Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Wadhifa na malipo ya RAS ni sawa sawa na Katibu Mkuu wa Wizara, marupu rupu ndio inakuwa tofauti, waziri anakuwa na uwanja mpana wa kutengrneza marupurupu kuliko RAS.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
shallow analysis..mbona Rashidi Kawawa alishuka toka Waziri Mkuu mpaka kuwa Waziri asiye na wizara maalum.
..baada ya uhuru Nyerere alijiuzulu Uwaziri Mkuu na Mzee Kawawa akashika usukani wa nchi.
..Mzee Kawawa alishuka toka kuwa kiongozi mwenye walinzi na msafara, mpaka kuwa kiongozi wa kawaida ambaye gari yake inabidi isukumwe kwanza ndio iwake.
..Pia yupo Mzee Msuya ambaye alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Raisi baadae akashuka akawa Katibu wa Uchumi CCM wilaya ya Mwanga.
Na marupurupu mengine anafika mil 17 kwa mwezi.Muache Bana Batilda akale mil 5 zake huku anatafakari....Msisahau aliwahi kuwa Waziri huyu Mama.
Mbona wabara hawateuliwi Zanzibar?Hii ndio kuheshimu Muungano kwa vitendo haswa.
Tena kuna kushuka zaidiKwa ccm kushuka ni jambo la kawaida.Mfano Bashiru toka Katibu Mkuu hadi mbunge wa viti maalumu kwa hisani ya mama
Wako kule wakuu wa polisi, wakuu wa wilaya fuatilia tu mkuu.Mbona wabara hawateuliwi Zanzibar?
Taja majina matanoWako kule wakuu wa polisi, wakuu wa wilaya fuatilia tu mkuu.
Angestahili kukaa bench hata hiyo ni fadhila tu.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Mfano hukumbuki Hemedi Msangi alikuwa Zanzibar kama kamanda wa polisi. Pia kumbuka Zanzibar ni ndogo hata nafasi zake za uteuzi ni chache hivyo ni kweli utaona kama wengi wanateuliwa huku kwakuwa huku kuna keki kubwa.Taja majina matano
Huku kuna wahudumu wa afya, polisi, manesi, madakteri, Ma-RAS, mawaziri, n.k bona umetaja mmoja tu? kuna tatizo kubwa tunanyonywa muungano uvunjwe harakaMfano hukumbuki Hemedi Msangi alikuwa Zanzibar kama kamanda wa polisi. Pia kumbuka Zanzibar ni ndogo hata nafasi zake za uteuzi ni chache hivyo ni kweli utaona kama wengi wanateuliwa huku kwakuwa huku kuna keki kubwa.
Kweli tupuAngestahili kukaa bench hata hiyo ni fadhila tu.
Huku kuna wahudumu wa afya, polisi, manesi, madakteri, Ma-RAS, mawaziri, n.k bona umetaja mmoja tu? kuna tatizo kubwa tunanyonywa muungano uvunjwe haraka
Bashiru hakuwa na utendaji mzuriBASHIRU JE?
Katibu ccm,
Balozi,
Katibu mkuu kiongozi,
UBUNGE TENA VITI MAALUM,
Je alishushwa au
Alipanda?
Hana Tija Batlida. Ni mswahili tu kama BashiruDkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Hajawahi kuwa Mbunge Arusha weeeee hili haliingii wazembeHuyu ndio alikomaa na kesi ya kufuta matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Lema pale Arusha mjini. Kama alikuwa mbunge, kuwa Katibu Tawala wa mkoa ni sawa tu, na ubalozi si ni hadhi tu kama udaktari au uhandisi (japo hizo nyingine ni za kielimu)
View attachment 1803239
Ww ndio unaona ameshushwa lakini yeye mwenyewe kashukuru vibaya sana, maana hana ujanja wa kuendesha maisha nje ya madaraka. Kwa taarifa yako hivyo vyeo alivipata sio kwa uwezo bali kwa mbeleko. Kama angekuwa na uwezo, huu ndio ulikuwa wakati sahihi wa yeye kutumia huo uwezo wake kufanya mambo yake, na sio kusubiri hisani ili kuendesha maisha yake.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.