Maoni: Ifanyike tathmini ya Uchaguzi wa 2019/2020 kabla ya kufanyika uchaguzi 2024/2025

Maoni: Ifanyike tathmini ya Uchaguzi wa 2019/2020 kabla ya kufanyika uchaguzi 2024/2025

sasa kama warioba alimaliza mbona ukakawa walitoka kwa bunge na watokomea kusikojulikana?

2026 hatutamjadili warioba, tutajadiliana kuunda katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Na asitokee mtu anaanza kutengeneza ground za kususia mchakato kwa kujificha kwa, sijiu warioba alifanya nini au alisema nini.

Katiba ni ya wananchi sio warioba.
Yeye atoe maoni na atulie na kuwapa nafasi na wengine watoe maoni yao pia.
Hayupo mwenye maoni bora zaidi ya mwingine. Mama Tanzania ndio muhimu zaidi.
Naona unachanganya mambo, hapa mimi simuongelei Warioba kama mtu, naiongelea Kamati ya Jaji wa Warioba ilioundwa kwa mujibu wa Sheria, kukusanya na kuratibu maoni kwa ajili ya kuunda Katiba Mpya.

Kamati hii iliundwa na wajumbe toka vyama na makundi mbalimbali yaliyopo nchini..Baadhi ya Wajumbe waliotoka chama tawala CCM, ni;
-Dr Salimu Hamed Salim
-Jaji Mkuu Mstaafu Marehemu Augustino Ramadhani
-Prof Kabudi
-Humphrey Polepole et al(kutaja wachache)
Hakika tume hii ilifanya kazi iliyotukuka kwa kukusanya na kuratibu kwa uhodari mkubwa huku wakiongozwa na maslahi mapana ya mama Tanzania..

Kama kulikuwa kunasehemu CCM hawakuelewa,wangewaita wajumbe wao ili kuwapa SHULE maana wajumbe hawa waliifanya kazi hii kwa uWELEDI mkubwa

-Kuhusu rasimu ya Mh Sitta,rasimu hii ilikuwa na nio OVU,ilibadili mambo mengi yaliyomema na ndio SABABU UKAWA walisusia.

Hivyo basi Katiba Mpya na iliyobora iundwe sasa kwa kuwa tayari Maoni ya Watanzania wote yalishakusanya,ingawa kunaweza kukawa na Maboresho kidogo..
 
Naona unachanganya mambo, hapa mimi simuongelei Warioba kama mtu, naiongelea Kamati ya Jaji wa Warioba ilioundwa kwa mujibu wa Sheria, kukusanya na kuratibu maoni kwa ajili ya kuunda Katiba Mpya.

Kamati hii iliundwa na wajumbe toka vyama na makundi mbalimbali yaliyopo nchini..Baadhi ya Wajumbe waliotoka chama tawala CCM, ni;
-Dr Salimu Hamed Salim
-Jaji Mkuu Mstaafu Marehemu Augustino Ramadhani
-Prof Kabudi
-Humphrey Polepole et al(kutaja wachache)
Hakika tume hii ilifanya kazi iliyotukuka kwa kukusanya na kuratibu kwa uhodari mkubwa huku wakiongozwa na maslahi mapana ya mama Tanzania..

Kama kulikuwa kunasehemu CCM hawakuelewa,wangewaita wajumbe wao ili kuwapa SHULE maana wajumbe hawa waliifanya kazi hii kwa uWELEDI mkubwa

-Kuhusu rasimu ya Mh Sitta,rasimu hii ilikuwa na nio OVU,ilibadili mambo mengi yaliyomema na ndio SABABU UKAWA walisusia.

Hivyo basi Katiba Mpya na iliyobora iundwe sasa kwa kuwa tayari Maoni ya Watanzania wote yalishakusanya,ingawa kunaweza kukawa na Maboresho kidogo..
kwaihiyo warioba sio mtu 🤣
Unatrajatraja majina kwa mistrari isiyo na vina.....

Skiza acha kua na fikra mgando,
ukitaka kueleza mambo ya maoni ya waTanzania eleza ya sasa acha kubeba watu ufala na mahistoria ya kale.....

Wakati huo wa huyo warioba na hao ulowataja, idadi ya waTz walikua wangapi?
Na leo hii waTz ni wangapi?
Kwa hakika mambo yamebadilika, fikra zimebadilika mno tangu wakati huo hadi sasa.

Wakati huo, huyo unaemtaja sijui ni mtu au sio mtu, nilikua na umri wa miaka 16, sikua na haki ya kutoa maoni wala nisingepata fursa ya kupiga kura ya kuamua hiyo Katiba mpya ni ndio au hapana. Sikujiskia vibaya kwasababu utaratibu ndivyo ulivyo.

Leo hii nina zaidi ya miaka ishirini, Lazima wakusanya maoni waje wanisikilize maoni yangu nami nina haki ya kuskizwa kama walivyoskizwa wengine nchi nzima kuhusu Katiba mpya. That one nitadai daima.

Na kundi lenye umri huo tu pekee ni kubwa mno, tuliokosa fursa wakati huo tukiwa na miaka 16, kwasasa tupo nchi nzima, na huyo sijui warioba hatumjui hata sijui ndio nani nchini......
Wakusanya maoni waje watuskize ni haki na Lazima tupate .......

Haiwezekani kuburuzwa eti fulani alishamaliza kukusanya maoni ya waTz.......
My friend tupo chonjo...
 
Hakuna madaraja yaliyojengwa huko vijijini, watoto walikufa kwa kuzama kwenye maji. Wakulima wanashindwa kusafirisha mazao yao, nk

Hivi vyote vinahitaji fedha. Amini kabisa tathmini ya uchaguzi ikiwa tunajua kuwa uligubikwa na wizi mkubwa na ukandamizaji wa ajabu ni kupoteza muda na fedha. Tunazidi kuwaneemesha wanasiasa
Unaonaje tukiacha kufanya uchaguzi Ili kutowaneemesha wanasiasa Ili pesa hizo zijengwe madaraja?

Tatizo Si upatikanaji wa pesa Kwa ajili ya kujenga miundombinu,

Tatizo ni Serikali dhalimu ya CCM, haitaki kupunguza matumizi mabaya ya pesa za umma Ili kumeed demand za wananchi.

Kwa Mfano, kusogeza mbele uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika 2024, ufanyike pamoja na Uchaguzi mkuu isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi, gharama ingepungua Kwa 50%.

CCM must go.
 
Naona unachanganya mambo, hapa mimi simuongelei Warioba kama mtu, naiongelea Kamati ya Jaji wa Warioba ilioundwa kwa mujibu wa Sheria, kukusanya na kuratibu maoni kwa ajili ya kuunda Katiba Mpya.

Kamati hii iliundwa na wajumbe toka vyama na makundi mbalimbali yaliyopo nchini..Baadhi ya Wajumbe waliotoka chama tawala CCM, ni;
-Dr Salimu Hamed Salim
-Jaji Mkuu Mstaafu Marehemu Augustino Ramadhani
-Prof Kabudi
-Humphrey Polepole et al(kutaja wachache)
Hakika tume hii ilifanya kazi iliyotukuka kwa kukusanya na kuratibu kwa uhodari mkubwa huku wakiongozwa na maslahi mapana ya mama Tanzania..

Kama kulikuwa kunasehemu CCM hawakuelewa,wangewaita wajumbe wao ili kuwapa SHULE maana wajumbe hawa waliifanya kazi hii kwa uWELEDI mkubwa

-Kuhusu rasimu ya Mh Sitta,rasimu hii ilikuwa na nio OVU,ilibadili mambo mengi yaliyomema na ndio SABABU UKAWA walisusia.

Hivyo basi Katiba Mpya na iliyobora iundwe sasa kwa kuwa tayari Maoni ya Watanzania wote yalishakusanya,ingawa kunaweza kukawa na Maboresho kidogo..
Point☑️

Tuanzie pale kwenye Rasimu ya Warioba kabla haijapelekwa bungeni na kuchakachuliwa.

Maoni mapya kidogo ydongezwe ikiwa yapo, tupige hatua mbele.

Miaka miwili iliyobaki Hadi 2025, inatosha kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
 
hiyo Katiba ya kutengeneza Mwaka moja mkatengeneze ya vikoba huko mtaani...
Natunza comment Yako, nitakukumbusha 2025.

Hapo ndipo utakapojua kati ya wenyenchi na Serikali, nani boss wa mwenzie!!
 
Natunza comment Yako, nitakukumbusha 2025.

Hapo ndipo utakapojua kati ya wenyenchi na Serikali, nani boss wa mwenzie!!
sawa weka kwa files muzuri sana na uwe mtulivu hadi 2026......
 
Point☑️

Tuanzie pale kwenye Rasimu ya Warioba kabla haijapelekwa bungeni na kuchakachuliwa.

Maoni mapya kidogo ydongezwe ikiwa yapo, tupige hatua mbele.

