MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Wameshasema CHADEMA walikuja "kufanya vurugu"... sasa uchunguzi wa nini tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4RTAARIFA KWA UMMAJeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.
Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.
Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.
Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.
Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.
Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.
Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
Inasikitisha sana😁😁😁😁😁
Unajua nacheka kwa nini, hii ni maajabu.
Ety risasi imekata kona, duh.Inasikitisha sana
Hali ni Mbaya sana NchiniKapewa maelekezo anatimiza..
Anakamatwa ila kazi imeisha.
Mnazugwa.
Anarudi mzigoni.
Hahahaa. . ...sjjui kwanini nacheka au ni kwa sababu Mchakato wa Uchaguzi umeenda vjzuri
Nchi hii uongo limekuwa jambo la kawaida sana kuanzia ikulu mpaka mitaaniTAARIFA KWA UMMAJeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.
Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.
Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.
Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuendelea na shughuli za upigaji kura kuwachagua viongozi wao kwa amani na utulivu kwani Jeshi la Polisi liko imara katika ulinzi kipindi hiki cha kupiga kura na kutangaza matokeo kwa viongozi watakaochaguliwa.
Pia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.
Imetolewa na Amon Daudi Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida.
Kuhusu kifo cha kada wa CHADEMA, soma LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
Ndiyo lazima arudi kazini kama alipiga risasi juu kuonya na akaendelea kupigwa na mawe kweli maana Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sect 21 (2)( 1) cap 20 R.E 2022 inamruhusu askari kutumia silaha ikiwezekana kuua kwaajili ya kutetea uhai wake au uhai wa watu wengineKapewa maelekezo anatimiza..
Anakamatwa ila kazi imeisha.
Mnazugwa.
Anarudi mzigoni.
It's okay mkuu, Je askari huyo hana Jina?.Ndiyo lazima arudi kazini kama alipiga risasi juu kuonya na akaendelea kupigwa na mawe kweli maana Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sect 21 (2)( i) cap 20 R.E 2022 inamruhusu askari kutumia silaha ikiwezekana kuua kwaajili ya kutetea uhai wake au uhai wa watu wengine
Kwahiyo ukivunja sheria ujue kuna mipaka ukifikia unaweza kuuwawa
Linafiki likubwa
Kwa hiyo huyu anatuhumiwa tu? Hatajwi hata jina? Na kwanini wamshikilie ikiwa ameua akiwa anafanya kazi yake na Sheri na Marekebisho ya Katiba yanamlinda?Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Askari mmoja wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwananchi mmoja tukio ambalo lilitokea Novemba 26,2024 majira ya saa 5:00 usiku huko katika Kitongoji cha Stendi, kata ya Mkwese Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.
Kwa hiyo uchunguzi umefanyika na umekamilika? Na ndiyo maanap hapa hakuna anayethumia? Kwanini wamshikilie huyo askari wa Magereza na kwanini waendelee kumtuhumu?Chanzo cha tukio hilo ni kwamba katika eneo hilo kuna wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM walikuwa katika nyumba moja wakiwa na kikao chao cha ndani. Wakati kikao hicho kikiendelea walivamiwa na kundi la wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Utaratibu wa askari wa Maereza kuomdoka kituoni na kwenda kukabiliana na civil unrest upoje?na vurugu kubwa kutokea ambapo askari magereza ambao wapo katika gereza ambalo lipo karibu na eneo hilo walipigiwa simu kujulishwa juu ya vurugu hizo
ikabidi watoke kwenda kuona hali ilivyo huku wakiwasiliana na polisi, walipofika eneo la tukio walianza kushambuliwa kwa mawe jambo lililowalazimu kupiga risasi hewani kuwatahadharisha na kuwazuia watu waliokuwa wakiwashambulia kwa mawe.
Ni uchunguzi gani unaoendelea hapo wakiti hapo juu wametumia kauli za kuhukumu?Aidha, Katika purukushani hizo, risasi moja ilimjeruhi George Juma, (41), ambaye alikuwa mgombea wa kitongoji cha Stendi kupitia CHADEMA. Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kufanikisha kuwakamata wale wote waliosababisha vurugu hizo.
Mbona wananchi wanatuhumiwa kuchukia sheria mkononi wakati askari ambao waliingilia jukumu lisilowahusu hatuoni rai yoyote ikielekezwa kwao?Jeshi la Polisi Singida linatoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na
Wangese wanatoa onyo kwa mtu yeyote asiye wa Chama Cha Mapinduzi atakayejaribu kuvuruga uchaguzi, binafsi ningewaheshimu na kuwaamini sana. Kinyume cha ni upuuzi na ulongoPia Jeshi la Polisi Singida linatoa onyo kwa mtu yeyote atakayevuruga zoezi la uchaguzi kwani halitasita kumchukulia hatua za kisheria.
Sijaona jina lakeIt's okay mkuu, Je askari huyo hana Jina?.
Tatizo una genye ukipata bwana wa kuku.... vizuri hata ufikiriaji wako utakuwa sawiaHao chadomo kiliwapeleka nini kikao cha ndani cha CCM kama siyo kuanzisha fujo?