Wewe endelea kubanduliwa mwanaume , acha walioamua kutafuta vipato kwa njia halali wale kwa jasho lao wafurahie kidogo chao wanachopata.
Wewe ndio mpekwe ukishabanduliwa huko unabaki kuwa guilty dume zima hovyo kabisa
mkuu tulia haya mambo yanaongeleka😁😁😁
 
Ushauri mzuri kwake.
 
kwani tofauti ya walimu na ma afsa maendeleo wa jamii, afsa kilimo, wachumi huko halmashauri ni nini?

mbona scale zao za mshahara ni zilezile, ila anae kandiwa ni ticha tu??
Hao Wana posho za vikao huko halmashauri wanajiandikia tu pia Wana over time na extra duty.

Hao wanapiga overtime hadi laki 8 kwa mwezi ambazo ni mishahara miwili ya mwalimu.

Jamani Ualimu siooo..!!!
 
Mwl Mpwayungu,una msongo wa mawazo sana na akili yako ni finyu sana.Si ufanye kazi nyingine inayokulipa uache ualimu.Kila kukicha we hoja zako dhaifu sana juu walimu wetu ,wengine wametusaidia sana hadi hapa tulipo mbali ya changamoto zao na siyo wao wenye changamoto pekee.Na haiwezekani watumishi wote walipwe hizo posho au mishaara ya juu.
Tumia muda wako vizuri hapo Kijijini mwl Mpwayungu,lima hata mboga mboga,fuga kuku wa kienyeji,jikite kwenye kilimo au biashara ndogo ndogo itakusaidia kubadili mawazo na kukutoa kwenye msongo wa mawazo uliokuwa nao.
Tuwaheshimu walimu wetu na tuwapende walimu wetu.
 
Jiulize hao viongozi why wamekimbia ualimu
 
Kuwa mwalimu siyo kosa ila kila mtu pale alipo kwenye kazi anayofanya asiridhike kubaki nafasi hiyo hiyo tunatakiwa tufanye juhudi ndogo ndogo za kila siku ambazo siku moja zitatuweka nafasi nzuri nzuri zaid.
Hakuna kazi mbaya , kazi ni mbaya ukiwa nayo tu ila nje kuna watu wanatamani kuwa hapo ulipo.

Cha msingi kazi hiyo unayoiona ni mbaya itumie kama ngazi ya kupanda hatua nyingine iliyo bora zaid.
 
Ushauri mzuri sana. Bravo brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…