Maoni Binafsi: Sina imani na Mzee Kinana

Maoni Binafsi: Sina imani na Mzee Kinana

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Tukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.

Ndiyo, tunahujumiwa. Ikumbukwe kuwa mali asili zilizopo hapa nchini ni kwa manufaa ya umma, hatukatai wananchi wakiwamo viongozi kufanya uwekezaji la hasha, tunachokataa ni janja janja kwenye mali za nchi.

Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
 
Tukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.

Ndiyo, tunahujumiwa. Ikumbukwe kuwa mali asili zilizopo hapa nchini ni kwa manufaa ya umma, hatukatai wananchi wakiwamo viongozi kufanya uwekezaji la hasha, tunachokataa ni janja janja kwenye mali za nchi.

Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
Rais yupi huyo wa kumchunguza Kinana?
 
Argumentum ad hominem...

Kamarada Kinana amechafuliwa sana na "siasa majitaka"....[emoji1787]

Zilianzia hapaaa....

El Commandante Kingunge Ngombale Mwiru aliwahi kusema "....CCM NIMEACHA VIJANA WATATU TU..."

1)Jakaya Mrisho Kikwete
2)Edward Ngoyai Lowassa
3)Komredi Abdulrahman Kinana

**********

TAFAKARI

#SiempreJMT[emoji120]

#Karibuni Komoni[emoji120]
 
Nakumbuka maneno ya ROSTAM AZIZ....

"...siasa uchwara..."..

Akaacha utunzaji fedha wa CCM...[emoji1787][emoji1787]

Kujivua Gamba kukapelekea yale...

Komredi Kinana akaanza kuzunguka na komredi Nape....

[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom