Halafu mgonga meza Dodoma analipwa posho ya 300K sawa na mshahara wa mwezi wa mwalimu
 
Naona na wewe una maisha magumu sana. Ndo maana hupatani na wenzio kabisa. Hii yako ya utoke vipi tumeichoka tafuta hoja nyingine. Nawaheshimu walimu bila wao leo nsingekuwa nakula maisha na perdiem za nje ya nchi daily. Acha stress dogo.
 
Naona na wewe una maisha magumu sana. Ndo maana hupatani na wenzio kabisa. Hii yako ya utoke vipi tumeichoka tafuta hoja nyingine. Nawaheshimu walimu bila wao leo nsingekuwa nakula maisha na perdiem za nje ya nchi daily. Acha stress dogo.
Unamuheshimu mtu aliyefeli form four /six akaona awe mwalimu tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…