Miaka miwili iliyobaki Hadi 2025, inatosha kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
kundi la waliokua chini ya umri wa kutoa maoni na kupiga kura wakati huo ni kubwa mno nchi nzima, na hivi sasa kwa wingi wao wana sifa stahiki kuskizwa na kutoa maoni yao juu ya Katiba mpya, na sio kuburuzwa tu eti sijiu Mzee nani alifanya nini inatosha.....

inatosha kwake yeye,
Ni muhimu jambo hili likaanza upya 2026 baada ya uchaguzi mkuu...
Wanahistoria na wazee wao wabaki na historia zao wasituvurugie nchi kabisa, wajinga waliisha Tz....
 
kundi la waliokua chini ya umri wa kutoa maoni na kupiga kura wakati huo ni kubwa mno nchi nzima, na hivi sasa kwa wingi wao wana sifa stahiki kuskizwa na kutoa maoni yao juu ya Katiba mpya, na sio kuburuzwa tu eti sijiu Mzee nani alifanya nini inatosha.....

inatosha kwake yeye,
Ni muhimu jambo hili likaanza upya 2026 baada ya uchaguzi mkuu...
Wanahistoria na wazee wao wabaki na historia zao wasituvurugie nchi kabisa, wajinga waliisha Tz....
Tunaongelea Katiba mpya ya Tz Si Kenya,

Mkenya haruhusiwi Kutoa maoni ya Katiba Tz.
 
kundi la waliokua chini ya umri wa kutoa maoni na kupiga kura wakati huo ni kubwa mno nchi nzima, na hivi sasa kwa wingi wao wana sifa stahiki kuskizwa na kutoa maoni yao juu ya Katiba mpya, na sio kuburuzwa tu eti sijiu Mzee nani alifanya nini inatosha.....

inatosha kwake yeye,
Ni muhimu jambo hili likaanza upya 2026 baada ya uchaguzi mkuu...
Wanahistoria na wazee wao wabaki na historia zao wasituvurugie nchi kabisa, wajinga waliisha Tz....
Rasimu ya Warioba ikiwekwa mezani,

Inafunguliwa website maalum Ili wote ambao hawakutoa maoni wayatume huko kupitia simu zao,

Walio vijijini na hawana access ya internate wapeleke Kwa watendaji wa kata na vijiji.

Hakuna haja ya kuzunguka tena Nchi nzima kukusanya maoni,

Kitakachofanyika, tutalinganisha maoni yaliyopo katika maoni yaliyokusanywa kupitia Tume ya Warioba Ili kuchukua mapya na kuyaacha yaliyojirudia.

Miezi SITA pekee inatosha kukamilisha zoezi Hilo.

Ni heri kutofanya uchaguzi kuliko kuingia uchaguzi mkuu bila Tume huru na Katiba mpya Kwa mazingira ya sasa.
 
Sikia ewe Tanzania, usijitie upofu na kupuuza yaliyojiri 2019&2020.

KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wa MITAA na uchaguzi mkuu 2025 ni wazo mujarabu kabisa.
 
Ya vikoba Bawacha Vicoba Group sio 😜
Amin nakwambia,

Rabbon hayupo kwenye register ya wanachama wa CDM.

Mimi ni MMOJA wa Watanzania mamilioni wenye kufuatilia na kushiriki Kwa karibu siasa za Nchi yetu bila kuwa na chama Cha siasa.

Ndomana tunapambania Mgombea Huru Ili 2025 tuingie ulingoni.
 
Ya vikoba Bawacha Vicoba Group sio 😜
Mfuatilie vizuri Rabbon,

Hajafungwa pingu za vyama vya siasa,

Rabbon ni Mtanzania huru,

Kuna time nawachallenge sana CDM na pia CCM nawakosoa sana.

Maana Serikali ni ya wote Walio na vyama na wasio na vyama,

Na Kwakuwa wasio na vyama ni kundi kubwa kuliko Walio na vyama,

Mimi ni MMOJA wa SAUTI hiyo.

Amen.
 
Rasimu ya Warioba ikiwekwa mezani,

Inafunguliwa website maalum Ili wote ambao hawakutoa maoni wayatume huko kupitia simu zao,

Walio vijijini na hawana access ya internate wapeleke Kwa watendaji wa kata na vijiji.

Hakuna haja ya kuzunguka tena Nchi nzima kukusanya maoni,

Kitakachofanyika, tutalinganisha maoni yaliyopo katika maoni yaliyokusanywa kupitia Tume ya Warioba Ili kuchukua mapya na kuyaacha yaliyojirudia.

Miezi SITA pekee inatosha kukamilisha zoezi Hilo.

Ni heri kutofanya uchaguzi kuliko kuingia uchaguzi mkuu bila Tume huru na Katiba mpya Kwa mazingira ya sasa.
ni vizuri na muhimu sana kuwekwa kwenye website.
Ila muhimu zaidi kila mwananchi awezesheshwe kifaa cha kuingilia huko kwenye website itapendeza zaidi kwani ni hatua mujarab sana ya kimaendeleo nchini..

ni lini watendaje wamekua tume ya ukusanyaji maoni ya Katiba mpya, halafu hao hao kesho mnaleta kisirani wasiwe wakurugenzi wa uchaguzi huko vijijini 😜 ndezi kweli hii...

Ulinganishe maoni ya nani akati tunatengeneza Katiba moja ya Tanzania?
Maoni yanakusanywa pamoja, yanachakatwa na kuchambuliwa vizuri, ya hovyo yanatolewa yamaana yanaandikwa ndio sasa Katiba ya nchi. kisha baada ya hapo ndio tunaenda kwenye kampeni na lile tukio muhimu ambalo mmezoea kulisusia la uchaguzi wa ndiyo na siyo, ambapo waTz wengi huwa wanawadharau na kuwapuuza.....

I once again confirm to you without fear of contradiction, uchaguzi unafanyika 2025 bila Katiba mpya na kwa Amani na utulivu haijapata kutokea katika historia ya Tanzania...
 
Amin nakwambia,

Rabbon hayupo kwenye register ya wanachama wa CDM.

Mimi ni MMOJA wa Watanzania mamilioni wenye kufuatilia na kushiriki Kwa karibu siasa za Nchi yetu bila kuwa na chama Cha siasa.

Ndomana tunapambania Mgombea Huru Ili 2025 tuingie ulingoni.
😜hakuna mgombea huru 2025 hayupo
 
Ikitupendeza uchaguzi ufanywe hata October 2026,kwa kuundwa serikali ya mpito chini ya Rais huyu huyu,ili suala la KATIBA MPYA ILIYO BORA na TUME HURU ya uchaguzi vipatikane..ila kufanya uchaguzi kwa Katiba hii KUU KUU na tume hii MBOFU MBOFU,itakuwa ni sawa na kupaka Upepo RANGI...wakati wa KATIBA MPYA iliyobora ni SASA

Kwamba?

..ila kufanya uchaguzi kwa Katiba hii KUU KUU na tume hii MBOFU MBOFU,itakuwa ni sawa na kupaka Upepo RANGI...wakati wa KATIBA MPYA iliyobora ni SASA

Kama mzaha vile, ila kwa hakika haya ni maelezo bora kabisa ya hali halisi.
 
Mfuatilie vizuri Rabbon,

Hajafungwa pingu za vyama vya siasa,

Rabbon ni Mtanzania huru,

Kuna time nawachallenge sana CDM na pia CCM nawakosoa sana.

Maana Serikali ni ya wote Walio na vyama na wasio na vyama,

Na Kwakuwa wasio na vyama ni kundi kubwa kuliko Walio na vyama,

Mimi ni MMOJA wa SAUTI hiyo.

Amen.
your handwriting, arguments, articles tells everything about your political family
 
ni vizuri na muhimu sana kuwekwa kwenye website.
Ila muhimu zaidi kila mwananchi awezesheshwe kifaa cha kuingilia huko kwenye website itapendeza zaidi kwani ni hatua mujarab sana ya kimaendeleo nchini..

ni lini watendaje wamekua tume ya ukusanyaji maoni ya Katiba mpya, halafu hao hao kesho mnaleta kisirani wasiwe wakurugenzi wa uchaguzi huko vijijini 😜 ndezi kweli hii...

Ulinganishe maoni ya nani akati tunatengeneza Katiba moja ya Tanzania?
Maoni yanakusanywa pamoja, yanachakatwa na kuchambuliwa vizuri, ya hovyo yanatolewa yamaana yanaandikwa ndio sasa Katiba ya nchi. kisha baada ya hapo ndio tunaenda kwenye kampeni na lile tukio muhimu ambalo mmezoea kulisusia la uchaguzi wa ndiyo na siyo, ambapo waTz wengi huwa wanawadharau na kuwapuuza.....

I once again confirm to you without fear of contradiction, uchaguzi unafanyika 2025 bila Katiba mpya na kwa Amani na utulivu haijapata kutokea katika historia ya Tanzania...
Isikie nikuambiacho,

Bila tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya,hautafanyika uchaguzi wowote.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom