JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Njaa hatari,amefanya lobbying apate japo chakula,unaweza kukuta hata Ada ya kusomeshea hana,Nimeona Ndugu mmoja aliyekuwa na cheo cha Waziri, Balozi na hatimaye kuja kuteuliwa kuwa Katibu Tawala. Kwa ushauri wangu huyu sasa angepaswa kupumzika na kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi fulani. Kweli mtu alikuwa Mhe. Waziri leo anakuwa Katibu Tawala?.
Ndio maana hatuendeleiAlikuwa mchepuko wa Lowasa,kipindi anagombea ubunge Arusha mjini,2010,hana jipya,anakitu gani Cha upekee!?hapo ashukuru tu,maana lazima Kikwete amemuombea apatiwe Ka nafasi asije kufa njaa,huyu hakutakiwa kurudi kabisa,mtu alikuwa Mbunge 2010!amekuwa Balozi,miaka 11 baadae,anapewa nafasi Tena kwenye utumishi wa umma,tujiulize miaka yote hiyo alikuwa anafanya nini?ana biashara,alikuwa anasoma,
Mh Raisi hizi teuzi zake hazina tija kwa Taifa,Urafiki umejaa sana.Utumishi wa umma sio sehemu ya kwenda kuzeekea,ni sehemu ya kujenga nchi,sasa hivi vizee anavyoteua vya Kazi gani?
Professor Kamzola Je?Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Tume itamtangaza hakuna namna kama kilichotokea 20202025 atavuna mabua
RAS bhana siyo DASBalozi Batilda anarudi kwenda kuwa DAS nimesikitika sana,
Mme Wa Batilda Ndio Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar, Yule Jamaa Wa Act-WDk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
ACT na CCM ni ndugu hakuna nenoMme Wa Batilda Ndio Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar, Yule Jamaa Wa Act-W
Vijana hawawezi jua haya JokaKuu..mbona Rashidi Kawawa alishuka toka Waziri Mkuu mpaka kuwa Waziri asiye na wizara maalum.
..baada ya uhuru Nyerere alijiuzulu Uwaziri Mkuu na Mzee Kawawa akashika usukani wa nchi.
..Mzee Kawawa alishuka toka kuwa kiongozi mwenye walinzi na msafara, mpaka kuwa kiongozi wa kawaida ambaye gari yake inabidi isukumwe kwanza ndio iwake.
..Pia yupo Mzee Msuya ambaye alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Raisi baadae akashuka akawa Katibu wa Uchumi CCM wilaya ya Mwanga.
Labda katumwa kufanya kazi maalumu,Kama ya Kihamia.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Hii ndio kuheshimu Muungano kwa vitendo haswa.Awamu hii wazanzibar wengi sn watateuliwa huku bara
Hiyo ya mwisho ni balaa...mbona Rashidi Kawawa alishuka toka Waziri Mkuu mpaka kuwa Waziri asiye na wizara maalum.
..baada ya uhuru Nyerere alijiuzulu Uwaziri Mkuu na Mzee Kawawa akashika usukani wa nchi.
..Mzee Kawawa alishuka toka kuwa kiongozi mwenye walinzi na msafara, mpaka kuwa kiongozi wa kawaida ambaye gari yake inabidi isukumwe kwanza ndio iwake.
..Pia yupo Mzee Msuya ambaye alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Raisi baadae akashuka akawa Katibu wa Uchumi CCM wilaya ya Mwanga.