Maoni: Dkt. Batilda Buriani ameshushwa mno kuteuliwa kuwa Katibu Tawala

Njaa hatari,amefanya lobbying apate japo chakula,unaweza kukuta hata Ada ya kusomeshea hana,
 
Ndio maana hatuendelei
 
acheni mambo yenu, Malecela aliwahi kuwa waziri akapelekwa iringa kuwa Mkuu wa Mkoa halafu akaja kuwa waziri Mkuu, Marehe Samuel Sita alikua Waziri akaja kuwa Mkuu wa Mkoa akarudi kua spika hayo mambo yapo toka enzi ya Mwalimu na wapo wengi tu
 
Mradi roho yake ina amani mwacheni tu achape kazi...
 
Kwenye maisha hakuna aibu, unapaswa kuishi kulingana na kipato/uwezo wako sio ku-fake au kulazimisha ukubwa au ufahari au kulazimisha heshima utajikuta unaadhirika x3, unapaswa kubadilika na hali yako ipasavyo ndio HEKIMA NA BUSARA
 
watanzania tuna ujuaji Sana.
Kuna watu hata ujumbe WA nyumba 10 hawajawahi kupewa
 
Bora wangempa hata ubunge wa Magogoni. Mama Samia sijui anakwama wapi?
 
Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Mme Wa Batilda Ndio Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar, Yule Jamaa Wa Act-W
 
Vijana hawawezi jua haya JokaKuu
 
Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.

Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Labda katumwa kufanya kazi maalumu,Kama ya Kihamia.
 
Hiyo ya mwisho ni balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…