa kutuliza ghasia na kulazimika kufyatua risasi ina maana hakuna majeruhi wa hayo mawe na vurugu.

Risasi zimefyatuliwa hewani na ghafla zikamuua mgombea wa Chadema tu, sio raia mwingine, sio mwana CCM.

Taarifa ya polisi haijasema, je ni muda gani hao wana CCM walikuwa wanafanya "kikao cha ndani" kwenye "nyumba moja"?
tangu lini chadema wakavamia vikao vya ccm kuhusu muda polisi wamesema ni saa tano usiku na kuhusu polisi kupigwa mawe kwanza hao raia wamepata wapi mawe kuwapiga polisi tena wakiwa ndani ya nyumba hiyo saa tano usiku.!
 
Aiseee....... askari wetu wanashida sana ya kuelewa mipaka yao ya kazi,hapo walimtuma tayari wamemuachia msala
 
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.

Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.


Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.


Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024


Risasi zimepigwa hewani,Ila imemuuwa mmoja yaani uchunguzi Gani apo mnataka kufanya
 
Nijuavyo ni kuwa gereza liko Manyoni mjini,Kijichi cha mkwese kipo umbali wa KM 14 kutoka Manyoni mjini, inawezekanaje askari magereza kwenda kutuliza fujo umbali wa 14km?
Ndo ushangae ,Wanadhani wote nyie ni watoto
 
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.

Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.

Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.

Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.

Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.


Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.


Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024


Bw. Nyani amekamatwa na Nyani wenzake. Hakuna kitakachotokea hapa.
 
tangu lini chadema wakavamia vikao vya ccm kuhusu muda polisi wamesema ni saa tano usiku na kuhusu polisi kupigwa mawe kwanza hao raia wamepata wapi mawe kuwapiga polisi tena wakiwa ndani ya nyumba hiyo saa tano usiku.!
Rais: Mama mkwe, Waziri TAMISEMI: Mkwilima! Mission complished!
 
Sijaona sehemu ya taarifa ikitaja jina wala cheo cha askari anayeshikiliwa kwa kusababisha mauji.
INASIKITISHA WEREDI WA POLISI.
IFIKE MAHALA ENTRY QUALIFICATION YA POLISI IWE NI DIPLOMA AU DEGREE YA SHERIA AU HATA UALIMU!!
Unadhani hawajui kuwa wanachokifanya ni unprofessional?? Kwa nchi yetu ilipofikia hata kigezo Cha kuajiliwa polisi kikiwa ni PhD Bado tarajia report za namna hii hiii.

Shida ni kwamba Hawa mapolisi wanatumika na ukikataa kutumia kazi huna .sasa wengi hawako tayari kukosa kazi, wamechagua kuwa mateka wa CCM ili maisha yaende hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom