Ajabu kasomea ualimu. Ana utukana sababu kakosa ajira kila akiomba
 
Anajua waalim wa leo ndio wa enzi zile za ualimu wito!!. Siku hizi ualimu kazi.
Sawa wapo choka mbaya kama walivyojaa kwenye kila kada nyingine.
Hali jui hilom waalimu wamejiongeza kupitia mikopo wana biashara nzuri zinawapa goodlife. Kenge ambae hata akiambiwa hapo alipo atoe 5M hana na hata dhamana ya kukopa hana.
 
Hizi ndio akili za kimaskini hasa Walimu. Utaskia Bora Mimi Nina hata hiyo laki mbili.

Basi ndugu sio vita TUISHI.
Waoneeni huruma basi hao walimu mnaowadharau na kuwasimanga humu kila siku. Utadhani hamna ndugu zenu ambao kula na kuvaa kwao kunategemea huo huo ualimu na ikitokea umekwenda kumtembelea hicho kinywaji au chakula atakachokuandalia kitakuwa kimetokana na kazi hiyo ya ualimu.
 

TAMISENGA[emoji28]
 

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sisi Waalimu tunajivunia kazi yetu na tunaipenda
 

Unajua kwanini viongozi wengi walikua walimu?jibu ni moja tu walikimbia maslahi duni katika ualimu.
 
Sio uvumilivu boss ni kukosa namna tu na umaskini.

Kuna jamaa zangu waliamishwaa baadae wakaambiwa hakuna hela za uamisho warudi kwenye vituo vyao vya kwanza, kwa usumbufu huu unadhani madaktari au mwanasheria anaweza ambiwa!?

[emoji28][emoji28] daah
 
Mnacomplicate maisha sana!!

Utajiri au kufanikiwa kimaisha ni mind set na sio tu aina ya KAZI unafanya!!


Wenye hela sana na SIO za mawazo ni wanasiasa tu!!

Wengine bila AKILI kichwani na Strong mindset sahau mafanikio maishani!
 
Sasa kwenye hii nchi sehemu kazi gani upande wa serikali inapesaa mnoo..tukiachana na sekta binafsi na taasisi za umma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…