Alikuwa mchepuko wa Lowasa,kipindi anagombea ubunge Arusha mjini,2010,hana jipya,anakitu gani Cha upekee!?hapo ashukuru tu,maana lazima Kikwete amemuombea apatiwe Ka nafasi asije kufa njaa,huyu hakutakiwa kurudi kabisa,mtu alikuwa Mbunge 2010!amekuwa Balozi,miaka 11 baadae,anapewa nafasi Tena kwenye utumishi wa umma,tujiulize miaka yote hiyo alikuwa anafanya nini?ana biashara,alikuwa anasoma,
Mh Raisi hizi teuzi zake hazina tija kwa Taifa,Urafiki umejaa sana.Utumishi wa umma sio sehemu ya kwenda kuzeekea,ni sehemu ya kujenga nchi,sasa hivi vizee anavyoteua vya Kazi gani?